McBenvics

McBenvics Elius Kamuhangire | Marketing I help College Graduates with no Capital To start Digital Businesses.

I help business owners marketing their businesses and Building Customer acquisition systems

11/01/2026

2026 Mwaka wa Fedha😅

11/01/2026
09/01/2026

Jifurahishe

09/01/2026

Sam Altman alisema tuko karibu kuona billion-dollar one-person company.

Wengi walisikia hiyo kauli wakafikiri:
“Hii ni ya tech geniuses tu.”

Sio kweli.

Anachomaanisha ni hiki:
AI inafuta hitaji la kuwa na team kubwa.

Mtu mmoja anaweza sasa:
• Kufanya market research kwa dakika
• Kutengeneza content bila burnout
• Kuandika ads zinazouza kweli
• Kujibu DMs faster na smarter
• Kuuza hata ukiwa offline

Fursa sio AI yenyewe.
Fursa ni kujua kuitumia AI kuuza.

Social media ndiyo distribution.
AI ndiyo leverage.
Systems ndiyo tofauti.

K**a bado unapost random,
unajibu DMs manually,
na unategemea visibility ikuletee sales…

Unatumia tools za 2026
lakini mindset ya 2018.

Ninafundisha jinsi ya kutumia AI:
• Kuvuta wateja sahihi
• Kubadilisha content kuwa customers
• Kujenga simple sales system (Instagram + WhatsApp)

Hakuna coding.
Hakuna budget kubwa.
Ni systems zinazoeleweka na zinafanya kazi.

Comment “Strategy” nikuonyeshe pa kuanzia.

06/01/2026

K**a Unapost kila siku…
Unapata likes…
Unapata views …
lakini wateja hawaji…

Sababu mara nyingi sio algorithm.
Ni aina ya content na muundo wake!

Content nyingi zinafanya moja kati ya hizi:
– Inaelimisha tu
– Inaburudisha tu
– Inawafanya watu waseme “good point”

Lakini haiwaongozi kuchukua hatua ya kununua.

K**a content yako:
• Haiwaambii wafanye nini next
• Haiwaonyeshi namna ya kukufikia
• Haiwaelekezi kutoka kuwa “mtazamaji” kwenda kuwa “mteja”

Basi utapata followers, sio wateja.

Ndiyo maana kwenye free training yangu naonyesha:
– Jinsi ya kubadilisha educational content iwe sales-oriented
– CTA rahisi zinazofanya watu wachukue hatua bila kulazimishwa
– Mfumo wa kutumia content kuuza bila kuomba wateja

Comment “BRAND” nikutumie free training 🎯

05/01/2026

Consistent cash flow comes from consistent problem-solving, not consistent posting.

05/01/2026

😅huu mwaka nauita Mwaka wa Pili wa Social Media!

04/01/2026

Ai imewareplace wasanii au ni leverage?

04/01/2026

[↗️SHARE] Biashara gani za kufanya 2026?

Address

Bunju, Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Opening Hours

Tuesday 10:00 - 14:00
Wednesday 10:00 - 14:00
Thursday 10:00 - 14:00
Friday 10:00 - 14:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when McBenvics posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share