0fficialazizz

0fficialazizz Tunazungumza Soka 🤝

Kwa Matangazo☎️0675342851
(1)

Its Salem Al Dawsari 🧠🙌🙌..Mchezaji Bora Kwa Wachezaji wanaocheza Ligi za Ndani Bara la Asia ni Captain wa Al Hilal na ti...
16/10/2025

Its Salem Al Dawsari 🧠🙌🙌..

Mchezaji Bora Kwa Wachezaji wanaocheza Ligi za Ndani Bara la Asia ni Captain wa Al Hilal na timu ya taifa ya Saudia Salem Al Dawsari

✅Mchezaji wangu Bora wa Muda wote kutoka Asia .

Ukishamtoa Lewandoski katika Target ya Kuliona Goli then Jina la Pili ni Fermin Lopez 🧠.Huyu kwangu akiwa Uwanjani Uweze...
16/10/2025

Ukishamtoa Lewandoski katika Target ya Kuliona Goli then Jina la Pili ni Fermin Lopez 🧠.

Huyu kwangu akiwa Uwanjani Uwezekano wa Kupata bao ni Mkubwa sana .

Baada ya kukosekana kwa muda sasa amerejea rasmi anaendelea na mazoezi na Kikosi ✍🏻

Hii ni taarifa njema siyo tu kwa Hans Flick bali hata kwa mashabiki wa Barcelona

Kwa maana katika eneo la Ushambuliaji kuna majeraha mengi sana .

Our Talisman ✍🏻✅.

.Amefungwa Spain Amefungwa USA Amefungwa France Fainali ni Argentina na Morocco katika Kombe la Dunia la Vijana chini ya...
16/10/2025

.

Amefungwa Spain
Amefungwa USA
Amefungwa France

Fainali ni Argentina na Morocco katika Kombe la Dunia la Vijana chini ya umri wa miaka 20 huko Chile 🙌🙌.

Simba wa Milima ya Atlas wapo Serious sana kutengeneza Kizazi cha miaka zaidi ya 10 mbeleni 🙌.

FULL TIME | UEFA CHAMPIONS LEAGUE 👭.AS Roma 0️⃣➖4️⃣ Barcelona .⚽️Esmee Brugts⚽️Kika Nazareth⚽️Alexia Putellas ⚽️Caroline...
15/10/2025

FULL TIME | UEFA CHAMPIONS LEAGUE 👭.

AS Roma 0️⃣➖4️⃣ Barcelona .

⚽️Esmee Brugts
⚽️Kika Nazareth
⚽️Alexia Putellas
⚽️Caroline Graham

Alexia na Kukosa Penati 😅🙌🙌.

15/10/2025

HILI BUNGE 😃😅😅🙌🙌🙌🙌........

🧠Brain ya Mpira🙌🙌2029 mbali Ujue na hata tukifika hana anakoenda labda tumruhusu tu hizi ndo taarifa njema .Barcelona in...
15/10/2025

🧠Brain ya Mpira🙌🙌

2029 mbali Ujue na hata tukifika hana anakoenda labda tumruhusu tu hizi ndo taarifa njema .

Barcelona inazidi kuendelea kuwa salama na kizazi chake bora cha Mpira wa miguu

Kuendelea kukumbatia wachezaji Bora wote kwa mikataba mirefu ni kutengeneza mazingira bora

Si tu kwa Hans Flick hata kocha atakayekuja Baada ya Hans Flick 👊

✅LAPORTA MITANO TENA 😃.

🇨🇮Kaka atacheza Kombe la Dunia akiwa na timu ya taifa ya Ivory Coast 🇫🇷Mdogo mtu asilimia nyingi atacheza Kombe la Dunia...
15/10/2025

🇨🇮Kaka atacheza Kombe la Dunia akiwa na timu ya taifa ya Ivory Coast

🇫🇷Mdogo mtu asilimia nyingi atacheza Kombe la Dunia akiwa na Ufaransa

✅Doue Family

🇨🇮Guéla Maho Lewis Doué [22]
🇫🇷Désiré Nonka-Maho Doué [20]

Wote wamecheza timu za Vijana kwenye mataifa ayo kabla ya kuitwa kuitumikia timu ya wakubwa .

Wachezaji wengi sana wa timu ya taifa ya Afrika Kusini wamekuwa na mwendelezo mzuri wa kuipatia timu ya taifa Faida na s...
15/10/2025

Wachezaji wengi sana wa timu ya taifa ya Afrika Kusini wamekuwa na mwendelezo mzuri wa kuipatia timu ya taifa Faida na siyo kwa bahati bali ni Mipango ambayo imewekwa kusimamia soka lao

Wachezaji wengi wamecheza michuano ngazi za vijana mpaka kufika national team hivyo mwendelezo huu umeifanya timu ya taifa kuwa na Structure inayoeleweka

Mfano Teboho Mokoena ,

✅Kacheza AFCON U20
✅Kacheza AFCON U23
✅Then anacheza AFCON na Senior Team

✅Kacheza World Cup U20
✅Kacheza Michuano ya Olympic U23
✅Anaenda Kucheza World Cup na Senior Team

Ukitaka kuelewa nachomaanisha , Kawaangalie wale Vijana wa U20 wa Afrika kusini ambao wamecheza michuano ya Kombe la Dunia huko Chile ..

Hao hao baadae utakuja kuwakuta wengi wapo na timu ya taifa ya U23 na baada ya miaka kadhaa utakuja kuwakuta wapo Senior team.. 100%

Kwa hali hii unakosaje kuwa na timu yenye maelewano na muunganiko unaoeleweka !

Football ukifanikiwa kwa shortcut basi ni 5% ila ukifuata njia zake 95% Utafanikiwa kwa Ukubwa .

[📸 ]

15/10/2025

Utani wa Ngumi huu .....😅😅😅😅

15/10/2025
14/10/2025

Pyuu Pyuuu 😀😀😀...

Hiki Chuma bhana🙌🙌🙌

>>>>>>🇬🇦Gabon 🇨🇩DR Congo 🇨🇲Cameroon 🇳🇬Nigeria Hiyo Slide ya Pili ni namna timu zimechujwa na Kupata wawakilishi wanne ku...
14/10/2025

>>>>>>

🇬🇦Gabon
🇨🇩DR Congo
🇨🇲Cameroon
🇳🇬Nigeria

Hiyo Slide ya Pili ni namna timu zimechujwa na Kupata wawakilishi wanne kucheza Playoffs

Ndiyo maana Nigeria tukamuona amechomoza Pamoja na Kuzidiwa alama na mataifa k**a Burkina Faso na Madagascar (hii hata mimi sielew😃) .

✅Kwangu Utaratibu wa wale Bara la Asia 🙌🙌wamenyooka sana mchujo wao umekaa kiakili sana na Kibingwa sana .

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when 0fficialazizz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share