Expert Dating Advice

Expert Dating Advice Soulmate (Live your feelings)

Kaka ukiona Anakupa sababu zisizo isha k**a namna ya kukwepa Tendo Labda anadai kuumwa, ama amechoka ama hajisikii na ma...
09/10/2025

Kaka ukiona
Anakupa sababu zisizo isha k**a namna ya kukwepa Tendo
Labda anadai kuumwa, ama amechoka ama hajisikii na mambo mengine mengi, kuna uwezekano mkubwa umepata msaidizi ama wasaidizi.
Chukua hii code.
fans
@

Maisha yamebeba siri nzito sana, unaweza kuoa Mwanamke ambaye alikubali pete yako kwasababu katoka kuumizwa na Mwanaume ...
08/10/2025

Maisha yamebeba siri nzito sana, unaweza kuoa Mwanamke ambaye alikubali pete yako kwasababu katoka kuumizwa na Mwanaume aliyempenda sana.

Maisha yana mambo mengi sana unaweza kuoa Mwanamke akawa na furaha tele ukahisi upendo kumbe amekubali ili amrushe roho Mpenzi wake wa zamani, awakere Wapambe.

Maisha yanafikirisha sana unaweza kuoa na ukahisi umepata Mke kumbe kashindikana kwao Wazazi wameforce uweke ndani ili waikwepe aibu, maisha haya.

Maisha hayajawahi kuacha kutupa mshangao, unaweza kuoa kwa mbwembwe zote kumbe jana Binti katoka kupeana cha kuagiana na Mpenzi ampendaye na ameketi siti za mbele harusini kwa jina la Family Friend.

Pita mitaani usikie kauli za Wazazi “Bora uolewe ukapumzike” pita mtaani usikie “nishaswampa sana sasa acha nikapumzike kwenye ndoa” tizama utashi huu yaani ndoa ni mapumziko baada ya shughuli ndefu za sita kwa sita.

Tuishi tu.

07/10/2025

Mwanamke anapokuwa na Mwanaume anayeonyesha KUMPENDA na KUMJALI nakwambia hakuna Mtu atamlaghai huyo
______________________.
Ujue Mwanamke huyumbishwa na tabia mbaya alizonazo mwenza wake, Mwanamke anaweza kumpenda Mwanaume mwenye sura ngumu ili mradi ameonyesha upendo kwake, Mwanamke anaweza kumpenda Mwanaume masikini ili mradi anamjali,
Mwanamke anayejiamini hawezi kujitazama k**a sio mzuri na ndo maana WANAWAKE WABAYA wanajua kujichagulia na wanaongoza kujituliza kwenye mahusiano yao lakini pia wanajua kuvumilia , Hivyo ugumu wa sura ya Mwanamke ama kutokuwa na Mshape haimfanyi ajione anafaa kunyanyaswa,
_______________________
Kumbuka KILA SHETANI NA MBUYU WAKE... Yaani wewe ukimuona mbaya ujikumbushe WEWE ULIMPENDEA NINI?

Mpe nafasi Mwanamke wako ajione anakumiliki ili ajiamini kuwa UMEMPA KIPAUMBELE na utakuwa umeshinda mtihani wa wanawake wengi, Mwanamke huwa anakupenda pale mwili wake unapohisi udhaifu juu yako, Hakuna mbadala wa kumtuliza Mwanamke.

Mwanamke hatulizwi mpk atulie mwenyewe, mwanaume hatulii mpaka atulizwe.

Dear men,NYINYI SI vituo vya ukarabati wa wanawake waliolelewa vibaya na wenye tabiaza hovyo. Si kazi yako kumrekebisha,...
07/10/2025

Dear men,
NYINYI SI vituo vya ukarabati wa wanawake waliolelewa vibaya na wenye tabiaza hovyo. Si kazi yako kumrekebisha, kumbadilisha, kuwa mzazi au kumlea. Unataka PARTNER, si PROJECT.

