Busati

Busati official page busati magazine. Update zote za town, habari za michezo, udaku simulizi visa
(1)

K**a uko poa nioneshe kwa emoji
18/06/2025

K**a uko poa nioneshe kwa emoji

Mobetto na Dada yake ✍️
17/06/2025

Mobetto na Dada yake ✍️

Kati ya mmwagaji🍆 na mmwagiwaji 🍑nani hufeel utamu zaidi😋😋
17/06/2025

Kati ya mmwagaji🍆 na mmwagiwaji 🍑nani hufeel utamu zaidi😋😋

https://youtu.be/NX5FcBYeR7I*DUARA EPISODE 04*
17/06/2025

https://youtu.be/NX5FcBYeR7I

*DUARA EPISODE 04*

"DUARA | Mume Anasaliti Mkewe na Dada wa Kazi – Mwanzo wa Maumivu!"Katika DUARA Episode ya kwanza, Dorry anapokea simu isiyo ya kawaida akiwa kijijini – ujum...

Habari Familia yetu ya waswahili,Filamu yetu ya ‘ALLofUS’ iliyotafsiriwa kwa maandishi ya Kiswahili inatoka ijumaa hii y...
17/06/2025

Habari Familia yetu ya waswahili,

Filamu yetu ya ‘ALLofUS’ iliyotafsiriwa kwa maandishi ya Kiswahili inatoka ijumaa hii ya tarehe 20 mwezi huu, ikiwa katika ubora wa hali ya juu , yani pambeeeee.

Filamu hii ni nzuri sana na itapatikana kwenye youtube channel ya au Gusa link kwenye bio yangu ambayo itakupeleka moja kwa moja youtube kuitazama.

Ni matarajio yetu makubwa kuwa mtaipenda na kuifurahia.
Nawapenda sana.🙏🏽❤️

Watoto wa 2005 hawamjui Mwamba kabisaaa
16/06/2025

Watoto wa 2005 hawamjui Mwamba kabisaaa

BrooMwanamke ana option 1000 ila wewe una option moja tu USHINDI.Kwa faida yako  man.
16/06/2025

Broo

Mwanamke ana option 1000 ila wewe una option moja tu USHINDI.
Kwa faida yako man.

Askari Magereza akiimarisha ulinzi Lissu alipowasili Mahak**a ya Kisutu.Nini maoni yako..
16/06/2025

Askari Magereza akiimarisha ulinzi Lissu alipowasili Mahak**a ya Kisutu.

Nini maoni yako..

16/06/2025

K**A MOYO WAKO MDOGO USITAZAME

Mdada mwenye Fangasi wanaosababisha harufu mbaya ukeni, utafanya hivi;Chukua punje sita hadi kumi za vitunguu saumu, uta...
16/06/2025

Mdada mwenye Fangasi wanaosababisha harufu mbaya ukeni, utafanya hivi;

Chukua punje sita hadi kumi za vitunguu saumu, utamenya na kuzimeza nzima nzima moja baada ya nyingine bila kutafuna, huku ukisukumiza na maji au maziwa mtindi

Fanya hivyo kila siku asubuhi na usiku, ni njia nyepesi sana ya kuongeza kinga ya mwili na kuzuia kasi ya maambukizi ya fangasi (P.I.D na U.T.I sugu)

Ili ufanikiwe kuondosha matatizo haya ya fangasi, pamoja na kutumia dawa zako, nakushauri kuwa msafi wa nguo za ndani zilizokauka, kutokaa na pedi kwa muda mrefu, usioshe sehemu za ndani za uke kwa kutumia sabuni au kutia manukato kwa sababu huenda kuharibu pH ya uke na kuua bakteria wazuri wanaolinda uke.

Punguza matumizi ya sukari na vyakula vya kukobolewa, k**a una ndoa basi zungumza na mumeo ajilinde dhidi ya UTI ili kuepuka kukuambukiza pia

Fangasi huwa na tabia ya kupelekea kizazi kujaa maji, kizazi kuwa kichafu au mirija ya uzazi kuziba kwa kujaa usaha au maji machafu, ni vyema ukapendelea sana kutumia karafuu kwenye chai yako kila siku ili kusafisha kizazi chako au unaweza tumia binzari ya manjano (tumeric powder)

Chukua glass moja ya maji moto, Tia kijiko kimoja cha Manjano (Binzari ya Manjano) na ufunike mpaka maji ibakie uvuguvugu unywe

Fanya hivi mara tatu kwa siku kwa wiki moja au mbili na mirija na kizazi vitakuwa salama

Fanya kutumia manjano japo kwa wiki mara tatu kwa manufaa ya afya yako

Ukihitaji mwongozo mzima kuhusu namna ya kupambana na haya magonjwa ya fangasi, uvimbe, homoni imbalansi na mambo ya uzazi, chukua namba tuwasiliane whatsapp 0763872652

Style gani mwanaume anaweza lia
16/06/2025

Style gani mwanaume anaweza lia

https://youtu.be/Fe7N4pc6Nrs*DUARA Ep 03 || MAUMIVU YA NDOA*
16/06/2025

https://youtu.be/Fe7N4pc6Nrs

*DUARA Ep 03 || MAUMIVU YA NDOA*

"DUARA | Episode 1: Mume Anasaliti Mkewe na Dada wa Kazi – Mwanzo wa Maumivu!"Katika DUARA Episode ya kwanza, Dorry anapokea simu isiyo ya kawaida akiwa kiji...

Address

Kinondoni
Dar Es Salaam
KINONDONI14110

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Busati posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category