
07/04/2025
𝗗𝗢𝗡𝗘 𝗗𝗘𝗔𝗟✅
Taarifa za ndani zinasema Tajiri wa Klabu ya SimbaSC ndugu Mo Dewji amewaomba viongozi wa timu hiyo wahakikishe kijana anavaa Jezi nyekundi msimu ujao pale Msimbazi😂
Kijana yupo tayari anasubiri Mabosi tu waamue, Simba na Mzee Bahresa ni simu moja tuuu.
Kila la kheri Maestro Feisal Salamu⚽