Mwanamke anapokuwa na Mwanaume anayeonyesha KUMPENDA na KUMJALI nakwambia hakuna Mtu atamlaghai huyo____________________...
07/10/2025

Mwanamke anapokuwa na Mwanaume anayeonyesha KUMPENDA na KUMJALI nakwambia hakuna Mtu atamlaghai huyo
______________________.
Ujue Mwanamke huyumbishwa na tabia mbaya alizonazo mwenza wake, Mwanamke anaweza kumpenda Mwanaume mwenye sura ngumu ili mradi ameonyesha upendo kwake, Mwanamke anaweza kumpenda Mwanaume masikini ili mradi anamjali,
Mwanamke anayejiamini hawezi kujitazama k**a sio mzuri na ndo maana WANAWAKE WABAYA wanajua kujichagulia na wanaongoza kujituliza kwenye mahusiano yao lakini pia wanajua kuvumilia , Hivyo ugumu wa sura ya Mwanamke ama kutokuwa na Mshape haimfanyi ajione anafaa kunyanyaswa,
_______________________
Kumbuka KILA SHETANI NA MBUYU WAKE... Yaani wewe ukimuona mbaya ujikumbushe WEWE ULIMPENDEA NINI?

Mpe nafasi Mwanamke wako ajione anakumiliki ili ajiamini kuwa UMEMPA KIPAUMBELE na utakuwa umeshinda mtihani wa wanawake wengi, Mwanamke huwa anakupenda pale mwili wake unapohisi udhaifu juu yako, Hakuna mbadala wa kumtuliza Mwanamke.

Mwanamke hatulizwi mpk atulie mwenyewe, mwanaume hatulii mpaka atulizwe.

Hata k**a unampenda kiasi gani, Hakikisha hautumii nguvu kubwa kwenye kuomba ushirikiano wa mawasiliano. Akikupenda kwel...
06/10/2025

Hata k**a unampenda kiasi gani, Hakikisha hautumii nguvu kubwa kwenye kuomba ushirikiano wa mawasiliano.
Akikupenda kweli, ataendana na standards zako, hatohisi kupoteza uhuru wake ama kuonewa na kujiona kukandamizwa, kumbuka wewe ndiye unamchagua yeye na ndio sababu unamtolea mahari.
fans

06/10/2025
Mapenzi njia panda sana aiseee! Yani unamuuliza mpenzi wako je unanipenda? anakujibu “mi sina chuki na mtu” kweli jamani...
03/10/2025

Mapenzi njia panda sana aiseee! Yani unamuuliza mpenzi wako je unanipenda?
anakujibu “mi sina chuki na mtu” kweli jamani?

Ukisikia majibu haya, k**a upo mliman angalia vzr ulifikaje
fans

03/10/2025
"Nahisi asilimia kubwa ya  wasichana mmeshawahi kutumia P2 iwe kwa matumizi sahihi ama lah!, Expert Dating Advice   fans
01/10/2025

"Nahisi asilimia kubwa ya wasichana mmeshawahi kutumia P2 iwe kwa matumizi sahihi ama lah!,
Expert Dating Advice

fans

Taja sifa za wale wanawake wanapenda kuvaa pete na vikuku miguuni.  fans
30/09/2025

Taja sifa za wale wanawake wanapenda kuvaa pete na vikuku miguuni.

fans

FAHAMU:Utumiaji wa lipstick 💄, lip bum au vingine vinavyofanana na hivyo. Utumiaji wa kila siku wa lipstick humfanya mtu...
30/09/2025

FAHAMU:

Utumiaji wa lipstick 💄, lip bum au vingine vinavyofanana na hivyo. Utumiaji wa kila siku wa lipstick humfanya mtumiaji awe na kiasi kikubwa cha metali mwilini aina ya (kromiumu) kitaalamu CHROMIUM hivyo kufanya mtumiaji kupata kansa ya Utumbo.

Address

Dar Es Salaam
NONE

Telephone

+255679958279

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Expert Dating Advice posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Expert Dating Advice:

Share