Le King TV

BAADA ya TFF kusema hakuna MCHEZAJI atakaechunguzwa Msimu huu, Comment ya Mdau ikapata Majibu🙌Unaungana na yupi katika h...
08/10/2025

BAADA ya TFF kusema hakuna MCHEZAJI atakaechunguzwa Msimu huu, Comment ya Mdau ikapata Majibu🙌

Unaungana na yupi katika hao wawili??......✍️

Kwa taarifa zaidi tembelea 📺 yetu ya , usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-share.

07/10/2025

Lunyasi ha kuna misimamo kabisa🙌

Kwa taarifa zaidi tembelea 📺 yetu ya , usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-share.

07/10/2025

Maalim Zingizi, Mzee WA za Ndaaaaani!!!!!!

Kwa taarifa zaidi tembelea 📺 yetu ya , usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-share.

MDAKA MISHALE 🔥🔥🔥🔥🔥Nani anapinga??....✍️Kwa taarifa zaidi tembelea  📺 yetu ya , usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-...
05/10/2025

MDAKA MISHALE 🔥🔥🔥🔥🔥

Nani anapinga??....✍️

Kwa taarifa zaidi tembelea 📺 yetu ya , usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-share.

Kamati ya Tuzo ya TFF imemtangaza Golikipa wa Yanga DJIGUI DIARRA k**a mchezaji bora wa Mwezi Septemba.Kwa taarifa zaidi...
05/10/2025

Kamati ya Tuzo ya TFF imemtangaza Golikipa wa Yanga DJIGUI DIARRA k**a mchezaji bora wa Mwezi Septemba.

Kwa taarifa zaidi tembelea 📺 yetu ya , usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-share.

Kimeumana Huko😂😂 Aunt Zubby hataki utani, amemkana Jasusi wa Ally Kamwe 🙌🙌Kwa taarifa zaidi tembelea  📺 yetu ya , usisah...
05/10/2025

Kimeumana Huko😂😂 Aunt Zubby hataki utani, amemkana Jasusi wa Ally Kamwe 🙌🙌

Kwa taarifa zaidi tembelea 📺 yetu ya , usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-share.

Aliyetangazwa k**a Skauti wa Simba SC Mels Daalder ametangaza kujiuzulu na kujiondoa ndani ya Simba SC kwa kile alichoel...
04/10/2025

Aliyetangazwa k**a Skauti wa Simba SC Mels Daalder ametangaza kujiuzulu na kujiondoa ndani ya Simba SC kwa kile alichoeleza kuwa ni “Kutokuendana na mwelekeo wa klabu kwa sasa”

Mels amebainisha kuwa amepitia Changamoto nyingi kwa kipindi alichokuwepo Simba na anaona zote zimemuimarisha zaidi kuelekea maisha yajayo.

Anasema ni mwisho wa majukumu lakini bado ataendelea kuitakia kheri na kuishabikia klabu hiyo.

Je hizi ndio Taarifa za Jasusi WA Ally Kamwe aliyeko ndani ya Simba???✍️✍️

Kwa taarifa zaidi tembelea 📺 yetu ya , usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-share.

Huyu Jasusi anaempa Habari hizi Ally Kamwe ni nani???👇👇"Jasusi wetu Hana Bayaaa.. Jana alisema Kuna Kikao na Leo watu wa...
04/10/2025

Huyu Jasusi anaempa Habari hizi Ally Kamwe ni nani???
👇👇

"Jasusi wetu Hana Bayaaa.. Jana alisema Kuna Kikao na Leo watu wameanza kujiuzulu mmoja mmoja
. Muda wowote Taarifa ya CEO kujiuzulu itatoka .. Wanajaribu kumshauri asiondoke Lakini mpaka asubuhi ya Leo, Bi Dada kashikilia msimamo wake

Hoja ya Dada ni kupelekwa pelekwa k**a Ng'ombe bila kushirikishwa.. Viongozi wa Juu wanafanya maamuzi ya Hovyo na ya aibu kwa Klabu, halafu Yeye anapewa lawama. HATAKI

TENA

Kwa taarifa zaidi tembelea 📺 yetu ya , usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-share.

