π—žπ—’π— π—žπ—¬π—”

π—žπ—’π— π—žπ—¬π—” Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from π—žπ—’π— π—žπ—¬π—”, Digital creator, komkya01@gmail. com, Dar es Salaam.

1.Graphics&Design
▢️Logo design, posters, cv-writing, B.cards
▢️Calendar, certificate, invoice design.
▢️Ghostwriter, online typing, IT issues.
2.Online Applications
▢️NIDA, RITA, BRELA, TIN applications.

Mwanaume unapoamka asubuhi SALI kwa Mola wako mpelekee mahitaji yako yote.Sahau kuhusu wanawake wa kando na Malaya usiwa...
06/08/2025

Mwanaume unapoamka asubuhi SALI kwa Mola wako mpelekee mahitaji yako yote.

Sahau kuhusu wanawake wa kando na Malaya usiwawaze tena, jenga njia za uchumi wako, kutana na watu chanya wenye maisha na maono ya level za juu.

Usiamke ukiwaza kwenda kukutana na wavuta bangi, watu wanaocheza bao vijiweni asubuhi na wanywa viroba.

Nenda kakutane na wamiliki wa biashara kubwa, watu wenye makampuni jenga urafiki nao jitolee kuwasaidia mambo kadhaa nawe utakuwa k**a walivyo.

UCHUMI WA MWANAUME

05/08/2025

Ma round neck k**a watoto wa chekechea πŸ˜†πŸ˜†ila yanga

05/08/2025

Mwanaume anayetembea na wanawake wengi ni sawa na mtembea uchi maana hana sehemu za siri tena, mwanamke vilevileπŸ˜’

KWANINI WAZAZI WAKO WANALIA? Mwanaume unaweza kuwa na pesa lakini tabia yako ikabadilika.Badala ya kujali wazazi wako uk...
05/08/2025

KWANINI WAZAZI WAKO WANALIA?

Mwanaume unaweza kuwa na pesa lakini tabia yako ikabadilika.

Badala ya kujali wazazi wako ukajali LUKU, vocha, nywele, kucha, wigi na pochi ya wanawake tena ambao umewapanga k**a matenga ya nyanya😏

Badala ya kujali binti yako na kijana wako mdogo wanaosoma shule za kayumba wewe unawaacha kwa bibi yao kisa umeachana na mama yao kisa malaya wa pembeni.

Wanao wawili ni wadogo wanaugua wanavaa nguo zenye ukosi mchafu, sox za pundamilia zilizochafuka na viatu vilivyotoboka wewe upo mjini unaketi Bar na wanawake wazinifuπŸ₯²πŸ₯΅

Mama wa wanao ameenda kwao anauza mbogamboga umemsababishia maumivu na kumtelekeza k**a vile pia hana haki na watoto aliobeba miezi tisa tumboni mwake.

Wazazi wako wanateseka na wanao utadhani wao ndio waliwazaa umeenda kuwasukumia hapo hata pesa huwatumii ya kulea wanao wanauza mazao yao wanauza mifugo yao kulea wajukuu wewe unaponda raha na marafiki walevi wavuta bangi na wanaoona FAHARI KUNUNUA MALAYAπŸ₯²πŸ˜­

Mungu amekujalia chanel unapata pesa unapata watu lakini wewe unaona wale watu k**a wapo tu siku zote na utapata pesa muda wote hivyo utahudumia wazazi na wanao tu kumbe unajidanganya.

Umri na muda unaenda inakuja siku huna tena nguvu mwanao wa k**e amepewa ujauzito kule kijijini amezalia tena pale kwa wazazi wako na amewaongezea mzigo na wewe huna tena nguvu umechoka na UKIMWI ulioupata mjini kwa ufahari wa kipumbavu umechoka na michepuko yenye sugu za UTI, umeanza kupoteza nguvu na figo hazifanyi kazi tena shauri ya pombe.

Mapafu yameharibika vibaya kwa moshi wa bangi, sigara na sh**ha ulizokuwa unavuta kwa masifa na mawenge, yale magari umeuza sasa umebaki kwenye kijumba cha ajabu ulichobahatika kujenga na hata saa ingine hujajenga.

ONE MAN DOWN😭
Mwanao wa kiume ni mwizi na ni mvuta bangi sasa k**a ungewekeza kwake huenda mwamba angekuokoa ni yeye sasa ananyanyua matairi ya pikipiki huku unasikia amegongwa na semi akapasuka kichwa na wewe unakufa na presha na kisukari hapo wazee wako kule kijijini Mungu alivyo wa pekee kwa namna walijitoa Mungu amezidi kuwapa neema nao wanakuja wakilia kukuzika bado wapo imara maana walifanyika Sadaka kukulea wewe na wanao ukiwa mwanaume mpumbafu usiyejielewa.

