Sports Point

Sports Point Karibu katika kituo bora cha habari za michezo na burudani hapa utapata News zote
|Michezo|burudani|Newsupdate|wasanii|
(1)

Mchezaji Jonas Mkude amedai kwenye maisha yake hajawahi kupendwa kimapenzi na mwanamke yoyote na anaishi mwenyewe nyumba...
12/07/2025

Mchezaji Jonas Mkude amedai kwenye maisha yake hajawahi kupendwa kimapenzi na mwanamke yoyote na anaishi mwenyewe nyumbani kwake ila mpenzi anaye na hawaishi nyumba moja.
''Ah hamna sijawahi kupendwa mimi sina kwambia hamna siunajua vitu vya kawaida hivi vyenyewe kwenye dunia anayenipenda simpaka afikishe ujumbe sasa unasemaje unanipenda upo mbali na mimi.Alisema -Jonas Mkude

Aliyekuwa Mshambuliaji wa Young Africans Sports Club  Kennedy Musonda Raia wa Zamabia amejiunga na Hapoel Ramat ya Israe...
12/07/2025

Aliyekuwa Mshambuliaji wa Young Africans Sports Club Kennedy Musonda Raia wa Zamabia amejiunga na Hapoel Ramat ya Israel, Hapoel kwa sasa inacheza mechi za mchujo za Europa League.

Wana Simba SC Tanzania Kuna ujumbe wenu huku kutoka kwa Boss Mo Dewji
11/07/2025

Wana Simba SC Tanzania Kuna ujumbe wenu huku kutoka kwa Boss Mo Dewji

Mlinzi wa Zamani wa Young Africans Sports Club Anayekipiga kwa sasa Ligi Kuu ya Angola Joyce Lomalisa Mutambala raia wa ...
11/07/2025

Mlinzi wa Zamani wa Young Africans Sports Club Anayekipiga kwa sasa Ligi Kuu ya Angola Joyce Lomalisa Mutambala raia wa Congo 🇨🇩Yuko Kwenye Hatua za Mwisho Kumalizana Na Team Yake Mpya ya Ligi Kuu Ya NBC🚨

Hata Hivyo Mchezaji Huyo Ana Ofa Mbalimbali Kutoka Tanzania kwenye vilabu k**a Azam na Singida Black Star🛜 Lolote Lawezekana 😀

“Naomba niwe muwazi tu, tumewatumia barua FIFA kuwaambia kwamba hiyo siku ya fainali k**a game ikiisha tumeshinda 1-0 ba...
11/07/2025

“Naomba niwe muwazi tu, tumewatumia barua FIFA kuwaambia kwamba hiyo siku ya fainali k**a game ikiisha tumeshinda 1-0 basi kombe wapewe Chelsea”

Kocha wa PSG Luis Enrique 😁

KOMBE LA DUNIA LA VILABU 2029 – HATUA ZA KUWANIA KWA AFRIKA! 🌍✅ Pyramids FC imekuwa klabu ya kwanza barani Afrika kufuzu...
11/07/2025

KOMBE LA DUNIA LA VILABU 2029 – HATUA ZA KUWANIA KWA AFRIKA! 🌍

✅ Pyramids FC imekuwa klabu ya kwanza barani Afrika kufuzu rasmi kwa FIFA Club World Cup 2029 baada ya kuchukua champion league🏆

🎟️ Nafasi 3 zilizobaki zitakamilishwa na mabingwa wa michuano ya CAF Champions League katika misimu ifuatayo:

1️⃣2024/2025 PYRAMID ✅️

2️⃣2025/26 BINGWA ⏳

3️⃣2026/27 BINGWA ⏳

4️⃣2027/28 BINGWA ⏳

📌 Iwapo klabu moja itachukua ubingwa zaidi ya mara moja, nafasi zilizobaki zitajazwa kwa kutumia mfumo wa alama wa CAF (CAF Club Rankings).

🔢 Viwango vya CAF vitakavyotumika ni hivi:

Nafasi
1. Pyramids – 36 pts
2. Sundowns – 28 pts
3. Orlando Pirates – 28 pts
4. Al Ahly – 27 pts
5. Esperance – 20 pts
6. AS FAR – 19 pts
7. Al Hilal – 16 pts
8. MC Alger – 16 pts
9. CR Belouizdad – 12 pts
10. Young Africans – 11 pts
11. TP Mazembe – 8 pts
12. Sagrada – 8 pts
13. Maniema Union – 6 pts
14. Djoliba – 5 pts
15. Stade d’Abidjan – 4 pts
NB: points ni kuanzia msimu wa 2024/2025 kwa timu zilizoshiriki ligi ya mabingwa.

🚫 Klabu zinazoshiriki Kombe la Shirikisho Afrika (CAF Confederation Cup) hazitapokea pointi zozote kwa ajili ya kufuzu Kombe la Dunia la Vilabu.

🔎 Je, klabu yako ina nafasi ya kwenda Kombe la Dunia 2029?

Source

UPDATES || Fainali ya Kombe la Dunia la FIFA 2030 itafanyika katika dimba la Santiago Bernabéu.Makubaliano yamefikiwa ka...
11/07/2025

UPDATES ||

Fainali ya Kombe la Dunia la FIFA 2030 itafanyika katika dimba la Santiago Bernabéu.

Makubaliano yamefikiwa kati ya FIFA na Real Madrid.

