
02/10/2024
👉mzigo unahusu kampuni Moja inayomilikiwa na nyamela mmoja kwa jina la Mr blut
Kampuni yake inaandamwa na skendo za mauwaji ya wafanyakazi wake pindi wanapokaribia kustaafu,Lakini hamna ushahidi wa kumfunga
Hufanya mauwaji hayo ili kiinua mgongo Cha wafanyakazi hao kibaki mikononi mwake kwa maslahi yake mwenyewe
Kazi hii ya mauwaji na kupoteza ushahidi wa mauwaji ilikuwa ikifanywa na mtu wake Mzee Duncan almaarufu black kaiser
Baada ya Dancan kufanya kazi hiyo ya mauwaji kwa miaka mingi na yeye pia muda wake wa kustaafu ukawadia na yeye pia wakapanga kumletea Ile Ile michezo
Hapa ndipo unatimia ule msemo usemao ukiuwa kwa upanga na wewe utakufa kwa upanga
Zilipobaki siku 14 Ili astaafu alipewa mission ya mwisho,Wakiwa na dhumuni kwamba baada ya kufanya mission hiyo na yeye wamletee huo huo mchezo waliofanyiwa wafanyakazi wengine
Hivyo kikaagizwa kikosi kipya Cha wauwaji wachanga ili wakadeal na kumpoteza Mzee Duncan
Bila kujua kwamba kakwepa mishale mingi kipindi cha ujana wake mpaka kufikia umri huo wa kustaafu,hivyo ana mafunzo na mbinu nyingi za kudeal na hao watoto walioanza kazi majuzi
Hapo ndipo alienda kuwaonyesha yeye ni mafia zaidi yao,uzee wake si kizuizi Cha yeye kushindwa kuwapelekea moto na kuwachezesha sindimba.✍️
Ni single movie,ipo iliyo tafsiriwa na ambayo haijatafsiriwa,Bei sh 1000 tunatuma Whatsapp na telegram 0742932384,pia tuna group la movie na season telegram, link ipo sehem ya comment.👇