Hussein Msume

Hussein Msume A hidden gem 💎

Pita nao up mshikaji
18/02/2026

Pita nao up mshikaji

15/02/2026
MATOKEO YA DROO YA CRDB CONFEDERATION HATUA YA 64 BORA
09/02/2026

MATOKEO YA DROO YA CRDB CONFEDERATION HATUA YA 64 BORA

Ushindwe wewe tu
01/02/2026

Ushindwe wewe tu

‼️Inaelezwa Simba SC 🇹🇿 wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast 🇨🇮 Alain Anicet Oura mwenye um...
21/01/2026

‼️Inaelezwa Simba SC 🇹🇿 wamekamilisha usajili wa mshambuliaji wa kimataifa wa Ivory Coast 🇨🇮 Alain Anicet Oura mwenye umri wa miaka 26 akitokea IF Gnistan ya Daraja la kwanza nchini Finland 🇫🇮,

Alain Anicet Oura amewahi Kufanya Kazi na Kocha Steve Barker 🇿🇦 wakiwa Stellenbosch.

MAMADOU SY ✅✅✅✅✅✅
20/01/2026

MAMADOU SY ✅✅✅✅✅✅

DEAL DONE, CLATOUS CHAMA ✔️ Kiungo Clatous Chama ni rasmi amejiunga na Simba Sports Club, Chama amerejea tena Simba Spor...
20/01/2026

DEAL DONE, CLATOUS CHAMA ✔️

Kiungo Clatous Chama ni rasmi amejiunga na Simba Sports Club, Chama amerejea tena Simba Sports Club.

Clatous Chama anacheza mechi yake ya mwisho leo akiwa na jezi ya Singida Black Stars pale KMC COMPLEX.

Taarifa rasmi ya Singida Black Stars inakuja, Chama atakuwepo uwanja wa KMC Complex leo wakati Singida Black Stars ikicheza dhidi ya JKT Tanzania.

Ukiambiwa useme neno moja kwa hii club utaiambia neno gani?
17/01/2026

Ukiambiwa useme neno moja kwa hii club utaiambia neno gani?

Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa beki wa kati wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Ismaël Olivier Touré (28), kwa m...
15/01/2026

Klabu ya Simba SC imekamilisha usajili wa beki wa kati wa kimataifa kutoka Ivory Coast, Ismaël Olivier Touré (28), kwa mkataba wa miaka mitatu.

Touré, ambaye tayari amewasili nchini Tanzania, anakuja kuimarisha safu ya ulinzi ya Wekundu wa Msimbazi akitokea klabu ya Stellenbosch FC ya Afrika Kusini, ambako alijizolea sifa k**a mmoja wa mabeki bora na imara zaidi kwenye ligi hiyo.

​Usajili huu ni pendekezo la moja kwa moja la kocha mkuu kuelekea mchezo muhimu wa Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya ES Tunis uliopangwa kufanyika Januari 23, 2026.

Kwa uzoefu wake wa kucheza mashindano makubwa k**a CAF Confederation Cup na uwezo wake wa kuongoza safu ya ulinzi, Touré anatarajiwa kuwa nguzo muhimu katika kuhakikisha ukuta wa Simba unakuwa imara zaidi kwenye michuano ya ndani na kimataifa.

Rasmi ni mwananchi 💪💪
12/01/2026

Rasmi ni mwananchi 💪💪

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255764291406

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hussein Msume posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share