Expert Dating Advice

Expert Dating Advice Soulmate (Live your feelings)

Kuwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa mara kwa mara na mtu Fulani (mpenzi,mke au mume) kunahusishwa kuwa ni matokeo mazu...
24/07/2025

Kuwa na hamu ya kufanya tendo la ndoa mara kwa mara na mtu Fulani (mpenzi,mke au mume) kunahusishwa kuwa ni matokeo mazuri ya upendo wa dhati juu ya mtu huyo.

Na ikiwa huna hamu naye mara kwa mara,haya ni matokeo mabaya ya upendo juu ya mtu huyo.




Mwenye kujua sifa za mwanamke anavuta bangi ama sigara katika mahusiano Au wewe unayedate manzi wa hii mambo tujuze sifa...
24/07/2025

Mwenye kujua sifa za mwanamke anavuta bangi ama sigara katika mahusiano
Au wewe unayedate manzi wa hii mambo tujuze sifa zao.

Mimi nakupa pamoja "Matiti yao hulala fasta sababu ya uvutaji "
Theodore Nicas
Expert Dating Advice
Timothy Nussulupilya
Brino Timami
King Alex C Mlokha
Real Middle
Catherine Matongo

Guys ninaandika haraka haraka maana nampepea bwana harusi mtarajiwa amezimia baada ya kukataliwa kuoa binti mzuri wa kiz...
23/07/2025

Guys ninaandika haraka haraka maana nampepea bwana harusi mtarajiwa amezimia baada ya kukataliwa kuoa binti mzuri wa kizanzibar,

Huyu jamaa baada ya kuposa na kulipa mahari yote akapata mualiko maalum wa kuonana na familia ya wakwe zake watarajiwa na kupata chakula cha mchana pamoja, nilimwambia kua akipewa samaki ale kiduchu tu ila chonde chonde asimgeuze,

Basi bwana na mie nilikua mmoja wa wapambe wa bwana harusi mtarajiwa k**a mjuavyo tamaduni ni kua wanawake hukaa sehemu yao na wanaume hukaa sehemu yao lakini wakati tunaachana akakae upande wa wanaume nikamkumbusha tena "huku Zenji ukiwa ukweni samaki hagaezwi" akasema nisikonde "chill, i got this...." hayo ndio maneno ya mwisho kunambia kabla hajazimia 😭😭😭😭

Huyu bwana akapewa bonge la samaki unajua samaki wa kupaka weweeee, jamaa akapagawa akasahau onyo nililompa akaanza kumgegedua samaki upande wa kwanza ukaisha akamgeuza na kuendelea kumfakamia kwa fujo huku akijiramba vidole daah!🥺 hapo hapo baba wa bibi harusi akasimama kwa hasira na kuanza kumfokea sana kwanini kamgeuza yule samaki, akasema ndoa haipo tena mahari yake amtume mshenga wake akaifate kesho asubuhi sana na kuondoka huku akirusha rusha mikono, taharuki ikatokea jamaa tunamuuliza vipi hajajibu akadondoka na kuzimia......

Nitaendelea kuwapa updates ila ndio hivyo mkija Zanzibar kuoa chonde chonde msimgeuze samaki.
fans

K**a anakuhitaji kwenye safari ya maisha yake, atakupa kipaumbele, huna haja ya kupigania hiyo nafasi.Ukiona unapigania ...
21/07/2025

K**a anakuhitaji kwenye safari ya maisha yake, atakupa kipaumbele, huna haja ya kupigania hiyo nafasi.
Ukiona unapigania nafasi hiyo, ujue umeshaanza kuumia kwa kujihis kupunjwa kupendwa.

Mwanamke hulalamika kipindi anapohitaji kuendelea kua na wewe, akiacha kulalamika ujue amekwisha ondoka kwako.
fans

Moyo wako una maumiv kwakua umeamua kuachana na mtu ambaye unampenda sanaa, kwakua alikutenda au hufurahishwi na mwenend...
21/07/2025

Moyo wako una maumiv kwakua umeamua kuachana na mtu ambaye unampenda sanaa, kwakua alikutenda au hufurahishwi na mwenendo wa tabia zake.

Maumivu hayo yanamaana kua mapenzi yako kwake yalikua ya dhati na kweli.
Ila uamuzi wako ni sahihi, maana huna budi kumuacha mtu unayempenda pale unapoona anageuka kua sumu (sumu) na kuharibu ndoto zako.


Follow Expert Dating Advice Instagram

Watu wengi huweka tumain la PENZI kwenye hali ya mtu (status) na sio kweny uhalisia wa yule unaempenda.Utasikia mtu anas...
20/07/2025

Watu wengi huweka tumain la PENZI kwenye hali ya mtu (status) na sio kweny uhalisia wa yule unaempenda.
Utasikia mtu anasema Mpenzi wangu ni mtoto wa waziri, kwao wanauwezo, Baba yake ni mfanyabiashara mkubwa, Mpenzi wangu ni mkurugenzi, Mpenzi wangu anamagari, majumba n. k mara anaconnection na watu, ni mtaalam wa kuchenjua madin.
___________
Najiuliza swali k**a baba yake ni mfanyabiashara mkubwa, wewe unaenda kuolewa na baba yake au hyo biashara au unaenda kushirikiana nae kibiashara? Au unaenda na ww kuchenjua madin?? Mbona sijasikia mtu akisema Mpenzi wangu Ana hekima, ni mwenye busara au anawasaidia sana wasio jiweza. Vile vya maana hamvioni, vya kipuuzi ndio mnavisisitizia. Ndio maana machozi hayawaishi mnaingia kwenye Mapenzi nakiu ya status na vitu badala ya uhalisia, mnashindwa kufahamu kwamba hakuna uhusiano wa CV ya mtu na Ndoa au Mapenzi

fans

Utajuaje kuwa huyo mwanaume una-date nae ni mume wa mtu?Nasoma comments.
19/07/2025

Utajuaje kuwa huyo mwanaume una-date nae ni mume wa mtu?

