McBenvics

McBenvics Elius Kamuhangire | Marketing I help College Graduates with no Capital To start Digital Businesses.

I help business owners marketing their businesses and Building Customer acquisition systems

Kampuni ya meta imetangaza Miwani mipya kabisa kwa kushirikiana na Rayban, hii miwani ni noma. Mark Zuckerburg amesema u...
18/09/2025

Kampuni ya meta imetangaza Miwani mipya kabisa kwa kushirikiana na Rayban, hii miwani ni noma. Mark Zuckerburg amesema utaweza kuchat na kutype kabisa kupitia miwani.

Jiandae kwaajiri ya hii miwani tafadhali muda wowote, mimi lazima niinunue maana ntaitumia kibiashara. Mambo ya kununua viwanja wakati biashara yangu inakufa sasa hivi na nnafikisha miaka 28 Oktoba? Aaah, mimi ni mpambanaji siwezi kubaki ndani lazima nitoke nikanunue miwani.

Mwenda Pole Pole Hula nyama, Lakini mwenda Bure si sawa na Mkaa Burel

Miwani!

😎

Take care of yourself!Okay, quick story. Nimekuwa serious na mazoezi tangu 2015. Lakini last year wakati  iinaanza, nili...
09/09/2025

Take care of yourself!

Okay, quick story. Nimekuwa serious na mazoezi tangu 2015. Lakini last year wakati iinaanza, nilishindwa kubalance muda wa Kudeal na wateja, wanafunzi wangu wa online pamoja na Content Creation…

So i made a BIG MISTAKE… nikaacha kufanya mazoezi ili nimalizie hizi prijects.

Well, projects zimeenda vizuri sana, its been a huge success for me and my Clients lakini nilivyorudi kufanya mazoezi after more than 8 months this time, ni k**a nilikuwa naanza Upya!

Dah nimepoteza kilo zangu 5, yaani Natamani ningetengeneza System nzuri nikatenga muda wa kufanya mazoezi!

Kulalamika hakujawahi kuleta matokeo hivyo, so now I am Back to Fitness!

Kwahyo, mambo matatu…

1. Dont stop taking Care of yourself hata ukiwa busy!

2. Jitahidi usiache katikati kisa Mipango au Kutopata matokeo, keep Going. Ukijikuta umekwama You can always Start Again hata k**a ulikwama au kukosa nafasi!

3. Hakuna mtu wa kukufanyia Mazoezi ili upungue, uongezeke au uwe Fit! Lazima ufanye mwenyewe!

Aya sasa, Wewe Unaanza mazoezi lini?

This was my First Time in ARUSHA and I had an honor to meet with Fellow Great ambitious Young People na members wa  Grow...
31/08/2025

This was my First Time in ARUSHA and I had an honor to meet with Fellow Great ambitious Young People na members wa Growth Club… Nimejifunza mengi sana!

Arusha ni Mji Mzuri, Kibaridi flani hivi k**a Washington!😆🙌🏻



From zero engagement to teaching over 700,000 people about Gut Health Dr. Aurelia’s journey inspires me every day.Nashuk...
29/08/2025

From zero engagement to teaching over 700,000 people about Gut Health Dr. Aurelia’s journey inspires me every day.

Nashukuru sana kwa imani yake kwangu na kwa kujitoa kwake kujifunza kila siku ili kusaidia Watanzania kuelewa kuwa afya ya utumbo (Gut Health) ndiyo msingi wa kuishi maisha marefu, na inaweza kukusaidia kupambana na magonjwa yasiyoambukiza kabla hayajawa marehemu.

Dr. Aurelia aliamua kuwekeza muda, kujitolea na imani na sasa amejenga jamii kubwa mtandaoni inayompenda. A inayojifunza namna ya kuboresha maisha yao.

Asante kwa safari hii ya kuaminiana, na hongera kwa kugeuza elimu yako kuwa harakati ya kuokoa maisha ya Watanzania!

K**a unaandika Caption zako kila siku, huenda ndo maana huoati watejaCaption k**a hii ni moja ya vitu unavirudia rudia k...
27/07/2025

K**a unaandika Caption zako kila siku, huenda ndo maana huoati wateja

Caption k**a hii ni moja ya vitu unavirudia rudia kwenye Kazi zako za kujitangaza Online

Usipovifanya vizuri, vinakukosesha wateja.

