12/10/2025
https://gudemediadigital.blogspot.com/2025/10/balozi-mulamula-tusichezee-amani.html
MJUMBE Maalumu wa Umoja Wa Afrika kuhusu Ajenda ya Wanawake, Amani na Usalama, Balozi Liberata Mulamula amesisitiza wananchi kulinda amani kuelekea uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29, mwaka huu.Ameyasema hayo, katika mkutano wa Kampeni uliofanyika Jimbo la Kibamba, Wilaya ya Ubungo jijini Dar es....