07/10/2025
Mwanamke anapokuwa na Mwanaume anayeonyesha KUMPENDA na KUMJALI nakwambia hakuna Mtu atamlaghai huyo
______________________.
Ujue Mwanamke huyumbishwa na tabia mbaya alizonazo mwenza wake, Mwanamke anaweza kumpenda Mwanaume mwenye sura ngumu ili mradi ameonyesha upendo kwake, Mwanamke anaweza kumpenda Mwanaume masikini ili mradi anamjali,
Mwanamke anayejiamini hawezi kujitazama k**a sio mzuri na ndo maana WANAWAKE WABAYA wanajua kujichagulia na wanaongoza kujituliza kwenye mahusiano yao lakini pia wanajua kuvumilia , Hivyo ugumu wa sura ya Mwanamke ama kutokuwa na Mshape haimfanyi ajione anafaa kunyanyaswa,
_______________________
Kumbuka KILA SHETANI NA MBUYU WAKE... Yaani wewe ukimuona mbaya ujikumbushe WEWE ULIMPENDEA NINI?
Mpe nafasi Mwanamke wako ajione anakumiliki ili ajiamini kuwa UMEMPA KIPAUMBELE na utakuwa umeshinda mtihani wa wanawake wengi, Mwanamke huwa anakupenda pale mwili wake unapohisi udhaifu juu yako, Hakuna mbadala wa kumtuliza Mwanamke.
Mwanamke hatulizwi mpk atulie mwenyewe, mwanaume hatulii mpaka atulizwe.