Mnyasa Media

Mnyasa Media THIS IS THE OFFICIAL MNYASA MEDIA FACEBOOK PAGE Every One Should have Freedom of Expression
(1)

FT: Portugal🇵🇹 5-0 Uzbekistan🇺🇿Ronaldo⚽⚽Mendes⚽Nematov ⚽Rafael ⚽Hayaaa mlisema hawezi kufunga eti ni mzee haya ameshafun...
23/06/2026

FT: Portugal🇵🇹 5-0 Uzbekistan🇺🇿
Ronaldo⚽⚽
Mendes⚽
Nematov ⚽
Rafael ⚽

Hayaaa mlisema hawezi kufunga eti ni mzee haya ameshafunga sasa, G.O.A.T Vipi mnalingine la kusema? 😂😂😂

Huyu mwamba toka aanze kushiriki kombe la Dunia uaambiwa hii ni mara ya 6 anafungaa tuuu😂

Achaneni na yule mbuzi wenu wa mchongoo huyu miaka 41 bado amekuwa fire🔥🔥🔥🔥

Follow ukurasa wetu Mnyasa Media 📺🙏

GOAT🐐 Cr7 ameshaweka kambani chuma 2.Yaani ni fire🔥🔥🔥🔥 anatema motoo tuuu utadhani ana miaka 17 kumbe 41😂😂Portugal🇵🇹 3-0...
23/06/2026

GOAT🐐 Cr7 ameshaweka kambani chuma 2.
Yaani ni fire🔥🔥🔥🔥 anatema motoo tuuu utadhani ana miaka 17 kumbe 41😂😂

Portugal🇵🇹 3-0 Uzbekistan🇺🇿
Ronaldo ⚽⚽
Mendes ⚽

Follow ukurasa wetu Mnyasa Media 📺🙏
🇺🇿
🇵🇹

Tayariii GOAT🐐Cristiano Ronaldo kashaweka kambaani chuma cha kwanza. 😂😂😂Yaani Cr7 amekuwa wa Motoo Sanaa🔥🔥🔥🔥 Yaani mwamb...
23/06/2026

Tayariii GOAT🐐Cristiano Ronaldo kashaweka kambaani chuma cha kwanza. 😂😂😂

Yaani Cr7 amekuwa wa Motoo Sanaa🔥🔥🔥🔥

Yaani mwamba hazeeki hapo ana umri wa miaka 41 lakini bado anafungaa tuu😂😂😂

Mwambieni Bruno Fernandez aache Uchoyooo

Follow ukurasa wetu Mnyasa Media 📺🙏

Mashabiki wengi wa Cristiano Ronaldo wanaamini leo hii katika mchezo wa Ureno (Portugal🇵🇹) dhidi ya Uzbekistan🇺🇿 nguli h...
23/06/2026

Mashabiki wengi wa Cristiano Ronaldo wanaamini leo hii katika mchezo wa Ureno (Portugal🇵🇹) dhidi ya Uzbekistan🇺🇿 nguli huyo wa soka duniani ataanza kupachika mabao katika mchezo huo wa hatua ya makundi ya kombe la Dunia 2026.

Ronaldo anapata changamoto toka kwa wanasoka k**a Lionel Messi, Kylian Mbappe na Erling Haaland ambao wote wamepachika mabao katika michezo waliyocheza.

Messi akiwa ni kinara wa mabao mpaka sasa akiwa amefunga mabao 5 katika michezo 2 huku Erling Haaland na Kylian Mbappe wakiwa wamepachika mabao 4 katika michezo 2 waliyocheza.

Je, CR7 leo atacheka na nyavu? Bruno Fernandez atampa pass mtelezo Cr7 aanze kupachika mabao?

Follow ukurasa wetu Mnyasa Media 📺🙏

"Nataka niwape pole kwa makosa yaliyosababisha na sisi, k**a taifa tukapoteza mchezo" Koulibaly 🗣"Katika mpira wa kulipw...
23/06/2026

"Nataka niwape pole kwa makosa yaliyosababisha na sisi, k**a taifa tukapoteza mchezo" Koulibaly 🗣

"Katika mpira wa kulipwa na kimataifa huwa unaangalia details ndogo ndogo na timu itakayofanya makosa madogo ndo itashinda mchezo" ✅️

