
15/07/2025
Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu imeahirishwa hadi Julai 30, 2025.
Mahak**a ya Hakimu Mkazi Kisutu imeahirisha kesi hiyo baada ya Jamhuri kuomba ahirisho ili kusubiri maamuzi ya Mahak**a Kuu ya kuwapa ulinzi mashahidi.
Unaweza Kutufuatilia Kupitia:
TWITTER: ://twitter.com/npointtz
INSTAGRAM: ://instagram.com/npointtz
FACEBOOK: ://www.facebook.com/n-point
Fuatilia matangazo ya moja kwa moja kupitia Akaunti yetu ya Youtube na mitandao mingine ya kijamii.