OM MEDIA

OM MEDIA HABARI BURUDANI, TEKNOLOJIA & MICHEZO.

🚨Gwajima yuko salama na hajak**atwa, licha ya uvumi uliosambaa baada ya serikali kufuta usajili wa kanisa lake, Ufufuo n...
06/06/2025

🚨
Gwajima yuko salama na hajak**atwa, licha ya uvumi uliosambaa baada ya serikali kufuta usajili wa kanisa lake, Ufufuo na Uzima, kwa madai ya kuhubiri kinyume na sheria na kuchochea umma dhidi ya serikali.

Polisi walizingira kanisa lake Ubungo kuanzia Juni 2, na waumini wamekuwa wakikusanyika nje wakisubiri taarifa zaidi, huku viongozi wa makanisa mengine wakilaani hatua hiyo k**a ukandamizaji wa uhuru wa kidini.

🚨Wanasheria wake wamesema tayari wanaandaa hatua za kisheria kupinga uamuzi huo wa serikali.



🚨DIDIER DROGBA ⭐Mnamo Mwaka 2007, Didier Drogba alisaidia kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa miaka 5 ...
30/05/2025

🚨DIDIER DROGBA

⭐Mnamo Mwaka 2007, Didier Drogba alisaidia kumaliza vita vya wenyewe kwa wenyewe vilivyodumu kwa miaka 5 nchini
Côte d’Ivoire kwa kufunga bao lililopelekea Ivory Coast kushinda dhidi ya Madagascar.

Alisisitiza mechi ichezwe Bouaké, eneo ambalo lililokuwa ngome ya waasi, na baada ya mechi, alipiga magoti na
kuwaomba waasi waweke silaha chini… na kweli walitii. 🙏

Mchezaji wa mpira ambaye hakubadilisha tu matokeo ya mechi, bali alibadilisha historia na kuleta Aman katika taifa lake. 🇨🇮💥👑

Picha zaidi kwenye comment 👇





Address


Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when OM MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

  • Address
  • Alerts
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share