Source ||

🚨 UPDATES CS Sfaxien imeipokea ofa ya Simba SC licha ya kuwa Yanga SCwalituma ofa yao awali, Ofa za Yanga SC na Simba SC...
11/07/2025

🚨 UPDATES

CS Sfaxien imeipokea ofa ya Simba SC licha ya kuwa Yanga SCwalituma ofa yao awali, Ofa za Yanga SC na Simba SC zinafanana hakuna ambae amemzidi mwenzie, Kwasasa CS Sfaxien wanasubiri maamuzi ya mchezaji mwenyewe Balla Moussa Conte aamue ili CS Sfaxien wakubali ofa ya timu gani.

Balla Moussa Conte mwenyewe amevutiwa zaidi na project ya Simba Sports Club chini ya Kocha Fadlu Davids.

Kwa mujibu wa taarifa nilizonazo Simba Sports Club inazo asilimia zaidi ya 70% kwa 30% za Yanga SC kumnasa Balla Moussa Conte, Conte alishazungumza na Kocha Fadlu Davids kuanzia mwezi Desemba mwaka jana 2024 lakini pia bado alikuwa anaongea nae mara kwa mara kumueleza mipango yake na atakavyotumika kwamsimu ujao.

Kocha Fadlu Davids amemuhakikishia Balla Moussa Conte nafasi ya kucheza Simba Sports Club, jambo ambalo linampa hofu kwa upande wa Yanga SC kwani bado hajaijua project yao na wao watakavyomtumia.

Fadlu Davids amemuahidi Balla Moussa Conte atakuwa mchezaji mkubwa na atampa nafasi ya kukua zaidi kutokana na umri wake mdogo wa miaka 21 aliokuwa nao.

Kabla ya Ofa ya Simba SC kutumwa, CS Sfaxien walionesha kuikubali ofa ya Yanga SC ila kwasasa wanasubiri maamuzi ya mchezaji aamue timu yake ifanye na nani biashara kati ya Yanga ama Simba.

_*Ameandika Mchambuzi wa Soka kutoka Crown Media Hans Rafael*_ Siyo kwa ubaya ila ndani ya misimu minne iliyopita baada ...
11/07/2025

_*Ameandika Mchambuzi wa Soka kutoka Crown Media Hans Rafael*_

Siyo kwa ubaya ila ndani ya misimu minne iliyopita baada ya Hans Pope kuondoka kuna Sehemu Simba wanakwama.

Tunazungumza leo ni tarehe 10 ila usajili wa Simba bado uko slow sana,dirisha liko wazi na timu nyingi ziko bize kusajili wachezaji wote wazuri….baada ya hapo sokoni kutabaki makapi.

SIMBA HAINA MTU SAHIHI MWENYE JICHO LA MCHEZAJI MWENYE KIWANGO AU TUKUBALI KAMATI YA USAJIRI SIMBA NI TEN PERCENT

  Aliyekuwa Beki wa Kati wa Simba SC Tanzania Hussein Kazi amekamilisha usajili wake dhidi ya Namungo FC kwa ajili ya ms...
10/07/2025



Aliyekuwa Beki wa Kati wa Simba SC Tanzania Hussein Kazi amekamilisha usajili wake dhidi ya Namungo FC kwa ajili ya msimu ujao 2025/2026

Hussein Kazi amesain mkataba wa mwaka Mmoja kuitumikia Namungo chini ya Kocha mkuu wa Kikosi hicho Mgunda...

Je, MwanaSimba utamkumbuka kwa Lipi Hussein Kazi???

Paul Pogba Afunguka Jinsi Cristiano Ronaldo Alivyomsaidia Katika Wakati Wake Mgumu Zaidi Paul Pogba, ambaye alisimamishw...
10/07/2025

Paul Pogba Afunguka Jinsi Cristiano Ronaldo Alivyomsaidia Katika Wakati Wake Mgumu Zaidi

Paul Pogba, ambaye alisimamishwa kucheza soka kwa miaka kadhaa kutokana na matumizi mabaya ya dawa za kusisimua misuli, amesimulia hadithi yenye hisia kuhusu jinsi Cristiano Ronaldo alivyompitia wakati wengine wengi walipoondoka.

🗣️🗣️ "Nilipopigwa marufuku na FIFA, nilihisi dunia nzima imeporomoka. Marafiki zangu wengi waliniacha-hata mke wangu mwenyewe, mtu niliyemwamini sana, aliniacha. Nilikuwa nimevunjika moyo kabisa na niko kwenye makali ya kukata tamaa ya maisha. Kisha hapohapo nikapokea simu ya WhatsApp-ilikuwa Cristiano Ronaldo.

Hakunitegemeza tu kifedha, jambo ambalo lilimaanisha mengi, bali pia alinipa maneno yenye nguvu ambayo yalikaa moyoni mwangu. Alisema, ‘Pogba, najua wewe ni mtu mzuri. Jipe moyo. Kila kitu kitakuwa sawa—ni suala la muda tu.’

Wakati huo ulinikumbusha kuwa bado kuna watu wanaojali kwa dhati. Ronaldo aliniokoa kihisia-na ndiyo, kiasi kikubwa cha pesa alichotuma pia kilinisaidia kusawazisha."

Maoni yako ni yapi juu ya hili?

Tufollow Sports Point

♂️   🚨 Hapa Chelsea ya  Enzo Maresca kule PSG ya Luis Enrique Martinez.Nani kuibuka kidedea final ya kombe la Dunia la v...
10/07/2025

♂️

🚨 Hapa Chelsea ya Enzo Maresca kule PSG ya Luis Enrique Martinez.
Nani kuibuka kidedea final ya kombe la Dunia la vilabu??

♂️ Je! Chelsea wataweza kuuzima Moto wa PSG???

Tukutane J'Pili hii July 13, 2025 mida yetu ile ile 22:00 PM tuone nani kuibuka na Kikombe Hichi!!

Tufollow Sports Point

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports Point posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Sports Point:

Share