
02/11/2023
"Hivi wanawake wenzangu mnawezaje ku-cheat jamani? mbona mimi siwezi na nikijaribu tu nitafumwa, halafu nikisema ni-cheat huwa najisikia vibaya kwenda kumvulia mtu mwingine,".
"Napenda kuwa na mmoja tusumbuane weeee tukiachana ndio nianze moja," - Staa wa filamu Bongo, Husna Sajenti.