24/02/2023
KWANINI UJIUNGE NA KOZI YETU? HIZI HAPA SABABU 10 ZINAZOTUFANYA TUWE BORA ZAIDI!
1. Tumesajiliwa na tunatambulika ndani na nje ya nchi. Yaani anayejifunza kwetu ni sawa na mwanafunzi anayejifunza Nacel English School London โ UK au LSI Brisbane โ Australia.
2. Tuna walimu wenye uzoefu na waliobobea katika ufundishaji lugha hasa Kiingereza k**a lugha ya pili na kigeni wakiongozwa na Mtaalamu wa Kiingereza mwenyewe (Mr. Wilson) aliyepata uzoefu wake nchini Uingereza na Australia.
3. Tunatoa vyeti baada ya mafunzo kulingana na level ya mwanafunzi. Vyeti vyetu unaweza kuvitumia kuombea kazi hasa zinazohitaji mtu mwenye uwezo wa kuongea na kuandika Kiingereza. Kuombea visa kwa English Speaking Countries, kuombea scholarship, kwa promotion kazini, nakadhalika.
4. Tunatumia โBilingual Approach/Methodโ katika kozi yetu. Yaani lugha mbili, Kiingereza na Kiswahili. Hii inamsaidia mwanafunzi kuelewa vyema kile anachojifunza.
5. Tunatumia mfumo na mtaala wa kimataifa wa CEFR (Common European Framework of Reference for Languages). Kumbuka mfumo huu ni maalumu kwa ufundishaji wa lugha k**a lugha ya pili au ya kigeni. Hivyo kwenye kozi yetu utajifunza lugha ya Kiingereza na sio somo la Kiingereza.
6. Tunafundisha lugha ya Kiingereza na utamaduni wake. Hatufundishi somo la Kiingereza. Kozi ni zaidi ya somo la Kiingereza. Vituo vingi vimekuwa vikifundisha somo la Kiingereza na sio kozi na ndio maana wanafunzi wengi wanamaliza kozi wakiwa watupu maana walifundishwa k**a wanafunzi wanaojiandaa kujibu mtihani na sio kutumia Kiingereza.
7. Kozi yetu inakupa nafasi ya kuongea Kiingereza na kufanyia kazi kile ulichojifunza. Tunafundisha stadi zote nne: Speaking (kuongea), Writing (Kuandika), Listening (Kusikiliza), Reading (Kusoma). Pia utapata nafasi ya kujifunza matamshi ya maneno kwa usahihi (pronunciation), sarufi ya lugha (grammar), na kujijengea msamiati wa kutosha (vocabulary) utakaokusaidia kuwasiliana katika mazingira tofauti tofauti.
8. Kozi yetu inakupa fursa ya kuchagua muda wako wa kujifunza kati ya/kuanzia saa mbili asubuhi hadi saa tano usiku. Yaani unasoma kwa muda wako bila presha yoyote. Unaweza kusoma ukiwa kazini au jioni/usiku baada ya kazi. Unasoma bila kuathiri shughuli zako.
9. Kozi yetu inakufikia popote ulipo. Mikoa yote ya Tanzania. Dar es Salaam, Pemba Kaskazini, Pemba Kusini, Unguja Kaskazini, Unguja Mjini Magharibi, Unguja Kusini, Kilimanjaro, Arusha, Mbeya, Mwanza, Morogoro, Dodoma, Tabora, Singida, Shinyanga, Iringa, Songwe, Njombe, Geita, Kagera, Simiyu, Mara, Katavi, Kigoma, Ruvuma, Manyara, Lindi, Mtwara, Pwani, Rukwa, Tanga.
10. Tunatoa mafunzo kwa watu wa elimu na rika zote. Uwe na elimu ya darasa la saba au chuo kikuu, tuna mafunzo maalumu kwaajili yako yanayoendana na mahitaji yako. Uwe hujui kabisa Kiingereza, basi tutakuongoza hatua kwa hatua hadi ujue. Unahitaji Kiingereza kwaajili ya biashara, kazi, elimu, au mahitaji yoyote yale, tupo kwaajili ya kukusaidia.
UNAHITAJI KUJIUNGA NA KOZI YETU?
TUMA UJUMBE KWENDA WHATSAPP NAMBA 0716107367 AU BOFYA PALIPOANDIKWA NENO โWHATSAPPโ KUWASILIANA NASI MOJA KWA MOJA.
HUDUMA KWA NJIA YA WHATSAPP INAPATIKANA MUDA WOTE (24/7). HIVYO UNARUHUSIWA KUTUMA UJUMBE WAKO MUDA WOWOTE ULE. (TAFADHALI SANA USITUME UJUMBE WA KAWAIDA. JUMBE ZOTE ZITUMWE KWA NJIA YA WHATSAPP).
UNAWEZA PIA KUPIGA SIMU MOJA KWA MOJA KWENYE NAMBA YETU YA HUDUMA 0716107367. PIGA SIMU KWENYE MUDA WA KAZI PEKEE. KUANZIA SAA MBILI ASUBUHI HADI SAA KUMI NA MBILI JIONI. NJE YA MUDA WA KAZI HATUPOKEI SIMU.
KWA MAHITAJI YA VITABU TUMA UJUMBE WENYE NENO โVITABUโ KWENDA WHATSAPP NAMBA 0716107367.