"Tunakwenda kucheza fainali yetu na Iraq na naamini tutashinda mchezo huo"👏

Koulibaly akizungumza baada ya tukio la kufanyiwa mabadiliko mwanzoni mwa kipindi cha pili
"Hakuna mchezaji mwenye nafasi ya kudumu, kocha Pape aliamua kunitoa kwasababu aliona kwa wakati ule sikuwa na msaada kwenye timu"

"Kwasasa najisikia vizuri sana niko imara japokuwa sikucheza k**a nilivyotaka lakini hiyo ni sehemu tu ya mchezo" lazima nikabiliane nalo" Koulibaly 😭💔

Mechi ya mwisho kundi I ni Sénégal vs Iraq 🇮🇶 June 25, 2026 siku ya Ijumaa 🔥🏟

Je! Senegal 🇸🇳 atashinda na kuwends 32 bora?

Follow ukurasa wetu Mnyasa Media 📺🙏

23/06/2026

Kefa Chengula🗣️ Bora tumefungwa na Azam FC kuliko kukutana na Simba hii.

Follow ukurasa wetu Mnyasa Media 📺🙏

23/06/2026

Kefa Chengula🗣️Ukijitoa Ufahamu utaikataa Simba

Follow ukurasa wetu Mnyasa Media 📺🙏

Joshua Mutale Budo aipa thank you Simba 😂👋Ameandika 👇"Sijutiii kwa vyovyote vile lakini ilikua ni furaha yangu kuicheza ...
23/06/2026

Joshua Mutale Budo aipa thank you Simba 😂👋

Ameandika 👇
"Sijutiii kwa vyovyote vile lakini ilikua ni furaha yangu kuicheza klabu bora (Simba) na ahsanteni kwa kila kila kitu, nawatakila kila la kheri huko mbeleni"

Hii ni maajabu ndo yake k**a Fabrice Ngoma 😂

NB: Usishangae akaibukia jangwani 😂😂😂 Ohooo nimeshawatonya 😁😁

Follow ukurasa wetu Mnyasa Media 📺🙏

Focus yetu kubwa katika mchezo wa kesho ni kupata alama 3K**a wachezaji tumecheza na mpinzani huyu mchezo uliopita na hi...
23/06/2026

Focus yetu kubwa katika mchezo wa kesho ni kupata alama 3
K**a wachezaji tumecheza na mpinzani huyu mchezo uliopita na hii inatupa k**a alarm kuelekea katka mchezo tunaokwenda kucheza Kesho"

"Sisi k**a wachezaji hatuna presha yoyote kwasababu tunaamini katika uwezo wetu, tunaamini ndani ya mafunzo walimu wetu wanayotupatia, kwahiyo mchezo wa kesho utakua mzuri na wa kuvutia utakaopelekea Sisi kupata alama 3"

"Sisi k**a wachezaji jukumu letu kubwa ni kuhakikisha tunapambana kupata alama 3"

Tumekua na muendelezo mzuri sana katika Ligi na tutahakikisha tunashinda mchezo wa kesho kwasababu k**a wachezaji tunatambua umuhimu wa mchezo wa kesho ukizingatia gape la alama na mpinzani wetu ni dogo" Zimbwe Jr 🗣😂

Follow ukurasa wetu Mnyasa Media 📺🙏

Unapoipongeza timu ya taifa ya Misri kupata ushindi wa bao 3-1 dhidi ya New Zealand🇳🇿 basi usiache kumpongeza mlinda mla...
23/06/2026

Unapoipongeza timu ya taifa ya Misri kupata ushindi wa bao 3-1 dhidi ya New Zealand🇳🇿 basi usiache kumpongeza mlinda mlango wa timu ya taifa ya Misri Mostafa (Mlinda mlango wa Al ahly)

Mostafa kafanya kazi sana licha ya kuruhusu bao lakini kapambana kuhakikisha timu yake inaibuka na ushindi kwa kudaka mishale ya world cup toka kwa New Zealand🇳🇿

Mostafa ndo mdaka mishale wa kweli siyo yule aliyeruhusu bao 3 toka kwa Azam FC waliopungufu.😂

Eniwei hongera sana Misri na Al ahly kwa mlinda mlango wenu aliyeiheshimisha Afrika.👍

Follow ukurasa wetu Mnyasa Media 📺🙏
🇳🇿

Address

Dar Es Salaam
Dar Es Salaam
101

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mnyasa Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Mnyasa Media:

Share