28/09/2023
: Naira Akijibu Kuhusu Video Ya Marehemu Mohbad Aliyorekodi Akisema Kwamba K**a Akifa Basi Yeye Na Watu Wa Label Yake (Marlian) Wak**atwe
“Unajua Mi Mwenyewe Sielewi, Nilihitaji Kumpa Msaada, Halafu Kwanza Sikuwepo Kabisa Nchini (Nigeria) Wakati Anarekodi Ile Video ….”
“Mohbad alirekodi ile Video akisema Kwamba K**a Akifa Basi Mimi Na Marlians Tuk**atwe!!. Na Niliporudi Nigeria Nilikutana Nae Na Kuongea Nae, Ambapo Nilimuuliza (Shida Ni Nini?) lakini Alijibu Kuwa Haelewi Chochote Na Kuniomba Msamaha” -
Lakini Pia Naira Marley Amesema Kwamba Mohbad alimuomba Msamaha Na Ushahidi Wa Mazungumzo Anao
“Nina Video Zinazoonesha Nikizungumza Na Mohbad, Wakati Nipo Marekani Mke Wake Alinipigia Simu Na Kuniambia Niongee Na Mohbad Chochote kile Kwasababu alikuwa anataka Kujiua, Kwahiyo Baada Ya Hapo Nilimpigia Na Nikawa Narekodi Mazungumzo Hayo Nikimuuliza Kwanini Anataka Ajiuwe Kwasababu Familia Yake haikuwa Sawa Kabisa (Walikuwa Stress), Nikamwambia Walau (Upate muda kidogo na Usijiue!Kwasababu ukijiua Saizi Unataka Watu Waseme Nini ?, Ikiwa Umerekodi Video Ukisema Kwamba K**a Ukifa Basi Watu Wote Wa Naira Marley Wak**atwe)
“Hivyo Kwasababu alikuwa anataka Kujiua, Nikampigia Ili Nijue Namsaidiaje, lakini alisema Kuwa mama na baba Yake Ndio Wanaelewa Shida Yake, Kwahiyo Nikamwambia Acha Nizungumze na Wazazi Wako K**a Hawatojali, Nilizungumza Nao Nikawaambia K**a Kuna Tatizo Basi akapatiwe matibabu Ila Mi sina Shida Nae Yoyote, Na Mwacheni Atulie, Asisumbuliwe na Kelele Wala Chochote kile” (SWIPE)
TANGAZA BIASHARA YAKO NA SWAHILIFORUMS: TUCHEKI WHATSAPP 0712 058 619 AU 0766 081 920.