BINGO_onlinetz

BINGO_onlinetz Official page ya BINGO TV
email [email protected]
(1)

08/06/2026

Siku zote mtu mchawi anamjua mchawi Mwenzie

Presenter

Full video & story ipo Youtube
_
Sponsored by Wanauza na Kununua Magari Tz.

08/06/2026

anasema watu uwa wanamashangaa sana wakiokuitana nae maana hafanani na picha ambazo uwa anaosema anatumia filter kuwadanganya watu mtandaoni.

Presenter

Full video & story ipo Youtube
_
Sponsored by Wanauza na Kununua Magari Tz.

08/06/2026

Mchekeshaji anasema chuki kwenye Maisha inatengenezwa na kupimiana kimafanikio.

Presenter

Full video & story ipo Youtube
_
Sponsored by Wanauza na Kununua Magari Tz.

08/06/2026

Mkurugenzi wa Show ya Bwana siku ya leo amezungumza na waandishi wa habari kuhusu ujio wa show mpya ya kideoni ambapo ameungana na Asma pamoja na Mkaliwenu kuhakikisha wanatoa burudani siku hiyo ya tarehe 27 Mwezi huu,itakayofanyika pale Brake Point Makumbusho.

08/06/2026

Et kati ya Harmonize na Alikiba Nani mrefu kuliko mwenzake…..??

Sponsored by Wanauza na Kununua Magari Tz.

Wachezaji wa Timu ya Taifa ya ufaransa wapiga picha k**a pozi la Mchezaji mwenzao Rayan Cherk alivyoweka pozi hilo wakat...
08/06/2026

Wachezaji wa Timu ya Taifa ya ufaransa wapiga picha k**a pozi la Mchezaji mwenzao Rayan Cherk alivyoweka pozi hilo wakati wakipiga picha na Rais wa Ufaransa Emmanuel Macron zoezi hili liliongizwa na Kylian Mbappe😂

Sponsored by Wanauza na Kununua Magari Tz.

Leo ni sikukuu ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya msanii Ye na mpenzi wake Brianca amempost na kumuandikia anampenda kuliko ma...
08/06/2026

Leo ni sikukuu ya kumbukumbu ya kuzaliwa ya msanii Ye na mpenzi wake Brianca amempost na kumuandikia anampenda kuliko maisha, vipi wewe ushawahi kuambiwa hivi na mpenzi wako?

08/06/2026

NDOA 130 ZAFUNGWA,KATAMBI ASISITIZA MAADILI

Jumla ya Ndoa 130 zimefungwa leo jijini Dar es Salaam wakati wa Ibada ya Ndoa iliyoandaliwa na Taasisi ya Al-Hikma inayoongozwa na Rais Taasisi hiyo, Sheikh Shareef Abdulgadir, ambapo Mgeni Rasmi ni Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobass Katambi.

Akizungumza baada ya ibada hiyo,Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi,Patrobass Katambi alisisitiza msingi wa maadili uanzia katika familia ambapo ameipongeza taasisi ya Al-Hikma kwa kuwezesha zoezi hilo wakianzia na utaratibu wa awali ambao ulihusisha mahojiano na uchunguzi wa kina,kuwalipia mahari Vijana hao wa kiume na mahojiano maalumu ikiwemo wanandoa hao na wenza wao.

“Nitumie fursa hii kutoa pongezi zangu za dhati kwenu Taasisi ya Alhikma katika zama za sasa,changamoto ya mmomonyoko wa maadili kwa asilimia kubwa inachochewa na ongezeko la mahusiano yasiyo halali, migogoro ya kifamilia na mambo mahususi yanayowakabili viana,ndoa k**a hizi ni sehemu ya suluhisho.”amesema Waziri Katambi

“Ndoa halali ni sababu ya mahusiano na kizazi halali kinachojenga familia halali ambayo ndiyo msingi wa kwanza wa jamii imara. Familia ikisimama vizuri jamii itasimama vizuri, na ikiwa hivo, taifa nalo litastawi na kuimarika” aliongeza Waziri Katambi

Ndoa hizo 130 zimefungwa jijini Dar es Salaam katika wilaya ya Temeke huku viongozi mbalimbali wa serikali,dini na wananchi wamehudhuria hafla hiyo.

08/06/2026
08/06/2026

Address

Kinondoni B
Dar Es Salaam

Telephone

+255768108051

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when BINGO_onlinetz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share