Haji S Manara

Haji S Manara Bugatti de la boss. Content Creator. Brand Ambassador. C.E.O manara Tv. Fans Page.
(3)

31/05/2026

Ila huyu Mwadawa anantafuta muhali tuπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺπŸ€ͺ Wengine hatupigiwi tunacheza. Hayo magongo tutayahifadhi mahali panapostahili πŸ€ͺπŸ€ͺ Haya ngoja tuone kinachofuata.

31/05/2026

Wallah Mungu ni mkubwa sana aiseee, Sipati picha Mafulugobe jana wangefluk kushinda Ubingwa sijui tungekaaje mjini. Mola wetu umetustiri na kelele za hawa Sondoweka wangetutoa roho zetuπŸ€ͺπŸ€ͺ

31/05/2026

Hawa kuku kilichowaponza mdomo. Champions League is not for everyone!! Pyeeeeeeeeeeeeeeeeeeeeee

30/05/2026

Niliulizwa swali why me na kwa nini nna shughuli nyingi hivi na sitaki kuwaachia Vijana ambao naambiwa wanalalamika? Yes mimi ni Diwani wa kata ya Kariakoo. Mwenyekiti wa k**ati ya Mipango miji jiji la Dsm,Mmiliki wa Manara Tv,Mtangazaji Wasafi,Balozi wa Makampuni mbali mbali,,Muigizaji Mwalikwa wa Kombolela lakini kubwa ni Mkulima na Mfugaji. Na wiki hii Mhe. Makonda kanipa teuzi kubwa ya kuwa Semaji la Team za Taifa. Guys kazi nyingi hapo sijajiteua au kujipeleka ukiacha ile ya kulima na ya ,wenzangu wameona nafaa na Mungu mwenye kutoa rizki kanipa hicho kibali na muda na nafasi ya kufanya shughuli zote hzo nnazo. Dhambi ipo wapi? Au mlitaka msikie nauza ngada au nishike mtutu niwe jambazi? Mhe. Mwanafa aliniambia siku moja "kuzaliwa Masikini huamui ila kufa Maskini ndio lawama zako" na Marehemu bibi yangu alikuwa na msemo wake mkubwa kwangu’ kazi mbaya Sio mchezo mwema’ Wengi wetu msingekubali kuwa fundi Chande na mngetaka kuigiza mmevaa Suti na huku mnaendesha mabenzi, Mimi ili mradi mkono unaenda kinywani na ni kazi ya halali nafanya bila tabu. Nb-Ukiwa na kazi nyingine nipe ,,Buldoza nipo hapa ntakutumikiaπŸ€ͺ mwanafa

Asanteni sana sana Wanahabari wenzangu kwa Coverage kubwa mliyotupa kwenye Press Conference yetu ya kwanza pale Johari R...
30/05/2026

Asanteni sana sana Wanahabari wenzangu kwa Coverage kubwa mliyotupa kwenye Press Conference yetu ya kwanza pale Johari Rotana jana mchana. Imeenda imeenda na imeenda sana. Mmetenda haki kwa Watanzania na huu uwe mwanzo tu kwenye jambo letu kuhusu Team zetu za Taifa. Bila nyinyi agenda zetu haziwezi kutoboa abadan,Mdomo wetu unategemea nguvu yenu mliyonayo katika kufikisha ujumbe. Again Thanks a lot πŸ™πŸ™πŸ™

Anapambana k**a hana uchovu 😀πŸ”₯Uwanjani ni kazi tu, hachoki hata kidogo βš½πŸ’―πŸ”₯πŸ’šπŸ’›
29/05/2026

Anapambana k**a hana uchovu 😀πŸ”₯
Uwanjani ni kazi tu, hachoki hata kidogo βš½πŸ’―πŸ”₯πŸ’šπŸ’›

Leo tarehe 29/5/06 baada ya Swala ya Ijumaa saa saba na nusu mchana ,,kwenye hoteli ya Johari Rotana hapa jijini Dar es ...
29/05/2026

Leo tarehe 29/5/06 baada ya Swala ya Ijumaa saa saba na nusu mchana ,,kwenye hoteli ya Johari Rotana hapa jijini Dar es salaam,nitaongea na Waandishi wa habari tukiwa pamoja na Baraza la Michezo la Taifa (BMT) Karibuni sana Wanahabari wenzanguπŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™πŸ™

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Haji S Manara posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share