Sports highlights

Sports highlights This page is special for Yanga sc sports news just for Yanga funs
(4)

Doumbia is now green and yellow🔰
03/08/2025

Doumbia is now green and yellow🔰


‎ANDY BOBWA BOYELI.‎‎🟢Alizaliwa tarehe 5 June 2001 (24yrs)‎‎⚫Raia wa Congo DR, Mwenye urefu wa 185cms akiwa na uzito wa ...
03/08/2025

‎ANDY BOBWA BOYELI.

‎🟢Alizaliwa tarehe 5 June 2001 (24yrs)

‎⚫Raia wa Congo DR, Mwenye urefu wa 185cms akiwa na uzito wa kg 78 kwa sasa.

‎🔵 Nafasi yake uwanjani ni mshambuliaji wa kati.

‎🟡Anatumia zaidi mguu wa kulia.

‎⚫Ametoka kwenye klabu ya Sekhukhune Utd ya Afrika Kusini, ambayo alijiunga July 19 mwaka 2024 kwa mkataba wa miaka mitatu hadi June 2027, Hivyo amejiunga na Yanga SC kwa mkopo wa mwaka mmoja kwa pendekezo la kocha wetu FORZ.

‎🙌Mwaka 2021-2023, Boyeli aliitumikia Chambishi FC ya Zambia kabla ya kwenda Power Dynamos,Ambapo kwa misimu miwili aliichezea mechi 34 na kufunga magoli 17 na Assist 4.

‎🟢Msimu wa 2024/25 akiwa na Sekhukhune Utd alicheza mechi 25 akifunga magoli 6.

‎🔵Sifa kuu za Boyeli ni
‎...Kwa 99% yeye anacheza eneo la kati tu kwenye kushambulia muda wote yupo Karibu na goli la wapinzani.
‎...Spidi kuelekea lango la mpinzani.
‎...Uwezo wa kukaa na mpira 🙌✅


‎🟢 Thamani yake ni €400 (1.19Billion Tsh).
🟡Alibeba nafasi ya Kennedy Musonda alipotoka Power Dynamos kuja Yanga na sasa ameibeba Nafasi yake tena, Yanga SC 🔰

‎NB.Ushangiliaji wake k**a wa Cole Palmer,wa Chelsea.

‎Karibu kwa wananchi BOYELI.

Naomba sana wananchi wenzangu mni-follow kwa taarifa zaidi kuhusu Yanga SC

👀🚨 Winga hatari kuwahi tokea Duniani Kibu Dennis anatarajia kuhitimisha majaribio yake ya wiki tatu ndani ya  Klabu ya N...
03/08/2025

👀🚨 Winga hatari kuwahi tokea Duniani Kibu Dennis anatarajia kuhitimisha majaribio yake ya wiki tatu ndani ya Klabu ya Nashville SC ya Marekani🇱🇷

Awali Nashville SC walimpa Kibu wiki mbili za majaribio na Baada ya muda huo kumalizika wamemuongezea wiki nyingine ili wamtazame zaidi.

Nashville SC Ni timu nzuri ambayo inashika nafasi ya pili kwenye Ligi ya MLS Marekani.

K**a Kibu atafaulu majaribio Yake basi klabu hiyo itatuma ofa Simba ili kumununua Mkandaji

CHAN 2024: Baada ya ‘kuupiga mwingi’ jana ndani ya dimba la Benjamin Mkapa, wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taif...
03/08/2025

CHAN 2024: Baada ya ‘kuupiga mwingi’ jana ndani ya dimba la Benjamin Mkapa, wachezaji wa Timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars), wamefanya mazoezi ya kurejesha utimamu wa mwili mapema leo.

Stars ilishinda kwa jumla ya magoli 2-0 dhidi ya Burkina Faso kwenye mchezo wa ufunguzi wa michuano ya .

Magoli ya Stars yalifungwa na Abdul Suleiman Sopu na Mohamed Hussein Zimbwe ‘Tshabalala’

(Imeandikwa na )

Mak**anda wengine wamewasili kambini.
03/08/2025

Mak**anda wengine wamewasili kambini.

03/08/2025

Tizama uwezo alionao mchezaji wabsimba

Kwa sasa hakuna mahusiano mazuri baina ya Carlos Mastermind (Pichani) ambae ni msimamizi wa Wachezaji na Viongozi wa Sim...
03/08/2025

Kwa sasa hakuna mahusiano mazuri baina ya Carlos Mastermind (Pichani) ambae ni msimamizi wa Wachezaji na Viongozi wa Simba

Hii ndio sababu mara zote Simba inapata ugumu kukamilisha dili za baadhi ya Wachezaji wanaosimamiwa na Carlos

Kwa Pamoja Uongozi wa Simba umekubaliana kuachana na wachezaji wote wanaosimamiwa na Carlos Mastermind

Pale Simba Carlos alikua anasimamia wachezaji watatu

-Mohammed Hussein
-Hussein Kazi
-Kibu Denis

Simba walimwambia Nahodha Mohammed Hussein aachane na Msimamizi wake ili wampe hela anayotaka asaini mkataba mpya lakini Nahodha alikataa kuachana na Carlos akachagua kuondoka

