Purple speedy

Purple speedy LOVE IS ALL I NEED ❤️

 : Hali ya mshangao mkubwa imeibuka nchini Brazil baada ya bilionea kijana mwenye umri wa miaka 31 kutoka jimbo la Rio G...
05/09/2025

: Hali ya mshangao mkubwa imeibuka nchini Brazil baada ya bilionea kijana mwenye umri wa miaka 31 kutoka jimbo la Rio Grande do Sul kuacha urithi wake wote kwa nyota wa soka Neymar Jr, licha ya wawili hao kutokuwahi kukutana maishani.

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya kimataifa, tajiri huyo aliyekuwa hana mke wala watoto, aliandikisha wosia wake rasmi mwezi Juni 2025 katika ofisi ya serikali, akishuhudiwa na mashahidi.

Katika wasia Huo, alitamka wazi kuwa mali zake zote ikiwemo majumba, kampuni na uwekezaji ambazo zinakadiriwa kufikia zaidi ya dola bilioni 1 (sawa na zaidi ya shilingi trilioni 2.5 za Kitanzania) ziende kwa Neymar pekee.

Sababu kubwa iliyompelekea kufanya uamuzi huo ni kuvutiwa na
unyenyekevu wa Neymar na ukaribu wake na baba yake, akidai kuwa aliona thamani na utu katika tabia ya nyota huyo wa Brazil.

Kwa sasa, urithi huo mkubwa unasubiri uthibitisho wa kisheria katika mahak**a za Brazil kabla ya kuhamishwa rasmi kwa Neymar.

04/09/2025

Msanii Amefunguka Kuwa Yeye Anaamini Kwenye Uchawi Kwa Sababu Kuna Mambo Yalishawahi Kumkuta Hadi Kupelekea Kwenda Kutibiwa Upande Huo Baada Yakushindikana Kutibika Hospital.

Tembelea YouTube Channel Yetu Ya PMTV TWO Kutazama Muendelezo Mzima Wa Interview Hii

 : Msanii Wa Muziki Wa BongoFleva  Baada Ya Kupata Ajali Siku Za Hivi Karibuni, Amerudi Na Kwenda Kwa Mganga Wake😅  Amea...
02/09/2025

: Msanii Wa Muziki Wa BongoFleva Baada Ya Kupata Ajali Siku Za Hivi Karibuni, Amerudi Na Kwenda Kwa Mganga Wake😅

Ameandika: Maisha ni VITA

Na Vita Havitaki MTU MUOGA

Baada Ya Kupona Kwenye AJARI Jana Rasmi Nimerudi KILINGENI
Kwa Mwanangu CHAMN'GAZE-

SALAM ZANGU ZA KWANZA ZIENDE Kwa Mola na Mama Za Pili
CHAMN'GAZE MWAMBIENI Asante SANA

"

"BongoUnlocked

Muonekano Wa Muigizaji   Wazua Gumzo Mitandaoni Baada Yakuonekana Akiwa Amepungua Mwili Wake. Swipe Left.
01/09/2025

Muonekano Wa Muigizaji Wazua Gumzo Mitandaoni Baada Yakuonekana Akiwa Amepungua Mwili Wake. Swipe Left.

 : Ted Richards, raia wa Uingereza kutoka jiji la Bristol, amejizolea umaarufu duniani baada ya kutumia zaidi ya dola 50...
01/09/2025

: Ted Richards, raia wa Uingereza kutoka jiji la Bristol, amejizolea umaarufu duniani baada ya kutumia zaidi ya dola 50,000 (takribani milioni 130 za Kitanzania) kwa ajili ya kubadilisha muonekano wake ili kufanana na ndege wake aina ya Kasuku.

Richards, ambaye sasa amebadilisha rasmi jina lake kuwa “Ted Parrotman”, amefanyiwa mabadiliko yanayojumuisha zaidi ya tattoo 110 zinazofanana na manyoya yenye rangi, piercing 50, lugha iliyokatwa katikati (split tongue), na hata kubadilisha rangi ya macho yake. Aidha, alikubali kufanyiwa upasuaji wa kuondoa masikio yake kabisa, huku akipanga hatua inayofuata kuwa kurekebisha pua yake ili ifanane na mdomo wa ndege (beak).