Hakima Mtembea Bure si sawa na Mkaa Bure🙌Mwamba Dimitar Pantev kaja zake Dar kuipambania Gaborone united ghafla Dili lik...
03/10/2025

Hakima Mtembea Bure si sawa na Mkaa Bure🙌

Mwamba Dimitar Pantev kaja zake Dar kuipambania Gaborone united ghafla Dili likaja Mezani KAPATA Kazi bhana🦁🦁

MGUU WA KUTOKA......✍️

Kwa taarifa zaidi tembelea 📺 yetu ya , usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-share.

Alichoandika Msemaji wa Yanga Ally Kamwe kuhusu KOCHA MPYA wa Simba kutambulishwa k**a Meneja."Jamaa wamekurupuka sana, ...
03/10/2025

Alichoandika Msemaji wa Yanga Ally Kamwe kuhusu KOCHA MPYA wa Simba kutambulishwa k**a Meneja.

"Jamaa wamekurupuka sana, Leo jioni moto uliwaka sana ofisini sema ndio ikawa Too Late, washalipa hela nyingi sana. Wamempaka Mkataba Mzungu bila kukagua vyeti vyake, mwisho hapa ndio wamegundua hana sifa za kuwa KOCHA MKUU... Mwenyekiti wa Bodi kuua Soo, akamwambia CEO we angalia jinsi ya kuficha hii aibua. Ndio wakasema Tumpe cheo cha MENEJA MKUU ili awe anakaa pale benchi lakini hana sifa za kuwa kocha, Yaani ni k**a Kwetu huko alivyo yule .. Ndio cheo cha huyu mzungu. Yaani kwa kifupi jamaa wamelipa hela nyingi kwa Kocha wa Mazoezini, sio kwenye Mechi"

Jasusi wetu ananimwagia vitu vizito huku DM

Kwa taarifa zaidi tembelea 📺 yetu ya , usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-share.

Mwamuzi wa kati wa mchezo tajwa hapo juu, Omary Mdoe kutoka Tanga ameondolewa kwenye orodha ya waamuzi kwa mizunguko mit...
03/10/2025

Mwamuzi wa kati wa mchezo tajwa hapo juu, Omary Mdoe kutoka Tanga ameondolewa kwenye orodha ya waamuzi kwa mizunguko mitano (5) kwa kosa la kushindwa kutafsiri vema sheria za mpira wa miguu na kushindwa kuchukua hatua kwa vitendo vya ukiukwaji wa sheria za mpira.

Pamoja na matukio mengine, Omary Mdoe alishindwa kutafsiri sheria katika dakika ya 46 ambapo mchezaji wa Mbeya City, Matheo Anthony alishika mpira ndani ya eneo la penati lakini hakuchukua hatua yoyote. Mwamuzi huyo pia alishindwa kuchukua hatua baada ya mchezaji Ibrahim Abdullah kucheza rafu mbaya katika dakika ya tatu ya mchezo.

Kwa taarifa zaidi tembelea 📺 yetu ya , usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-share.

Mwamuzi wa kati wa mchezo tajwa hapo juu, Omary Mdoe kutoka Tanga ameondolewa kwenye orodha ya waamuzi kwa mizunguko mit...
03/10/2025

Mwamuzi wa kati wa mchezo tajwa hapo juu, Omary Mdoe kutoka Tanga ameondolewa kwenye orodha ya waamuzi kwa mizunguko mitano (5) kwa kosa la kushindwa kutafsiri vema sheria za mpira wa miguu na kushindwa kuchukua hatua kwa vitendo vya ukiukwaji wa sheria za mpira.

Pamoja na matukio mengine, Omary Mdoe alishindwa kutafsiri sheria katika dakika ya 46 ambapo mchezaji wa Mbeya City, Matheo Anthony alishika mpira ndani ya eneo la penati lakini hakuchukua hatua yoyote. Mwamuzi huyo pia alishindwa kuchukua hatua baada ya mchezaji Ibrahim Abdullah kucheza rafu mbaya katika dakika ya tatu ya mchezo.

Kwa taarifa zaidi tembelea 📺 yetu ya , usisahau ku-subscribe, ku-comment na ku-share.

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Le King TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Le King TV:

Share