0fficialazizz

0fficialazizz ⚠️ If I’m trolling your team, it’s probably because they deserved it. Content + Story telling = πŸ”₯⚽️

Visca Barca πŸ’™ || GGMU ❀

Yaani Hata Mpinzani wake naamini ukikaa nae Pembeni LAZIMA atakwambia kuwa nilijua tu Don Perez anashinda πŸ˜€πŸ˜€Ngumu sana k...
07/06/2026

Yaani Hata Mpinzani wake naamini ukikaa nae Pembeni LAZIMA atakwambia kuwa nilijua tu Don Perez anashinda πŸ˜€πŸ˜€

Ngumu sana kumng'oa Don Perez ....Pale na hakuna Madridista hata mmoja anaweza kukuelewa .

Ni sawa na wale ambao wanadhani Joan Laporta anaweza kuangushwa na mtu kwenye Uchaguzi pale Barcelona ..

βœ… SASA NGOJA TUSUBIRI DILI LA MIKAILI KUTOKA BAYERN 😎.

Maestro Kaaanguka tena kwa mara nyingine Uwanjani πŸ₯ΆπŸ’”.....❌ Mechi ya Ukraine na Denmark ilisimama kwa muda kabla ya Kugha...
07/06/2026

Maestro Kaaanguka tena kwa mara nyingine Uwanjani πŸ₯ΆπŸ’”.....

❌ Mechi ya Ukraine na Denmark ilisimama kwa muda kabla ya Kughairishwa moja kwa moja .

Hii ni Mara ya pili kwa Eriksen kuanguka Uwanjani .....

Kwa Mujibu wa Fabrizio ni kuwa jamaa kapelekwa Hospital akiwa tayar amezinduka na hali imeimarika(Taarifa rasmi ya Shirikisho la soka la Denmark ) .

Nadhan Maestro muda wa kutundika Daruga umefika πŸ€πŸ™πŸ™β€.

Kombe la Dunia lianze tu πŸ˜€πŸ˜€πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯.Baada ya mwaka 2010 Spain haijawah kuwa na Kombe la Dunia Bora sana Mwaka huu ndiyo unata...
07/06/2026

Kombe la Dunia lianze tu πŸ˜€πŸ˜€πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯.

Baada ya mwaka 2010 Spain haijawah kuwa na Kombe la Dunia Bora sana

Mwaka huu ndiyo unatazamiwa k**a "The Return of Champions "

Lakini ni Kombe la Dunia ambalo kila taifa kubwa linaona k**a ni wakati wao wa kufanya kitu

Hivyo lazima watakutana na Upinzani mkubwa sana ..

Mpira mzuri unapatikana Spain na Wachezaji wazuri wanao ni suala la kubeba Nembo ya Taifa kwa 100% .

βœ… SPAIN ,ARGENTINA ...AFRICA WOOTE ....COUNT ME IN πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ“’

Tangu msimu jana Bernardo Silva alikuwa tayari ni mchezaji wa Barcelona hili wala halina kona kona ..Silva atacheza Barc...
07/06/2026

Tangu msimu jana Bernardo Silva alikuwa tayari ni mchezaji wa Barcelona hili wala halina kona kona ..

Silva atacheza Barcelona msimu ujao ...Yeye Kutocheza Barcelona labda waamue wao kutelekeza Dili

Ila Barca hana mshindani akitia mguu kwake maana ni klabu ya Ndoto zake

Hatatamani kumaliza soka lake bila ya kucheza kwenye Viunga vya Camp Nou πŸ”₯πŸ”₯

Kuna watu ambao wanasema πŸ‘‡

" Barcelona imegeuka kuwa klabu ya Wastaafu sasa mnaokoteza tu wachezaji ambao wanaenda kula Pensheni ya kustaafu "

Lakini ukiwaambiwa wakutajie ao wanaowaita wastaafu huwez kupata majibu πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜…

βœ… Kiungo chetu hakina shida ila Ongezeko lako litakuwa Special sana .

.Unaambiwa Chuma Kipo tayari kwa ajili ya michuano ya Kombe la Dunia Kipo tayari kuziba nafasi za watu wawili Uwanjani k...
07/06/2026

.

Unaambiwa Chuma Kipo tayari kwa ajili ya michuano ya Kombe la Dunia

Kipo tayari kuziba nafasi za watu wawili Uwanjani kwa Majukumu

Giuliano Simeone yupo tayari kukimbia kimbia uwanjani kwa dakika zaidi ya 100 uwanjani

90 zikiwa zake na zilizosalia kuziba pengo la Lionel Messi hasa wakati wa Pressing na Kuutafta Mpira wakiupoteza πŸ˜€πŸ™Œ

Kwenye Mpira kuna Kipaji lakin kuna Juhudi then kuna Juhudi na Kipaji cha kawaida tu ambayo ndiyo Perfect Combo πŸ™Œ

Sasa hiyo Perfect Combo ndo Giuliano Simeone ...Yey kwake Mpira ni zaidi ya Kipaji

Anakwambia mimi kila nikipewa nafasi kucheza uwa nahisi ndo nafasi yangu ya mwsho kwahiyo natoa kila ambacho naweza maana timu ya taifa siyo timu ya mtu mmoja

Ili uweze kuwepo mara kwa mara unatakiwa kutumia nafasi unayopewa as if hutopewa tena nafasi nyingine

Nina Imagine unakuta Upande wa kulia una Nahuel Molina na Giuliano simeone πŸ˜€πŸ˜€huu moto beki wa kushoto bila msaada anaweza kuomba Sub

Maana hapo wote uwa wanabadilishana majukumu winga anakuwa beki na beki anakuwa winga kibaya zaidi hapo ni Kasi yao kwa dakika zote 90+ πŸ™Œ

βœ… Huyu Mtoto wa El Chollo bhana anajituma khaa!! πŸ™Œ sijui anakula nn .

