Stostabrand

Stostabrand YALIYO KIKI ZANDAAN ZAID ZA UHAKIKA
FOLLOW

YALIYO KIKI ✍️ Geita Gold Wamemrejesha Tena Suleiman Matola Ambaye Kwa Sasa Ni Kocha Msaidizi Wa SimbaNdoa Ya Suleiman M...
30/05/2026

YALIYO KIKI ✍️

Geita Gold Wamemrejesha Tena Suleiman Matola Ambaye Kwa Sasa Ni Kocha Msaidizi Wa Simba

Ndoa Ya Suleiman Matola Na Simba inafikia tamati Mwishoni Mwa Msimu Huu

Simba Na Matola Wamefikia Makubaliano Ya Kutoendelea Kwa Msimu Ujao Huku Taratibu Za Kumpatia Kazi Matola Zikiwa Zimekamilika

Matola Amewahi Kuifundisha Geita Gold Miaka Ya Nyuma Na Sasa Anarejea Kwa Mara Nyingine

YALIYO KIKI ✍️ Ni rasmi Sasa PSG ni bingwa wa ulaya Kwa Penati 4-3
30/05/2026

YALIYO KIKI ✍️

Ni rasmi Sasa PSG ni bingwa wa ulaya Kwa Penati 4-3

YALIYO KIKI ✍️ Baada ya ushindi wa Jana Raisi kafurahi sana, na kasema vijana baada ya kurejea nchini wata enda kukaa Ka...
29/05/2026

YALIYO KIKI ✍️

Baada ya ushindi wa Jana Raisi kafurahi sana, na kasema vijana baada ya kurejea nchini wata enda kukaa Kambini Mpaka 2030 Tanzania tutakapo shiriki michuano ya kombe la Dunia.

Raisi amefurahishwa sana na Serengeti Boys kwenda Fainali, na Mimi nime mwambia ushindi huu wa Serengeti Boys ni Kwa ajili yake.

🗣️ Paul Makonda

YALIYO KIKI ✍️ ✍️ Kuna Mdau mmoja amemkosoa mwandaaji wa tamthilia hii ya Dunia Baba Asma.Mdau anasema ni uongo wa hali ...
27/05/2026

YALIYO KIKI ✍️ ✍️

Kuna Mdau mmoja amemkosoa mwandaaji wa tamthilia hii ya Dunia Baba Asma.

Mdau anasema ni uongo wa hali ya juu huyu binti Kumpenda Manyanya Mbele ya mume wake, kwanza mume wake ana Kila kitu kumzidi Manyanya, muonekano, pesa magari n,k, sasa iweje binti ampende Manyanya?

Mdau anasema hapo Baba Asma kakosea Kwa sababu ni kitu ambacho hakiingii akilini, labda k**a lengo ni kutengeneza Scene yenye Mvuto itayo pendwa ni sawa ila haina uhalisia kabisa.

Unakubaliana na Mdau?

YALIYO KIKI ✍️ ✍️ Ni mbunge wa Geita vijijini huko, Elimu yake ni Darasa La Saba tu.Ukiondoa Abood na Shabiby huyu ndo m...
27/05/2026

YALIYO KIKI ✍️ ✍️
Ni mbunge wa Geita vijijini huko, Elimu yake ni Darasa La Saba tu.

Ukiondoa Abood na Shabiby huyu ndo mbunge mwenye pesa Ndefu kuliko wengine.

Mwaka Jana alishusha basi 100 za kubebea abiria huko Geita na Kanda yote ya ziwa Kwa ujumla, watu wa Kanda ya ziwa ndo Wana elewa KING MSUKUMA balaa lake, Kwa kifupi kachafua Kanda ya ziwa.

Ubunge aliingia tu Ili kuwapigania watu wa Geita na siyo apate pesa mana pesa anayo kitambo Sana, anaonekana ni mshamba lakini ana utajiri mkubwa sana.

Ni Joseph Msukuma.

YALIYO KIKI ✍️ Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Maguf...
25/05/2026

YALIYO KIKI ✍️

Mama Mzazi wa aliyekuwa Rais wa Awamu ya Tano wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Hayati John Pombe Magufuli, Suzana Magufuli amefariki dunia leo Mei 25, 2026, Chato Mkoani Geita baada ya kuugua kwa muda mrefu.