Ikawe siku ya ukombozi wako leo unaposoma ujumbe wangu huu MWANAUME Jitambue leo tusonge mbele acha tabia ambazo sio rafiki kwa uchumi wako, familia yako na wazazi wako leoπŸ™πŸ½πŸ”₯πŸ”₯

Follow me π—žπ—’π— π—žπ—¬π—”

SEHEMU ZAKO ZA SIRI SIO ZA KUFANYIA SIFA.Mwanaume kutembea na wanawake wengi usione ndio UANAUME ni upumbavu uliokithiri...
05/08/2025

SEHEMU ZAKO ZA SIRI SIO ZA KUFANYIA SIFA.

Mwanaume kutembea na wanawake wengi usione ndio UANAUME ni upumbavu uliokithiri.

Sehemu zako za siri mwanaume au mwanamke ni sehemu za kumtukuza Mwenyezi Mungu kwa njia ya kuanzisha familia yenye Afya.

FAMILIA YENYE AFYA sio watoto wa dhaifu wenye kwashiakor au waliochanganywa na mauchafu ya michepuko, mtoto hawezi kutembea mpaka miaka miwili kisa kubemendwa.

Madhara ya kuzaa na kuwa na uzao usio imara na usiojengwa kwenye misingi ya malezi bora ya wazazi wote ndio baadae unaanza kudeal na mtoto mvuta bangi, kijana mbakaji na mwizi katika mitaa, wewe ni mtu mzima sasa lakini unasikia mwanao ni teja au shoga ni namna gani mzazi anajisikia kwa hali hii? Tuseme wewe ndio mzazi kwa sasa.

Huombei kuwaa na uzao huo japo mara nyingine hutokea hata k**a tu walijengwa katika misingi mizuri kiasi lakini kizazi chako wewe ndio una maamuzi ya namna kitakavyokuwa

Linda sehemu za siri upate uzao imara ambao pia utamtukuza Mungu.

Kuwa na mtoto au uzao wenye afya unaomtukuza Mungu ni uwekezaji mahiri ambao kila kijana anapaswa kuwa nao.

Nguvu zako usichezee kwa malaya, nguvu zako usichezee kujiuza ukisingizia ni kipato kumbe ni tamaa za mwili na ufahari wa kishenzi.

Tumia nguvu zako ukiwa kijana kutengeneza familia yenye nguvu na itakayomtumikia mwenyezi Mungu hutajuta baadae.

Ukitumia nguvu zako kucheza na malaya na kuwapa wanawake pesa zako mbali na mkeo au kuamua kuishi maisha ya paka huna mke huna familia baadae utajuta tumia muda vyema ukiwa kijana na mwenye nguvu.

Jiepushe na makundi yanayojiona na yaenendayo na mambo ya ulimwengu.

Tamaa ikafe isiwepo maishani mwako INUA UCHUMI WA KIJANA πŸ™πŸ½

Mwanamke ambaye umezoea kutoa papuchi ndio upate chakula wewe ni mwanamke ambaye hutakua na amani katika maisha yako yot...
04/08/2025

Mwanamke ambaye umezoea kutoa papuchi ndio upate chakula wewe ni mwanamke ambaye hutakua na amani katika maisha yako yote.

Upo kwenye risk ya kuwa mlemavu na ombaomba wa milele ukitegemea misaada ya wanaume mbali mbali wakikufanya k**a behewa, dampo, dust bin la kutemea bi g zao.

Inuka sasa mwanamke jishughulishe kuwa na msimamo mwanamke sio udhaifu wala ulemavu kwamba uletewe tu wewe, umekuwa nani? Unategemea kipande cha nyama kinachotoa shombo kikuletee fedha? Utadhalilika mpaka umauti... Aibu ya malaya ni mbaya sana.

Usikubali kuwa malaya jihifadhi jisitiri mwili wako ni hekalu La mwenyezi Mungu.

Tafuta pesa zako mwenyewe USITEGEMEE pesa za kusimangwa k**a za NSSFπŸ˜…

Weka papuchi yako safi kwa ajili ya familia yako mwanamke unaweza kujikomboa kiuchumiπŸ™πŸ½βœ…βœ…

Mwanaume kamili kusifiasifia vitu haifai.Mwanaume anajiamini yeye mwenyewe haombi ombi hela k**a wapiga debe na wagongea...
04/08/2025

Mwanaume kamili kusifiasifia vitu haifai.