Simba imeshaachana na Hussein Kazi

Simba pia ipo tayari kumuuza Kibu Denis kwenda MC Alger, Mpango ni kuanza maisha mapya bila mchezaji yeyote wa Carlos Mastermind ambae anatajwa kua na mahusiano ya karibu na upande wa Pili

Mnyama anataka Kutisha Jambo Sasa Kuna CODE imeachiwa hapaaa hii ya 29-7-25 wale watalam wa kufungua Code mtufungulie hi...
03/08/2025

Mnyama anataka Kutisha Jambo Sasa Kuna CODE imeachiwa hapaaa hii ya 29-7-25 wale watalam wa kufungua Code mtufungulie hii Je hili ni Jambo ganii??

Ni uzinduzi wa Jezi kwa Tarehe iliyopo nyuma ya Jezi hizo? Au Ni utambulisho wa Wachezaji watakaovaa Jezi namba hizo au nini hiii... Wataalam wa CODE dondokeni Hapa👇

Endelea Kutufuatilia Sports highlights Tumekuchagua|Tutakuhudumia

CHAN RECORD 📌Mudathir Yahya amekuwa mchezaji wa kwanza kuonyeshwa kadi ya njano katika CHAN 2024.📌Tologo mlinzi wa Burki...
03/08/2025

CHAN RECORD

📌Mudathir Yahya amekuwa mchezaji wa kwanza kuonyeshwa kadi ya njano katika CHAN 2024.

📌Tologo mlinzi wa Burkina Faso ndiyo Beki wa kwanza kusababisha penalti katika CHAN 2024 baada ya kumkata Clement Mzize.

📌Abdul Suleiman Sopu ndiyo mchezaji wa kwanza kupiga penalti katika CHAN 2024.

📌Sopu ndiyo mchezaji wa kwanza kufunga bao katika Mashindano ya CHAN 2024.

📌Ladji Sanou Kipa wa Burkina faso amekuwa Kipa wa kwanza kuruhusu bao katika CHAN 2024

📌Mohamed Hussein anakuwa mchezaji wa kwanza kufunga bao ambalo hali kutokana na mkwaju wa penalti katika CHAN 2024.

📌Iddi Nado anakuwa mchezaji wa kwanza kuutengeneza bao Assist katika CHAN 2024.

📌Feisal anakuwa Mchezaji wa kwanza kutwaa tuzo ya Mchezaji bora wa mechi katika CHAN 2024.

📌kipa wa Tanzania Yacoub Seleman anakuwa kipa wa kwanza kupata clean Sheet katika CHAN 2024.

NATAKA NIONE SIMBA NI WABAYA KWENYE SCOUTING KIASI GANI.Nakumbuka BALLA CONTE walimuona kwenye mechi yao msimu uliopita ...
03/08/2025

NATAKA NIONE SIMBA NI WABAYA KWENYE SCOUTING KIASI GANI.

Nakumbuka BALLA CONTE walimuona kwenye mechi yao msimu uliopita ndio maana wakavutiwa nae.

Ila ALASSANE CAICEDO KANTE miaka 24 ni Scouting pale pale TUNISIA kwenye klabu ya CA BIZERTIN iliyomaliza nafasi ya Tisa kwenye ligi msimu uliopita.

Mwamba alikuwa anautwanga panga pangua,Na kwa bahati alikuwa anacheza na siyo zile sajili za historia.

TAREHE YA MICHEZO YA NGAO YA JAMII YATANGAZWAMichezo ya nusu fainali itapigwa septemba 11 na fainali kupigwa Septemba 14...
03/08/2025

TAREHE YA MICHEZO YA NGAO YA JAMII YATANGAZWA

Michezo ya nusu fainali itapigwa septemba 11 na fainali kupigwa Septemba 14.

MICHEZO YA NGAO YA JAMII 2025/2026

Yanga SC 🆚 Azam FC

Simba SC 🆚 Singida Black Stars

Vita ya Romain Folz na Florent Ibenge Kule ni Vita ya Fadlu Davis na Miguel Gamond moto utawaka , watu watalia hapa watu vuja jasho.



- Unaambiwa, kutokana na ubora mkubwa wa ‘Players’ waliopo katika kikosi cha Yanga kuelekea msimu mpya wa mashindano (20...
03/08/2025

- Unaambiwa, kutokana na ubora mkubwa wa ‘Players’ waliopo katika kikosi cha Yanga kuelekea msimu mpya wa mashindano (2025-2026).. kikosi cha kocha Roman Folz (🇫🇷) kitakuwa k**a ifuatavyo:-

🧤 Djigui Diarra - 🇲🇱

👕 Yao Kouassi Atthohula - 🇨🇮

👕 Chedrack Boka - 🇨🇩

👕 Dickson Job © - 🇹🇿

👕 Ibrahim Abdullah Bacca - 🇹🇿

… Kuanzia namba sita (CDM) kikosi kitapangwa kutokana na mdomo wa mpinzani.. Asante! 😂

Address

Mbezi
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports highlights posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Sports highlights:

Share