Akizungumza kwa njia ya simu, Mtoto wa Hayati Magufuli, Jesca Magufuli amethibitisha kutokea kwa msiba huo akieleza kuwa Bibi Suzana amefariki saa 1 usiku Nyumbani kwake Chato.

“Bibi yetu (Suzana M***a) amefariki saa moja nyumbani kwake Chato baada ya kuugua kwa muda mrefu, taratibu za msiba familia itawajulisha, Bwana ametoa na Bwana ametwaa”

🗣️Jesca.

Pumzika bibi yetu

YALIYO KIKI ✍️ Kusemakweli  huyu naye nimtu na nusu Maaana ya star boy nafikili mushaanza kuielewa Swali la kizuchi  pac...
25/05/2026

YALIYO KIKI ✍️

Kusemakweli huyu naye nimtu na nusu

Maaana ya star boy nafikili mushaanza kuielewa

Swali la kizuchi pacome na star Bay niyupi atakuwa bora zaid ya mwenzie kwasiku
Zijaazo

YALIYO KIKI ✍️ Leo Wachina wame kabidhiwa majivu ya mwili wa ndugu yao baada ya Kuchomwa.Kilicho shangaza wengi ni kuona...
24/05/2026

YALIYO KIKI ✍️

Leo Wachina wame kabidhiwa majivu ya mwili wa ndugu yao baada ya Kuchomwa.

Kilicho shangaza wengi ni kuona majivu yako kwenye mfuko huo mdogo mwekundu, Sasa Wana Jiuliza mwili wote ndo utoe majivu hayo au Wana Chukua Kiasi tu?

Anyway MUNGU awatie nguvu wafiwa.

YALIYO KIKI ✍️ Pale msimbaz  kilamchezaji anajitafutia ufarume kwamba hakuna k**a yeyeIla katika ufarume huo ndoutafanya...
24/05/2026

YALIYO KIKI ✍️

Pale msimbaz kilamchezaji anajitafutia ufarume kwamba hakuna k**a yeye
Ila katika ufarume huo ndoutafanya kufikia malengo ya timu ndivo inapotakiwa
Sokuwa tegemez mtummoja iposiku akifeli natim ina feli sikuhiyoo

Unakipi cha kumshauli KBsawala Elie mpanzu kwakujituma kwake

YALIYO KIKI ✍️ Mimi ni mwanamke Umri wangu ni miaka 36 Sasa, Niko kwenye ndoa huu ni mwaka wa kumi, tuna Watoto watatu M...
21/05/2026

YALIYO KIKI ✍️

Mimi ni mwanamke Umri wangu ni miaka 36 Sasa, Niko kwenye ndoa huu ni mwaka wa kumi, tuna Watoto watatu Mimi na mume wangu.

Dada yangu, iko hivi kuanzia mwezi wa pili mwaka huu mume wangu aliacha kunigusa Wala akawa hataki kushiriki tendo la ndoa, Yani ilifikia hatua mpaka nimlazimishe ndo tuna fanya na nisipo taka Mimi yeye akawa hawezi Kunihitaji kabisa na tukawa tuna weza maliza mwezi bila kufanya kitu ambacho ni tofauti na alivyo kuwa nyuma.

Tumeendelea na hiyo hali ya Kusumbuana sana kwenye tendo ila mwisho siku juzi jumatatu aliona anifungukie kweli, aliniita akaniambia yeye Kwa Sasa hana hisia na Mimi na hawezi kuwa na hisia juu yangu tena, akaniomba nitafute mwanaume mwingine ila nisitoke hapa nyumbani niendelee kulea watoto.

Dada nililia sana, nikamwuliza nini Sababu ya yeye kukosa hisia na mimi, anacho nijibu ni kuwa hata yeye haelewi ila tu imetokea tu Hana hisia na Mimi za kufanya tendo.

Lakini kwenye masuala ya Matumizi na Huduma zote anatoa, na Kila ninacho hitaji ananipatia ila changamoto tu ndo hiyo, na Ili kunithibitishia ana maanisha kweli kahamia chumba kingine, kanunua kitanda, Tv na Kila kitu kaamua kunipisha chumbani.

Ukweli Mimi sielewi kinacho endelea Kwa mume wangu na sija mwambia mtu yeyote, naomba unipostie nipate ushauri kwenye hiki kitu nahisi kuchanganyikiwa.

Address

Kijichi
Dar Es Salaam
TZ

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Stostabrand posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share