Joelmediatz

Joelmediatz 🎨 Designing | πŸ–¨ Printing | πŸš€ Branding
Mabango ya 2D, 3D & Neon Sign
CNC Cutting β€’ Engraving β€’ Grooving
πŸ“ Mwananyamala A
πŸ“ž +255 745 152 680

Kuna kipindi nilikutana na mfanyabiashara mmoja.Biashara yake ilikuwa inaingiza pesa.Wateja walikuwepo.Mauzo yalikuwa ya...
11/06/2026

Kuna kipindi nilikutana na mfanyabiashara mmoja.

Biashara yake ilikuwa inaingiza pesa.

Wateja walikuwepo.

Mauzo yalikuwa yanaenda.

Lakini nilipomuuliza swali moja rahisi:

β€œKwa mwezi uliopita ulipata faida kiasi gani?”

Alinyamaza.

Akanijibu:

β€œNahisi nilipata… ila sijui kwa uhakika.”

Hapo ndipo niligundua tatizo ambalo wafanyabiashara wengi wanalo.

Watu wengi wanauza.

Lakini hawajui biashara ina faida au hasara.

Unakuta hela zinaingia kila siku, lakini mwisho wa mwezi hujui pesa zimeenda wapi.

Na ukweli ni huu:

Biashara isiyokuwa na takwimu ni rahisi kufa kimya kimya.

Moja ya vitu vilivyosaidia wafanyabiashara wengi ninaofanya nao kazi ni kuanza kutumia Excel kufunga hesabu za biashara zao.

Na hizi ni baadhi ya faida zake:

1. Inakupa uhakika wa takwimu sahihi
Excel inafanya mahesabu yenyewe kwa formula, hivyo unapunguza makosa ya kujumlisha au kusahau.

2. Inarahisisha kutunza rekodi
Mapato, matumizi, madeni, stock β€” kila kitu kinawekwa sehemu moja.

3. Inakusaidia kuelewa biashara yako
Unaweza kuona bidhaa gani zinauza zaidi, gani zinakaa stoo muda mrefu na biashara inaenda vipi.

4. Unapata ripoti haraka
Badala ya kuhesabu kwa makaratasi, unaweza kuona faida, matumizi au cash flow ndani ya dakika chache.

5. Inasaidia kupanga bajeti
Unaweza kuona unapoteza pesa wapi na kupanga matumizi vizuri zaidi.

6. Inaokoa muda na gharama
Hulazimiki kumtafuta mhasibu kila wakati kwa mambo madogo madogo ya kila siku.

K**a una biashara na bado unaandika kila kitu kichwani au kwenye karatasi zisizoeleweka…

Pengine huu ndio muda wa kubadilika.

Biashara nyingi hazifi kwa kukosa wateja.

Zinakufa kwa kukosa mfumo mzuri wa kusimamia pesa.

DM tukutumie Excel templates za biashara.

Au zipate kupitia website yetu:
joelmediaeducation.com/shop

Joel KadagaJoel Media Education

Kuna watu wanauza signage.Kuna watu wanajua kutengeneza signage.Na kuna watu wanajua kuanzia design hadi machine ikate k...
06/06/2026

Kuna watu wanauza signage.

Kuna watu wanajua kutengeneza signage.

Na kuna watu wanajua kuanzia design hadi machine ikate kazi yenyewe.

Sasa swali ni… wewe unataka kuwa kundi gani?

K**a unataka kujifunza CNC Signage & Branding kwa vitendo kuanzia 2D, 3D signage, LED, Neon, Vectric, pricing hadi kupata wateja hii Master Class ni kwa ajili yako.

Ndani ya wiki 2 tu utajifunza workflow halisi ya signage business, kutoka Illustrator hadi CNC machine.

βœ”οΈ Beginner unaruhusiwa
βœ”οΈ Graphic Designer unakaribishwa
βœ”οΈ Mfanyabiashara unafaa pia

πŸ“ Ubungo External – Dar es Salaam
πŸ“… Tunaanza 13 Julai
πŸ’° Early Bird: Tsh 200,000 (kabla ya 1 Julai)
πŸ’° Normal Fee: Tsh 250,000

Wanafunzi 10 tu kwa batch.

WhatsApp/Call: 0627 150 780 / 0745 152 680

27/05/2026
20/05/2026

Fire Extinguisher Signage

Tupi Mwananyamala Dar es salaam tunatengeneza Signage

Mawasiliano
0745 152 680
0627 150 780

08/05/2026

Tunatengeneza Vibao vvya mlangoni Alcobond Egraving Kuanzia Tsh 12,000 tu

Tunapatikana Dar es salaam Mwananyamala A Opposite na Jengo la Baraka Tele
+255 745 152 680

Huduma ya Logo Design (Brand Identity) inapatikana hapa Joel MediaKwa sasa tuna ofa maalum β€” ukichagua package yoyote ya...
20/04/2026

Huduma ya Logo Design (Brand Identity) inapatikana hapa Joel Media

Kwa sasa tuna ofa maalum β€” ukichagua package yoyote ya Logo, utapata 2D Signage ya ukutani bure kabisa!

Usikose nafasi hii ya kuboresha muonekano wa biashara yako kwa ubunifu wa hali ya juu.

Ofisi zetu zipo Ubungo External, Dar es Salaam
πŸ“ž +255 627 150 780 | +255 745 152 680

πŸ‘‰Wasiliana nasi Inbox kabla ofa haijaisha!

Nakuhakikishia huwezi kukosea kuweka Banner k**a hii kwenye biashara yakoInasaidia wateja kukuone kutokea pande zote mbi...
24/03/2026

Nakuhakikishia huwezi kukosea kuweka Banner k**a hii kwenye biashara yako

Inasaidia wateja kukuone kutokea pande zote mbili hata k**a Ofisi yako imejificha au ipo Barabarani utaonekana tu

Tupo Mwananyamala A Opposite na Jengo la Baraka Tele

Weka Oda yako sasa
0627 150 780
0745 152 680

K**a unataka muonekano wa tofauti kwenye biashara yako onana nasiHii ni moja ya project tuliyofanya siku za hivi karibun...
23/03/2026

K**a unataka muonekano wa tofauti kwenye biashara yako onana nasi

Hii ni moja ya project tuliyofanya siku za hivi karibuni Mkata Mkoani Tanga tunakufikia popote karibu sana Joel Media

Tunatengeneza:
βœ”οΈ Mabango ya 2D na 3D
βœ”οΈ Branding ya ofisi na biashara
βœ”οΈ Design, printing na Branding

πŸ“ Ofisi zetu zipo Mwananyamala A, opposite Jengo la Baraka Tele

πŸ“ž Wasiliana nasi:
0745 152 680 | 0627 150 780

K**a unataka muonekano wa tofauti kwenye biashara yako onana nasiHii ni moja ya project tuliyofanya siku za hivi karibun...
23/03/2026

K**a unataka muonekano wa tofauti kwenye biashara yako onana nasi

Hii ni moja ya project tuliyofanya siku za hivi karibuni Mkata Mkoani Tanga tunakufikia popote karibu sana Joel Media

Tunatengeneza:
βœ”οΈ Mabango ya 2D na 3D
βœ”οΈ Branding ya ofisi na biashara
βœ”οΈ Design na printing na Branding

πŸ“ Ofisi zetu zipo Mwananyamala A, opposite Jengo la Baraka Tele

πŸ“ž Wasiliana nasi:
0745 152 680 | 0627 150 780

Address

P. O. BOX 61087
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Joelmediatz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share