
07/09/2023
Timu Ya taifa ya tanzania imefuzu katika fainali za afcon za mwaka 2024 zinazotarajiwa kufanyika nchini ivory cost
Mafanikio hayo yamekuja baada ya taifa stars kutoka suluhu ya bila kufungana katika mchezo wao dhidi ya algeria ulichezwa nchini nigeria
Hii ni mara ya tatu katika historia ya Tanzania kufanikiwa kutinga kwenye fainali hizo kubwa zaidi za soka barani Afrika.