Sports Point

Sports Point Karibu katika kituo bora cha habari za michezo na burudani hapa utapata News zote
|Michezo|burudani|Newsupdate|wasanii|
(1)

  Hizi hapa team ambazo tayari zmefanikiwa Kutinga hatua ya 32  ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Al Ahly๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Mamelodi Sundowns๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Stade dโ€™Abidjan๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Remo ...
28/09/2025


Hizi hapa team ambazo tayari zmefanikiwa Kutinga hatua ya 32

๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ Al Ahly
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Mamelodi Sundowns
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Stade dโ€™Abidjan
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Remo Stars
๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ Aigle Noir
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฟ Black Bulls
๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ Orlando Pirates
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ผ Silver Strikers
๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡น Ethiopian Insurance
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ Yanga
๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ Horoya
๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด Petro de Luanda
๐Ÿ‡บ๐Ÿ‡ฌ Vipers
๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ณ Espรฉrance Sportive de Tunis
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ AS FAR
๐Ÿ‡ฉ๐Ÿ‡ฟ MC Alger
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฑ Stade Malien

โš”๏ธ Confirmed Round of 32 fixtures (so far):
๐Ÿ‡ณ๐Ÿ‡ฌ Remo Stars ๐Ÿ†š Mamelodi Sundowns ๐Ÿ‡ฟ๐Ÿ‡ฆ
๐Ÿ‡ง๐Ÿ‡ฎ Aigle Noir ๐Ÿ†š Al Ahly ๐Ÿ‡ช๐Ÿ‡ฌ
๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ผ Silver Strikers ๐Ÿ†š Yanga SC ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ
๐Ÿ‡จ๐Ÿ‡ฎ Stade dโ€™Abidjan ๐Ÿ†š Petro de Luanda ๐Ÿ‡ฆ๐Ÿ‡ด
๐Ÿ‡ฌ๐Ÿ‡ณ Horoya ๐Ÿ†š AS FAR ๐Ÿ‡ฒ๐Ÿ‡ฆ

Hapa Tunasubili Mechi za Leo kuwa na Orodha kamili.... Kuwa nasi Sports Point kwa habari zaidi.....

Mmwanadada mrembo amefunguka kwamba vijana wengi wakiume siku hizi awawezi show kitandan wao kazi nikupiga makelele tu, ...
28/09/2025

Mmwanadada mrembo amefunguka kwamba vijana wengi wakiume siku hizi awawezi show kitandan wao kazi nikupiga makelele tu, Tazama video yake kwenye comment hapo chini๐Ÿ˜‚๐Ÿ‘‡๐ŸฝMnaouliza anaitwa nani, ni Roseydechocolate Insta moja hiyo๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ๐Ÿคฃ

๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
27/09/2025

๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Kikosi Cha Simba SC Tanzania kimefanya Maandalizi ya Mwisho kuelekea Mchezo wao Dhidi ya Gaborone   Utakaochezwa hapo Ke...
27/09/2025

Kikosi Cha Simba SC Tanzania kimefanya Maandalizi ya Mwisho kuelekea Mchezo wao Dhidi ya Gaborone Utakaochezwa hapo Kesho Sept 28, 2025 kwenye uwanja wa Benjamin William Mkapa kuanzia saa 10 Jioni..

โฐ๐…๐“: Premier League ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟManchester City 5-1 Burnley FC โšฝ๏ธ 12' Esteve (og)      โšฝ๏ธ 38' Anthony โšฝ๏ธ 61' Nunes โšฝ๏ธ 61' Est...
27/09/2025

โฐ๐…๐“: Premier League ๐Ÿด๓ ง๓ ข๓ ฅ๓ ฎ๓ ง๓ ฟ
Manchester City 5-1 Burnley FC
โšฝ๏ธ 12' Esteve (og) โšฝ๏ธ 38' Anthony
โšฝ๏ธ 61' Nunes
โšฝ๏ธ 61' Esteve (og)
โšฝ๏ธ 90' Haaland
โšฝ๏ธ 90+3' Haaland

REAL MADRID Leo nao Wamenyea Kambaa ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
27/09/2025

REAL MADRID Leo nao Wamenyea Kambaa ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Mtu na Shogaake hawawezi kuachana aise!!! ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ
27/09/2025

Mtu na Shogaake hawawezi kuachana aise!!! ๐Ÿ˜ƒ๐Ÿ˜ƒ

Nahodha Shomari Kapombe akizungumzia namna wachezaji Wa Simba SC Tanzania wamejiandaa kuwakabili Gaborone United.
27/09/2025

Nahodha Shomari Kapombe akizungumzia namna wachezaji Wa Simba SC Tanzania wamejiandaa kuwakabili Gaborone United.

 ๐…๐“| Young Africans SC 2๐Ÿ†š0 Wiliete SC Wananchi wamefanikiwa Kutinga Hatua inayofuata
27/09/2025


๐…๐“| Young Africans SC 2๐Ÿ†š0 Wiliete SC

Wananchi wamefanikiwa Kutinga Hatua inayofuata

PAULA ANAJUTIA SANA KUWA PAULA_Paula amefunguka kuwa mara nyingine kuwa huwa anajuta sana kuwa paula. mwandishi alipo mu...
27/09/2025

PAULA ANAJUTIA SANA KUWA PAULA
_
Paula amefunguka kuwa mara nyingine kuwa huwa anajuta sana kuwa paula. mwandishi alipo muuliza ni kwanini paula amejibu hapendi namna watu wanavyo mzonga kwenye kila jambo analolifanya.

Baada ya paula kuongea hayo Kajala akaongezea kwa kusema paula huwa anatamani kuwa k**a mtoto wa kawaida mana kuna vitu paula anavifanya na vitu hivyo mtoto mwingine anavifanya watu wanakaa kimya ila akifanya tu paula watu wanaanza kumjaji.
Kajala anamaliza kwa kusema Ndio mana paula anatamani kuwa mtoto wa kawaida angekuwa ana ishi kwa kufanya anacho ona ni sahihi na hakuna mtu angekuwa anamjaji.

Aise........

27/09/2025

 : ๐Ÿ”ฐ๐Ÿ”ฐYanga SC imetoa toleo la pili la jezi zao za msimu baada ya jezi zote za toleo la kwanza kuisha.Yanga wameamua kuto...
26/09/2025

: ๐Ÿ”ฐ๐Ÿ”ฐ
Yanga SC imetoa toleo la pili la jezi zao za msimu baada ya jezi zote za toleo la kwanza kuisha.

Yanga wameamua kutoa toleo la pili lenye utofauti kidogo ili kuweka utofauti maana jezi zao zimeisha ila kuna idadi ya jezi feki nyingi mtaani ambazo zimeingizwa nchini.

WananChi wahini mkanunue jezy huko...! ๐Ÿ˜„๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports Point posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Sports Point:

Share