
02/06/2025
SCOTT akiwa muuwaji na Mdunguaji Wa masafa marefu anaamua kuachana na kazi hiyo baada ya kumiss target na kumuuwa mtu asiye na hatia...hataki tena kupelekeshwa na maboss zake
Kiroho upande bibie TAMARA ambae ndio boss wake SCOTT anaridhia maamuzi ya kijana wake ...japo ina muuma maana si rahisi kupatikana Wa kuziba pengo lake..lakini sa atafanyaje
Hata partner na msoma ramani aliyekuwa akipiga matukio ya udunguaji na mission mbalimbali pamoja na SCOTT nae pia maamuzi ya mwamba yanamuumiza kuhisi atabaki mpweke kwa kuimiss kampan ya SCOTT
Basi SCOTT na yule partner wake Wa kazi wanakodiwa hotel moja safi ya gharama na huyo boss wao huku wakipewa starehe zote ikiwemo wanawake kwaajili ya kuenjoy nao usiku huo k**a kuwaaga rasmi kundini
Wao wakijua boss wao kawakarimu kumbe ana mpango Wa kishenzi dhidi yao...
SCOTT aliushtukia mchezo baada ya kuona mapazia yapo wazi haitoshi wahudumu wanaacha madirisha ya chumba Cha hotel waliyochukua wazi
Akiwa anahoji kulikoni ghafla risasi zikaanza kumiminwa eneo hilo walilofadhiliwa...mlengaji haijulikani anafanya yote hayo akiwa upande gani lakini ndani ya sekunde chache wahudumu na wanawake walioenda kutoa starehe walikuwa chali damu zikimwagika
Kumbe TAMARA baada ya kupokea taarifa za SCOTT kuasi kundi hakuridhia na kuamua kumpoteza kwa kutafuta Wadunguani wengine mahiri kumkomoa kwamba tumepata zaidi yenu
Shida ni namna ya kujikomboa kutoka hotelin hapo maana tayali Partner wake nae ameshatwanga risasi anaugulia..
Hata alipojaribu kuwasiliana na boss wake kuomba back up ndio akachoka kabisa baada ya boss wao kuthibitisha kwamba yote hayo anafanya yeye na kuwaambia hawatoki hapo wakiwa salama
Kwahiyo hapo nguvu na akili zao ndio zitakazowakomboa... Mzigo tayali tunao Whatsapp 0742932384 bei sh 1000 iliyo tafsiriwa pia ipo..link ya kutupata Whatsapp ipo sehemu ya coment..