The Chanzo

The Chanzo Uchambuzi, maoni, uchunguzi na habari zenye kugusa jamii
(2)

05/05/2026

Ruto anadi mradi wa kiwanda cha mafuta Bungeni, 'Nawasaidia kuleta uwekezaji Tanga'

05/05/2026

'A system that marginalizes Africa cannot claim legitimacy'

05/05/2026

Zanzibar yajipanga na matumizi ya nishati mbadala

05/05/2026

Tanzania MP Prays for Ruto to Win Next Election.

Mbunge ashusha maombi kwa Rais Ruto ashinde uchaguzi

05/05/2026

Kutana na kanisa linalowaunganisha viziwi kuabudu pamoja Dodoma

05/05/2026

Ungekuwa na mamlaka ni kitu gani ungefanya ili vijana wanufaike na fursa?

Kupitia jukwaa hili la , vijana wanajadili, kuchambua na kutoa mwelekeo wa utekelazaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 kutoka kwenye mtazamo wa maisha yao halisi ya kila siku.

Tunawaleta vijana pamoja na kuwaunganisha na safari ya taifa lao, tukilenga kukuza utamaduni wa fikra tunduizi, pamoja na midahalo inayoambatana na vitendo.


Kufuatilia mjadala mzima nenda YouTube chaneli ya The Chanzo,link kwenye bio.

04/05/2026

Rais Samia, Ruto wajadili jinsi ya kukabiliana na vijana watovu wa nidhamu Afrika Mashariki

“Leo tulikuwa tunazungumza na Rais Ruto,tukawa tunazungumza jinsi ya kudeal na hawa watoto wetu watovu adabu wanaojiita nani hilo jina,hao hao. Eti na wenyewe wanajifanya ni hao wa East Africa kwa hiyo popote wanakwenda kupigania demokrasi. Kwa hiyo wafanye fujo huku, wachome huku wadisturb serikali zao,” ameeleza Rais Samia akishiriki kongamano la biashara kati ya Kenya na Tanzania.

“Nikamwambia Ruto inabidi kusimama imara kwenye hili,watovu wa adabu hawa,tusichague Watanzania au Wakenya. Wakija kwangu nachapa mikwaju, wakija kwako chapa mikwaju ili wakae sawa. Na hapo tutapata jumuiya ambayo, ina watu wenye heshima na ina watu walio nyooka. Neno demokrasi lisituchafulie nchi zetu,” amesisitiza zaidi Rais Samia.

04/05/2026

Tanga Refinery Proposal on Agenda as Samia Meets Ruto | Rais Samia-Ruto wajadili wazo la kiwanda cha kuchakata mafuta Tanga.

04/05/2026

CCM Walimpachika Katambi CHADEMA? Kihongosi aacha kitendawili kwa CHADEMA

04/05/2026

Prof. Mkumbo Urges Kenya, Tanzania to Leverage Comparative Advantage for Shared Prosperity

Dar es Salaam: Tanzania’s Minister of State for Planning and Investment has called on Kenya and Tanzania to leverage their comparative advantages for shared prosperity, noting that both countries possess unique strengths.

Prof. Mkumbo made the remarks during the Tanzania–Kenya Business Forum 2026 held at the Julius Nyerere International Conference Centre today, ahead of the Kenyan President’s two-day state visit to Tanzania on May 4–5, 2026.

“As a pan-Africanist, I must say that our future success will not come from competing against each other. It will come from complementing each other. We must move from the mindset of competition to a mindset of leveraging our comparative advantage. Because when Tanzania and Kenya try to do the same thing in the same way, we fragment markets and dilute scale. But when we specialize and integrate, we create strength.”

04/05/2026

ACT Wazalendo Yataka Viongozi wa Vyombo vya Usalama Kujiuzulu Kufuatia Taarifa ya Ripoti ya Jaji Chande

Dar es Salaam. Makamu Mwenyekiti Bara wa chama cha ACT Wazalendo, Isihaka Mchinjita amesema kuwa kufuatia taarifa ya Ripoti ya Jaji Chande kuhusu matukio ya Oktoba 29 wanawataka wakuu wa vyombo vya ulinzi na usalama wajiuzulu.

Mchinjita ameyasema hayo wakati akisoma maazimio ya Kikao cha Kamati Kuu ya ACT Wazalendo kilichoketi Mei 3, 2026 jijini Magomeni jijini Dar es Salaam kwa lengo la kujadili taarifa ya Ripoti ya Jaji Chande aliyoikabidhi kwa Rais siku ya Aprili 23, 2026.

04/05/2026

'Ningekuwa Rais ningefuata nyayo za Magufuli'

Kupitia jukwaa hili la , vijana wanajadili, kuchambua na kutoa mwelekeo wa utekelazaji wa Dira ya Taifa ya Maendeleo ya 2050 kutoka kwenye mtazamo wa maisha yao halisi ya kila siku.

Tunawaleta vijana pamoja na kuwaunganisha na safari ya taifa lao, tukilenga kukuza utamaduni wa fikra tunduizi, pamoja na midahalo inayoambatana na vitendo.


Kufuatilia mjadala mzima nenda YouTube chaneli ya The Chanzo,link kwenye bio.

Address

Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when The Chanzo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to The Chanzo:

Share