23/06/2026
FT: Portugal🇵🇹 5-0 Uzbekistan🇺🇿
Ronaldo⚽⚽
Mendes⚽
Nematov ⚽
Rafael ⚽
Hayaaa mlisema hawezi kufunga eti ni mzee haya ameshafunga sasa, G.O.A.T Vipi mnalingine la kusema? 😂😂😂
Huyu mwamba toka aanze kushiriki kombe la Dunia uaambiwa hii ni mara ya 6 anafungaa tuuu😂
Achaneni na yule mbuzi wenu wa mchongoo huyu miaka 41 bado amekuwa fire🔥🔥🔥🔥
Follow ukurasa wetu Mnyasa Media 📺🙏