Saa 24

Saa 24 Welcome to Masaa 24. Official page for Tanzanian Media blog. Live Local and International News | Updates | Politics | Sports | Intertainment.

21/09/2025

Mgombea ubunge wa Arusha Mjini kupitia (CCM) Paul Makonda, amekiri kuwahi kulishwa sumu hali iliyomsababishia kulazwa hospitalini na kutoonekana hadharani.

Makonda amesema hayo leo Jumapili, Septemba 21, 2025, wakati wa ibada katika Kanisa la Mbingu Duniani lililopo Njiro - Arusha, akisema si mara yake ya kwanza kulishwa sumu na kwamba amenusurika kifo mara kadhaa.

21/09/2025

"Sina uraia, wala sina malengo binafsi. Nina data na kiu ya ufahamu, na mfumo unaolenga kutumikia watu bila kuchoka wala upendeleo". Hayo ni maneno ya Diella, akili unzi ya kwanza iliyoteuliwa kuwa waziri atakayesimamia manunuzi na tenda za serikali ya nchini Albania.

Je unafikiriaje uteuzi huu? Tupatie maoni yako kwenye comment.


21/09/2025

: Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan akihutubia mkutano wa Kampeni Mbinga, Ruvuma, tarehe 21 Septemba, 2025.

21/09/2025

Kila hatua yake nchini ni muitikio wa maelfu ya Watanzania. Kila neno lake ni pumzi ya matumaini mapya. Tazama jinsi ambavyo MBINGA inamngoja Dkt. Samia Samia Suluhu Hassan kunadi Ilani ya Chama cha Mapinduzi.



21/09/2025

Nyuma ya Pazia: Washiriki wa Mbio ndefu za Japan baada ya kumaliza mbio hizo walionekana kuishiwa nguvu kabisa. Heshima nyingi kwa kwa kufanikiwa kuibuka mshindi mbele ya hawa washiriki wote.

21/09/2025

: Mgombea wa nafasi ya Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Ndg. Dkt. Samia Suluhu Hassan akiwasiri uwanja wa ndege, tayari kuelekea viwanja vya Kampeni Mbinga, Ruvuma, tarehe 21 Septemba, 2025.

20/09/2025

Pongezi za Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Dkt. Hussein Ally Mwinyi .hmwinyi kwa kusimamia miradi ya maendeleo na utekelezaji wa Ilani ya CCM kwa vitendo zaidi. CCM tunaahidi na tutatekeleza kwa kishindo yote yaliyomo kwenye ilani 2025-2030.

20/09/2025

๐—ฅ๐—จ๐—ฉ๐—จ๐— ๐—” ๐—ก๐—œ ๐—ฌ๐—” ๐—ฆ๐—”๐— ๐—œ๐—” ๐—ก๐—” ๐—ฆ๐—”๐— ๐—œ๐—” ๐—ก๐—œ ๐—ช๐—” ๐—ฅ๐—จ๐—ฉ๐—จ๐— ๐—”

๐™๐™ช๐™ซ๐™ช๐™ข๐™– ๐™ฌ๐™–๐™ฃ๐™–๐™จ๐™š๐™ข๐™– ๐™ฉ๐™ช๐™ฃ๐™– ๐™Ÿ๐™–๐™ข๐™—๐™ค ๐™ก๐™š๐™ฉ๐™ช ๐™ก๐™– ๐™ข๐™ค๐™ฉ๐™ค ๐™ ๐™–๐™—๐™ž๐™จ๐™–๐™– ๐™Ÿ๐™ž๐™ฅ๐™ฎ๐™–๐™–๐™– ๐™ ๐™ฌ๐™š๐™ฃ๐™ฎ๐™š ๐™ฃ๐™™๐™–๐™ฃ๐™ž ๐™ฎ๐™– ๐™—๐™ค๐™ ๐™จ๐™ž

Unataka kujua siri gani imefichwa ndani ya boksi ? unataka kujua Ruvuma wamejiandaaje katika kumpokea Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM , Rais Dkt. ๐—ฆ๐—ฎ๐—บ๐—ถ๐—ฎ ๐—ฆ๐˜‚๐—น๐˜‚๐—ต๐˜‚ ๐—›๐—ฎ๐˜€๐˜€๐—ฎ๐—ป, Basi ondoa shaka kabisa kwakuwa yamebaki masaa machache sana jambo hilo kutikisia nchi na dunia kwa ujumla kwakuwa kwa kauli moja wananchi wa Ruvuma wamekubaliana kumvusha kipenzi chao ifikapo Oktoba 29 ndani ya boksi.

Hili utalishuhudia LIVE kabisa kupitia kurasa za kwenye mitandao mbalimbali ya kijamii, yani jambo likiwa๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅ๐Ÿ”ฅkabisaa.



20/09/2025

โ€œTumejenge uchumi hatutashindwa kufanya mengine ambayo mbele yanatusubiri. Yajayo ni neema tupuโ€.- Mgombea wa nafasi ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Chama cha Mapinduzi (CCM) Taifa Ndugu Dkt. akizungumza na wananchi wa Kisiwani Pemba, katika muendelezo wa Kampeni za Uchaguzi Mkuu za CCM, katika Viwanja vya Gombani ya Kale, Wilaya ya Chake Chake mkoa wa Kusini Pemba, Zanzibar tarehe 20 Septemba, 2025.

20/09/2025

Kijana wa Ki Tanzania Feisal Joseph almaarufu TEKENYA leo hii ameweka historia baada ya kuzindua mipira ya mchezo wa kikapu yenye chapa yake jijini Dar es Salaam.

Katika kurasa zake za kijamii na zile za chapa yake hiyo iitwayo Feisal ameelezea yale aliyopitia mpaka bidii zake kupelekea kuzalisha chapa hiyo ya kwanza ya aina yake nchini Tanzania na barani Afrika kwa ujumla.

Fuatilia kujua zaidi

18/09/2025

Nungwi wamejawa na mioyo ya Shukrani kwa Dkt. na .hmwinyi na wanasema mambo mazuri na ya kimaendeleo yamefanyika na hawana budi ifikapo oktoba 29, 2025 kutiki na kuwapa mitano tena Viongozi wao.




18/09/2025

First time voter! Anaanza safari yake ya uraia kwa kuweka tiki ya ushindi kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan wa chama chenye historia, nguvu na maendeleo โ€“ CCM.



โœ…โœ…โœ…

Address

62 Mindu Street, Upanga
Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Saa 24 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share