Lakini sasa, AI inaweza kukuandikia Caption zinazoshawishi wateja kila siku bila gharama yoyote kwenye matangazo.

(Check Pinned Posts)

GADOS GUDO
25/07/2025

GADOS GUDO

Unafanya kazi Masaa 24?Ukiajiri mtu anayeweza kupunguza masaa yako ha kazi kwa 50-80% unaweza Kupata Muda wa Kutosha Kuf...
21/07/2025

Unafanya kazi Masaa 24?

Ukiajiri mtu anayeweza kupunguza masaa yako ha kazi kwa 50-80% unaweza Kupata Muda wa Kutosha Kufanya mambo yanayokuongezea Mafanikio (Strategy, Networking, etc)

Biashara yako ni Investment, Sio Ajira!

ZILLIM.COM

Comment “AI SYSTEM” nikutumia More Info DM! Watu wengi saiv wanadhan kuwa wakiongea kuhusu huduma/bidhaa zao kila saa na...
16/07/2025

Comment “AI SYSTEM” nikutumia More Info DM!

Watu wengi saiv wanadhan kuwa wakiongea kuhusu huduma/bidhaa zao kila saa na kukaa mtandaoni mchana na usiku, basi wateja watakuja—lakini hiyo sio kweli kabisa.

Last few Months nilikuwa nafanya kazi kila wakati, hadi nikasahau kula vizuri, kufanya mazoezi, na hata kuongea na familia yangu—nilikuwa nimechoka sana.

(Dada angu ndo ndo alikuwa anambia “Mama ako anakutafuta simu yako umeiweka wapi?”)😆

Sasa recently nikaanza kutumia AI kunisaidia kutengeneza content za biashara, na mambo yakaanza kubadilika fasta.

Saiv, natumia siku moja kupanga content ya wiki nzima na sometimes 2 weeks, na muda mwingi nabaki kusoma vitabu, kuuza, na kucheka na familia yangu.

Watu wengi wanaogopa AI kwa sababu wanafikiri itaharibu biashara zao, wengine wanatumia tu k**a vipofu—lakini hawajui kuwa inaweza kuwasaidia hata zaidi k**a wakielewa kuitumia Vizuri!

Kwa kutumia AI, unaweza kupata wateja bila kutumia hata pesa nyingi kwenye Ads, bila kupoteza muda na wateja wasiokuwa Serious, na bila kuongea na kila mtu mmoja mmoja.

Na sasa nafundisha wamiliki wa biashara jinsi ya kuimplement AI kwao—ili waishi maisha bora, sio kazi tu kila saa k**a Mchawi!

SIMPLE
16/07/2025

SIMPLE

Ungependa biashara yako iendelee kuvutia wateja hata ukiwa offline? Binafsi ndoto yangu ni Biashara inayojiendesha bila ...
07/07/2025

Ungependa biashara yako iendelee kuvutia wateja hata ukiwa offline? Binafsi ndoto yangu ni Biashara inayojiendesha bila kunihitaji sana

Hii AI for Social Media Business course (199,000/= tu) inakuonyesha jinsi ya kutumia AI kutengeneza:
• Captions & ads zenye mvuto (actually tutatengeneza matangazo pamoja darasani😛)
• System ya content inayofanya kazi hata usipo-post kila siku
• Njia za kutumia AI kujibu maswali na kuvuta leads na Clients bila kuwa online muda wote

Ukijiunga leo unapata pia tools hizi za bure:
• Caption Assistant tool
• Content Idea Generator
• Darasa la saa 7: (Social Media Marketing & Sales Psychology) Jinsi ya Kutangaza & Kuuza Online

➡️ Kozi hii ni kwa content creators na wajasiriamali wanaotaka matokeo bila kuweka nguvu online 24/7.

Nafasi ni 20 tu. Tuma DM kujiunga kabla haijaisha.

Address

Bunju, Dar Es Salaam
Dar Es Salaam

Opening Hours

Tuesday 10:00 - 14:00
Wednesday 10:00 - 14:00
Thursday 10:00 - 14:00
Friday 10:00 - 14:00

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when McBenvics posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share