Kwa mujibu wa vyombo vya habari vya Uingereza, Richards anasema kuwa mabadiliko hayo ni njia ya kuonesha mapenzi yake ya dhati kwa ndege wake huyo.

 : Unadhani Kwanini  Hakuvaa Jezi Ya Simba Yenye Logo Ya Kampuni Ya Kubet Na Badala Yake Akavaa Iliyoandikwa "SIMBA"
01/09/2025

: Unadhani Kwanini Hakuvaa Jezi Ya Simba Yenye Logo Ya Kampuni Ya Kubet Na Badala Yake Akavaa Iliyoandikwa "SIMBA"

 : Uhusiano kati ya mchezaji wa Nigeria na nyota wa Bayer Leverkusen, Victor Boniface, na mchumba wake Rikke Ermine, Har...
01/09/2025

: Uhusiano kati ya mchezaji wa Nigeria na nyota wa Bayer Leverkusen, Victor Boniface, na mchumba wake Rikke Ermine, Harusi yao ilifutwa Machi 2025 kutokana na tofauti kuhusu makubaliano ya kabla ya ndoa.

Taarifa zinasema kuwa Ermine alitaka mgawanyo wa mali kwa uwiano wa 50/50 iwapo ndoa ingevunjika, lakini harusi ilifutwa baada ya kugundua kuwa mali zote za Boniface ziko chini ya jina la mama yake. Hii ilimaanisha kuwa Ermine asingepata chochote iwapo ndoa ingevunjika.

Maoni Yako Ni Yapi Kwenye Hili?

 : Kisa cha kushangaza kimetokea baada ya mwanamke mmoja kudaiwa kughushi ujauzito na kumpa mpenzi wake matumaini ya kuw...
01/09/2025

: Kisa cha kushangaza kimetokea baada ya mwanamke mmoja kudaiwa kughushi ujauzito na kumpa mpenzi wake matumaini ya kuwa baba, wakati kijana huyo akiwa nje ya nchi.

Kwa mujibu wa taarifa, mwanaume huyo alipopokea habari hizo za ujauzito, alifurahi kiasi cha kumkodishia mchumba wake nyumba ya vyumba vitatu na kuanza kumtumia fedha kila mwezi kwa ajili ya mahitaji na gharama za kliniki. Mwanamke huyo pia aliendelea kumtumia picha za tumbo lake likiwa limeongezeka pamoja na picha za kliniki, jambo lililomfanya mpenzi wake aamini kabisa kuwa atakuwa baba hivi karibuni.

Hata hivyo, mambo yalibadilika pale mwanaume huyo aliporejea nyumbani bila kumjulisha ili ampe zawadi ya kushtukiza. Alipofika, alitaka kumshika na kusikia mtoto tumboni, lakini akabaini kuwa ujauzito huo ulikuwa ni wa bandia.

Tukio hili limezua gumzo mitandaoni, huku wengi wakilaani kitendo hicho cha udanganyifu na kuonya dhidi ya tabia ya kutumia ujauzito k**a njia ya kujinufaisha kifedha.

Kabla Siku Haijapinduka, Tumalize Utata Hapa, Timu Gani Ina Jezi Kali Kati Ya   Na
31/08/2025

Kabla Siku Haijapinduka, Tumalize Utata Hapa, Timu Gani Ina Jezi Kali Kati Ya Na

Kali Sio Kalii?
31/08/2025

Kali Sio Kalii?

Tatajie Sifa Moja Ya Wadada Wenye Tattoo
31/08/2025

Tatajie Sifa Moja Ya Wadada Wenye Tattoo

 : Mume Wa   (Shakib) amepigwa kwa knock out na Rickman katika rouno ya pili kwenye pambano lililofanyika Jumamosi hii, ...
31/08/2025

: Mume Wa (Shakib) amepigwa kwa knock out na Rickman katika rouno ya pili kwenye pambano lililofanyika Jumamosi hii, Lugogo Arena, Kampala, Uganda! Zari the Bosslady alikuwepo kushuhudia mumewe akiadhibiwa mbele ya maelfu ya mashabiki.

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Purple speedy posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share