Expert Dating Advice

Expert Dating Advice Soulmate (Live your feelings)

Mapenz yakulazmisha hayadumu na yakidumu hayana furaha,, Good morning guys🥰Expert Dating Advice
16/01/2026

Mapenz yakulazmisha hayadumu na yakidumu hayana furaha,, Good morning guys🥰
Expert Dating Advice

15/01/2026
mwanaume kula kila aina ya samaki lakini usimguse samaki aina ya  changu,naskia sio mzuri Kwa AfyaExpert Dating Advice  ...
15/01/2026

mwanaume kula kila aina ya samaki lakini usimguse samaki aina ya changu,naskia sio mzuri Kwa Afya
Expert Dating Advice
fans

MADHARA YAI (TATTOOS) KATIKA DAMU na MWILI.  Unaweza kukosa fursa mbalimbali k**a kuajiriwa JESHINI na sehemu nyinginezo...
14/01/2026

MADHARA YAI (TATTOOS) KATIKA DAMU na MWILI.
Unaweza kukosa fursa mbalimbali k**a kuajiriwa JESHINI na sehemu nyinginezo.
Madhara mengine ni Saratani ya Ngozi, kuwa na aleji/mzio, matatizo kipindi cha kufanya kipimo cha MRI na kushindwa kuchangia damu.
Kushindwa kuchanwa na kushonwa kwa ajili ya kufanyiwa upasuaji au operation.

Soma https://jamii
Lugwisha G Fabian

Siku hizi kwenye mahusiano na mahusiano wale Vampires wa energy yako na nishati wanazidi kuongezeka. Hivi uliwahi gundua...
13/01/2026

Siku hizi kwenye mahusiano na mahusiano wale Vampires wa energy yako na nishati wanazidi kuongezeka.

Hivi uliwahi gundua kuwa mwanaume unapo s*x na mwanamke ni unamuachia nafsi na zile energy zako zoote?? Hii hutokea kipindi cha kumwaga 💦

Mwanamke mzr Utamuona machoni pake
Katika mwili wake kuna muitikio utaupata
Wakati wa kus*x ndio utagundua vitu vingi saana
Si kila mwanamke ni wa kulala nae.

Lala na mwanamke mbaya na utajisikia vibaya siku inayofuata 💔

Lala na mwanamke sahihi naye atakuchangamsha na utajisikia vzr na pengine baraka zako zitafunguka mara dufu.
fans
Expert Dating Advice
Lugwisha G Fabian
Timothy Nussulupilya

12/01/2026

Unafanya isipokuwa uko na mtu asiyeridhika
fans

Unapohisi tu kuna mtu anakukwepa kwepa,Unamtext hajibu, au ukipiga hapokei, akipokea dizain yuko busy ,anaongea na Wewe ...
12/01/2026

Unapohisi tu kuna mtu anakukwepa kwepa,
Unamtext hajibu, au ukipiga hapokei, akipokea dizain yuko busy ,anaongea na Wewe muda mfupi sanaa (unajihisi kudhulumiwa kihisia)
Jitahidi sana usiendelee kuwa msumbufu kwake Usiforce.
Jiongeze.
Expert Dating Advice

11/01/2026

Yule Mwanamke wa ndoto zako kwa Jamaa mwingine ni kiburudisho cha nafsi yake ni simu moja maelekezo, yule Mwanaume unayekula nae vumbi leo kesho atakula bata Fivestars na Wanawake wa ndoto zake, ile gari ya ndoto zako kwa mwingine ni usafiri wa watoto shule.

Yule Mwanamke wako wa ndoa alikubali kwako baada ya kuumizwa na Kipenzi cha maisha yake, yule Mwanaume aliyekuoa huenda alikuwa anamkomoa Ex wake, wale wanaokupigia makofi wakati unashinda wapo kwa Mganga wa Kienyeji wanasema mikono inawauma wanataka kukuona chini.

I wish they would have been careful with what they wish for! Mwanamke wanayemtazama k**a role Model mtandaoni kila trip Dubai mara New car, yupo hotel amekaa anasubiri wenye chapaa wampelekee moto aote kwakuwa anajisikia baridi, mwili wake una majeraha mengi japo picha zake nzuri machoni mwa wengi.

Nini maana ya maisha? Ni kuishi leo kwakuwa kesho hajapewa ahadi mtu yoyote, Mungu atubariki Wana Wa Hawa, uzao wa Adam! Fahamu mmekutana ukubwani na malezi kutoka familia tofauti, penda sana ila usiamini sana, wanapokuja wakaribishe sebuleni sio chumbani, past paper za Watu wema ndio zimejaa machozi mengi na matokeo ya Wanafki yana alama A.


Expert Dating Advice

Mpendezeshe mkeo/mpenzi wako akuvutie wewe na sio akawavutie wao. Na uelewe kuwa michepuko haina huruma, kazi yao ni kuk...
11/01/2026

Mpendezeshe mkeo/mpenzi wako akuvutie wewe na sio akawavutie wao.
Na uelewe kuwa michepuko haina huruma, kazi yao ni kukupurua mpaka uchanganyikiwe.

Unaweza ukampata huyu na bado usitulie, lkn ulisema ukimpata huyu utatulia.

K**a utapanga appointment na mwanamke then siku hiyo akaja na rafiki yake,Wewe deal na rafiki yake zaidi kuliko yeye, ha...
10/01/2026

K**a utapanga appointment na mwanamke then siku hiyo akaja na rafiki yake,
Wewe deal na rafiki yake zaidi kuliko yeye, hatorudia tena kosa hilo next time.
Expert Dating Advice

Utakutana na mwanaume alie bora mara moja tu katika maisha yako. Inawezekana ukawa umepitia katika mahusiano na wanaume ...
10/01/2026

Utakutana na mwanaume alie bora mara moja tu katika maisha yako. Inawezekana ukawa umepitia katika mahusiano na wanaume kadhaa lakini utakutana na mmoja tu ambae ni k**a Mungu alimtuma kwako. Mwanaume ambae hutakuja kumsahau maisha yako yote kwa mazuri. Nakupa guarantee, k**a ukikutana na huyo mwanaume, usimdharau. Ametumwa na Mungu kuwa mwanaume wako, rafiki na kila furaha yako.


fans

06/01/2026

Address

Dar Es Salaam
NONE

Telephone

+255679958279

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Expert Dating Advice posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Expert Dating Advice:

Share