Manya tv

Manya tv Amazing Tv For Your Sports , Business, Entertainment With Breaking News. in-depth Analysis And Exclusive Interviews ๐Ÿงก๐Ÿ’™

Tangaza na AMAZING DIGITAL kwa bei nafuu . Pia amazing digital  tunatengeneza Logo , Bango la matangazo & biashara  Vyet...
05/03/2025

Tangaza na AMAZING DIGITAL kwa bei nafuu . Pia amazing digital tunatengeneza Logo , Bango la matangazo & biashara Vyeti pamoja na kadi za mwaliko kwa bei nafuu kabisa

WASILIANA NASI KUPITIA WHATSAPP +255 784 429 768

05/03/2025
Msanii wa Bingo Fleva  Amefunguka kuwa jina la Msikiti ambao alimshauri  kuujenga huko Mtwara alipozaliwa Harmonize, uta...
02/03/2025

Msanii wa Bingo Fleva Amefunguka kuwa jina la Msikiti ambao alimshauri kuujenga huko Mtwara alipozaliwa Harmonize, utaitwa Masjid Naseeb ikiwa ni heshima kwa Boss wake huyo wa zamani ambaye alitoa pesa kuanza ujenzi wa Msikiti huo.

Pia Harmonize amefunguka kuwa baada ya ujenzi kusimama wiki iliyopita tayari amekamilisha malipo yote hivyo ujenzi utaendelea na utakamilika kabla ya sikukuu ya Eid.

"TULIKUWA NA TABIA YA KUKUMBUSHANA KUWEKEZA MBELE ZA MUNGU IKIWEMO KUTOA SADAKA MWAKA 2018 NILIMSHAURI MY BROTHER NASEEB TUJENGE MSIKITI HUU KIJIJINI KWETU BAADA YA KUTAMBUA WANAKIJIJI WANA UHITAJI WANA KIU YA MAHALA PAZURI KWAJILI YA KUMLILJA MUNGU WETU KUFANYA TOBA DIAMOND ALINIPATIA PESA YA KUANZISHA MSIKITI HUU BAADA YA SHETANI KUSIMAMA KATI NA MSIKITI HUU UKASIMAMA MPAKA LAST WEEK MUNGU ALIVYOSEMA SHETANI INATOSHA ALHAMDULILAH RIZIKI ฮฮ™ฮฮ‘ PATA NIMESHATOA BUDGET YOOOTE MSIKITI UMALIZWE HARAKA IWEZEKANAVYO INSHALLAH MPAKA KUFIKIA SIKU YA EID LFITIR NITAFURAHI KUONA IBADA IKIFANYIKA HAPA NA NIMEWAOMBA WANAKIJIJI WENZANGU HUU MSIKITI TUMEUBATIZA JINA MUNGU AKUZIDISHIE NDUGU YANGU HUJAPOTEZA RAMADHAN KAREEM"

โœ๏ธ|


Barcelona wanatazamia kumuongezea mkataba Raphinha ukiwa na kipengele cha kumuuza baada ya Kombe la Dunia la 2026 kwa mu...
02/03/2025

Barcelona wanatazamia kumuongezea mkataba Raphinha ukiwa na kipengele cha kumuuza baada ya Kombe la Dunia la 2026 kwa mujibu wa ripoti kutoka nchini Uhispania.

Mchezaji huyo mwenye umri wa miaka 28 amekuwa miongoni mwa wachezaji bora zaidi wa Barcelona wa msimu huu, akifunga mabao 24 na kusaidia (assists)18 katika mechi 38 katika mashindano yote.

Klabu za Premier League na Saudi Pro League zimetajwa kuhitaji huduma ya Raphinha. Jarida la Uhispania Mundo Deportivo limeripoti kwamba Barcelona, ambayo hivi karibuni iliwaongeza mikataba Pedri, Gavi, Pau Cubarsi, Ronald Araujo na Inigo Martinez, wanapanga kuweka masharti mapya kwa Yamal, Jules Kounde na Raphinha, huku Wachezaji hao wakiwa tayari wamepewa ofa mezani.

โœ๏ธ |


Haujakosea kuichagua   ni moja kati ya sehemu utakazopata kila Taarifa inayohusu soka na Habari kwa ujumla Endelea kupat...
02/03/2025

Haujakosea kuichagua ni moja kati ya sehemu utakazopata kila Taarifa inayohusu soka na Habari kwa ujumla

Endelea kupata taarifa za uhakika ๐Ÿงก๐Ÿ’™


Wanaume 22 watakao vuja jasho KMC Complex saa  10 hawa hapa
01/02/2025

Wanaume 22 watakao vuja jasho KMC Complex saa 10 hawa hapa

Address

Avic Town
Dar Es Salaam
YANGASC1935

Website

https://www.instagram.com/manya_tv47?igsh=MWg2aHR2ZTQza2lxdQ%3D%3D, https:/

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Manya tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share