Brighton walikataaa Euro 75m kutoka kwa Manchester United wakidai wanataka zaidi ya hiyo ili waweze kumuachia Kiungo wao...
06/06/2026

Brighton walikataaa Euro 75m kutoka kwa Manchester United wakidai wanataka zaidi ya hiyo ili waweze kumuachia Kiungo wao Carlos Baleba .

Ila Sasa United hata Euro 60m wanaona k**a watakua wamepigwa na habari ya Baleba ni k**a wameitoa Kichwani ,

Kwasasa Majeshi wamehamishia kwa Mateus Fernandez , lakini West Ham nao wamekaza wanasema chini ya 80m hawakai mezani πŸ™Œ..

Bado United ina Optipn ya Sandro Tonali , Elliot Anderson . Kwa hali hii unaona kabisa Carlos Baleba akichomoza basi izo Option zote zitakua zimegonga mwamba

Hapo hapo Kiungo wa Mpira Alex Scott naye United wanamfatilia kwa Ukaribu sana .

Wawili Kati ya awa wote wataungana na Γ‰derson JosΓ© dos Santos LourenΓ§o da Silva k**a usajili wa Eneo la Kiungo πŸ”₯πŸ™Œ.

βœ… Baada ya Hapo itakuwa Bora Ukutane na Simba ambaye kajeruhiwa kuliko kukutana na United Eneo la Kiungo πŸ˜€.

🚨 πŽπ…π…πˆπ‚πˆπ€π‹ | Ederson to Man United ..Its a Done deal πŸ”₯..Mashabiki wengi wakiliskia jina "Ederson" wanamfikiria kipa maar...
06/06/2026

🚨 πŽπ…π…πˆπ‚πˆπ€π‹ | Ederson to Man United ..Its a Done deal πŸ”₯..

Mashabiki wengi wakiliskia jina "Ederson" wanamfikiria kipa maarufu wa Manchester City,....LAKINI

Kwetu ni usajili wa Mbrazili mwenye umri wa miaka 26 ambaye alikuwa tegemeo ndani ya Atalanta NUSU MTU NUSU CHUMA.

Kinachofanya hadithi hii iwafurahishe zaidi mashabiki wa United ni kwamba Γ‰derson inasemekana aliipa kipaumbele Manchester United mbele ya vilabu vingine vikubwa kwa sababu alivutiwa na Upendo wa mashabiki wa Old Trafford.

βœ… Bado Wengine K**a Watatu kwenye Kiungo πŸ˜€πŸ˜€πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ.

KYLIAN MBAPE πŸ—£" Kila Mtu Duniani anaamini na anajua kuwa Real Madrid ndiyo Klabu Bora Duniani kasoro mashabiki wa FC BAR...
06/06/2026

KYLIAN MBAPE πŸ—£

" Kila Mtu Duniani anaamini na anajua kuwa Real Madrid ndiyo Klabu Bora Duniani kasoro mashabiki wa FC BARCELONA "

Kwahiyo Mbape anasema sisi tu ndo hatuamin na hatutaki kujua kuwa Timu ya Real ndiyo bora Duniani πŸ˜€πŸ˜€πŸ˜€πŸ™Œ.

.Siku ikitokea Mtu akakwambia kuwa Babu Daniel katika Ubora wake alikuwa ni Mbavu ya Kawaida sana . Msikilize tena kwa u...
06/06/2026

.

Siku ikitokea Mtu akakwambia kuwa Babu Daniel katika Ubora wake alikuwa ni Mbavu ya Kawaida sana .

Msikilize tena kwa umakini kisha fanya yafuatayo πŸ˜€..

βœ… Usikubali kuondoka eneo la tukio bila kuhakikisha anafuta kauli yake hiyo

βœ… Fanya vyovyote vile hata ikiwezekana rusha ngumi kabisa ila usikubali awaaminishe wengine kuwa Babu Daniel alikuwa wa kawaida πŸ˜€.

Mwsho kabisa k**a ukifanikisha hilo basi kula gia mbele kwa mbele ila k**a ukishindwa basi Jiapize kuwa HUTOKUJA KUONGEA NAYE KUHUSU FOOTBALL πŸ˜€πŸ˜€.

NB: Kile Kitendo alichomfanyia Jamal Musiala kwenye Michuano ya Euro kwangu Uwa naamini Ndiye aliwapa Spain Taji πŸ”₯πŸ™Œ Babuu

Address

Ubungo
Dar Es Salaam

Telephone

+255675342851

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when 0fficialazizz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share