Mwanaume anajiamini yeye mwenyewe haombi ombi hela k**a wapiga debe na wagongeaji fegi stendi.

Jiamini na utafute fedha zako mwenyewe usimnyenyekee mtu kisa mia tano.

Kuwa msafi kuwa smart kila unapofika nyumbani fikia katika hatua ya usafi, simama chukua viatu vyako ulivyotumia vifute au vifue na sox weka mahali pa juu ambapo mkeo atafikia pindi anataka kuzifua.

Jenga tabia ya kujihudumia mwenyewe hata k**a mkeo yupo, vua boxer yako wakati unaoga unaifua mwenyewe pamoja na tisheti au shati lako ulilotoka nalo kazini.

Hii itampunguzia majukumu yasiyo ya lazima mkeo na atafurahi kuwa unamsupport katika usafi.

Mara moja moja msaidie mkeo ikibidi na mpate muda wa pamoja wa kudiscuss mambo au kutafakari kwa ukimya kwa nusu saa au lisaa.

Swaki mara kwa mara asubuhi na jioni na hili fanya kila siku.

Si vizuri mwanaume mzima kunuka mdomo na meno kuchafuka bila sababu, boxer mpaka inuke k**a nyama ndio ifuliwe ni upumbavu kwa mwanaume.

KUACHA WANAWAKE WA PEMBENI NI USAFI WA MWISHO WA KIMWILI NA KIROHO NA KIUCHUMI

Acha michepuko acha kutembea na wake za watu hivyo ni sumu kali kwa mwanaume.
Nakuombea uk**atwe upigwe kuliko mbwerπŸ˜…πŸ˜‚

04/08/2025

Hamu ya siku moja inaweza kukufanya ukajuta miaka yote ya maisha yakoπŸ˜’
Mwanaume

04/08/2025

Mara nyingi kuomba omba namba za mademu ni udhaifu mwanaume kamili anajiamini anatulia na kumpenda mwanamke mmoja tuπŸ™„fara ww

Embu fikiria mwanaume ambaye anaweka bleach, anavaa mpaka hereni anasuka nywele ana dred na ana kiduku sometimes linashu...
04/08/2025

Embu fikiria mwanaume ambaye anaweka bleach, anavaa mpaka hereni anasuka nywele ana dred na ana kiduku sometimes linashusha na mlege suruali chini ya mattercall k**a mbumbumbuπŸ˜’.

Mwanaume tafuta familia, tafuta pesa jiweke smart jiwekee malengo usiishi kwenye utumwa wa Ngono na dunia hii wanawake hawaishi tafuta mmoja ishi naye mpende penda watoto wako.

Kuwa na mademu wengi ni ufilisi wa pesa na muda wako, ni malango machafu na maagano mabaya ya kukuangusha kiuchumi.

Simama imara mwanaume chana nywele zako ondoa mavipini na mahereni masikioni kutana na watu chanya nyoa hayo manywele machafu piga mswaki na ung"ae.

FAKI YUπŸ˜…πŸ˜‚

04/08/2025

Mwanamke jisitiri hakuna mwanaume anataka limwanamke linaloacha kitovu nje limlelee wanayeπŸ˜’
Na kitovu chako k**a bamia za kigoma

KWANINI UKALALE NA MKE WA MTU KWA UOGA MPAKA UPIZI KABLA YA TENDO? πŸ₯΄πŸ₯΄MKEO KAKOSA NINI? UCHI WAKE NA WA MCHEPUKO AU MKE W...
04/08/2025

KWANINI UKALALE NA MKE WA MTU KWA UOGA MPAKA UPIZI KABLA YA TENDO? πŸ₯΄πŸ₯΄

MKEO KAKOSA NINI? UCHI WAKE NA WA MCHEPUKO AU MKE WA MTU UMETOFAUTIANA KINA TU.

MAANA PALE UNAPIGA WEWE NA HUYO JAMAA LAKINI MKEO UKIMTUNZA VYEMA, UKAMNUNULIA NGUO NZURI MAFUTA AKASUKA VIZURI ANAMZIDI HATA HUYO MCHEPUKO.

Tunza mkeo leo, ni baraka Mungu atamnawirisha atanawiri hipsi zitapandaπŸ˜…

Ukimwi hautakuja, UTI SUGU ITAPOTEA, matumizi yako ya pesa yatakuwa ni kwa ajili ya maendeleo yako na familia yako.

Utapata pesa ya balance ya kuwatumia wazazi wako kijijini... Niambie k**a umependa ujumbe huu😜

Address

Komkya01@gmail. Com
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when π—žπ—’π— π—žπ—¬π—” posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share