Nasoma comments.

Akija manzi kwako na kukwambia u-mtaftie Boyfriend, na akawa anataja sifa ambazo kimsingi wewe ndio unazo. Maana yake hu...
17/07/2025

Akija manzi kwako na kukwambia u-mtaftie Boyfriend, na akawa anataja sifa ambazo kimsingi wewe ndio unazo.
Maana yake huyo manzi anakutaka wewe.

Mbinu za mwanamke kukutaka zimekaa k**a fumbo ndio maana wanaume wengi hamjui, mwanamke si rahisi saaana kusema anakutaka kimapenzi.
Kuna namna inabidi kujiongeza ili kuwaelewa.



MORNING TRUTH. Unaamka asubuhi kuwahi kazini, unaindoka bila kum-nyqndua dem wako uliyelala nae mzungu wa 4 baada ya ugo...
17/07/2025

MORNING TRUTH.

Unaamka asubuhi kuwahi kazini, unaindoka bila kum-nyqndua dem wako uliyelala nae mzungu wa 4 baada ya ugomvi jana.
Na yeye anajiandaa kuelekea kazini asubuhi hii, mara anafika anaanza kumsimulia yule mwamba anayemfarijigi wakiwa kazini wanakumbatiana anaambiwa poleee, hiyo tu pekee inamfanya anasisimka na mwamba anakwenda kujilia mzigo, huku wewe bado umenunia huyo mwanamke.

Kwa taarifa yako, hakuna mtu anapiga ngoma kwa nguvu k**a yule asiye imiliki hiyo ngoma.

fans

 Ili upendwe na kupewa thamani kwenye MAPENZI unawajibika kugharamia au kugharamika iwe kwa MALI🏠🚗 AU MWILI👙.Migogoro im...
11/07/2025



Ili upendwe na kupewa thamani kwenye MAPENZI unawajibika kugharamia au kugharamika iwe kwa MALI🏠🚗 AU MWILI👙.

Migogoro imekuwa chakula cha mahusiano ya ndoa nyingi kuliko UPENDO hata kupelekea maumivu makubwa kwa kila aliyeamini katika UPENDO 💘
Kwa sasa ili japo upate FURAHA NA AMANI ya mpito unatakiwa kujipima uwezo wako ki fedha au mali ili wewe utoe pesa au mali kugharamia mwingine na mwingine akupe haja yako😂😂

Maana kumpata mtu sahihi ambaye atakuwa nawe kwa MOYO wake na akajitosheleza bila kudai ama kuomba chochote, unawajibika kuomba rehema za MUNGU ili kumpata huyo, Kwa nadharia ni k**a ndo FASHION lakini kumbe MAJERAHA YA MAPENZI YAMEWAJENGA WENGI KUAMINI HAKUNA UPENDO WA DHATI, zaidi ni kutumiana na kutumika, mmoja anafaidika kingono baada ya kutumika na mwingine anafaidika kimaisha baada ya kutumiwa kingono.

fans

Kwa wanaume wote mlio oa na mnaotarajia kuoamsiruhusu mke  ampe kipaumbele mchungaji, wanawake wanawatendea wachungaji i...
09/07/2025

Kwa wanaume wote mlio oa na mnaotarajia kuoa

msiruhusu mke ampe kipaumbele mchungaji, wanawake wanawatendea wachungaji ilivyo bora kuliko waume zao,
pili muonye mke wako kuwa anamtembelea mchungaji kwa maombi,

Hata mchungaji akitembelea kwako ukiona chakula kinachopikwa vizuri ni cha mchungaji sio mume, nguo anazo nunuliwa mchungaji ni nzr kuliko unazozawadiwa wewe
, jaribu kuuliza k**a sivyo, chunguza.

As a responsible man, you are the 1st visitor in your home, hakikisha unakula kwenye hizo glass plates,mke akijam akaolewe pengine apeleke upumbavú huko.

LOVE SOME ONE WHO HAS SOMETHING TO LOOSE IN THE FUTURE.Ukimpenda mtu mahusiano yanatakiwa yawe husika na sio husishwa, k...
09/07/2025

LOVE SOME ONE WHO HAS SOMETHING TO LOOSE IN THE FUTURE.

Ukimpenda mtu mahusiano yanatakiwa yawe husika na sio husishwa, katika kupenda kweli unatakiwa ukubali mazuri na mabaya ya unaemkusudia, Ukimpenda hauwezi kuona mabaya yake, upendo wa kweli unafidia yale mabaya ya mwenzako na unajikuta unayavumilia. Kitendo cha kuvumilia usaliti wa mara kwa mara au kipigo cha mara kwa mara au makosa yanayojirudia ni ujinga. Wengi wetu hupenda mahusiano husishwa na sio husika.

Iko hivi
Anayependa kweli yupo hivi, akiona unazingua anaanza kuangalia upande wa pili, siku ukigundua unashusha adhabu kali kumbe wewe ndio ulianza kuzingua.
Sio jambo la busara Sanaa kuja mtandaoni kutafta huruma au msaada mwisho wa siku mkisameheana mtarudiana bila kuja mtandaoni kututambia.
Expert Dating Advice

Address

Dar Es Salaam

Telephone

+255679958279

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Expert Dating Advice posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Expert Dating Advice:

Share