JEEY ONCE AGAIN

JEEY ONCE AGAIN I'm

Mabao 899 pasi za mwisho 405 na Fainali moja ya Kombe la Dunia mwaka 2014 pale Brazil na Kombe moja la Dunia pale Qatar ...
09/03/2026

Mabao 899 pasi za mwisho 405 na Fainali moja ya Kombe la Dunia mwaka 2014 pale Brazil na Kombe moja la Dunia pale Qatar 2022!

Kwenye mikono yake amebeba Ballon d’Or 8 na Rekodi ya kufunga mabao 92 ndani ya mwaka mmoja wa 2012.

Mfungaji bora wa muda wote wa Barcelona, Mfungaji bora wa muda wote wa Argentina.

Barcelona mabao 672
Argentina mabao 115.

05/03/2026

True love🤲🤲

Sasisho: Simba dhidi ya Sowah 🇹🇿🇬🇭Simba wamemwomba Sowah ajibu ndani ya siku tatu zijazo huku kusimamishwa kwake na kuto...
05/03/2026

Sasisho: Simba dhidi ya Sowah 🇹🇿🇬🇭

Simba wamemwomba Sowah ajibu ndani ya siku tatu zijazo huku kusimamishwa kwake na kutokuwepo kwake kwenye timu kukiwa kunaendelea.

Klabu inataka maelezo kuhusu yafuatayo:

• Kuchelewa kwenye mikutano kadhaa ya timu
• Kukataa kufanya mazoezi ya kuongeza nyongeza
• Kufika kuchelewa kwa mazoezi
• Kusafiri kwenda Angola akiwa amevaa jezi ya SL Benfica badala ya kuvaa rasmi klabuni
• Kufanya faulo za makusudi ambazo zinaweza kusababisha kadi nyekundu, ikiwa ni pamoja na katika mechi dhidi ya Azam FC na Espérance Sportive de Tunis


𝐌𝐉𝐎𝐌𝐁𝐀 Kwanza Chama wala hakwenda Gongowazini, Na hata k**a alienda sisi tumeshasahauUtulivu na umiliki wa mchezo kwa Si...
05/03/2026

𝐌𝐉𝐎𝐌𝐁𝐀

Kwanza Chama wala hakwenda Gongowazini, Na hata k**a alienda sisi tumeshasahau

Utulivu na umiliki wa mchezo kwa Simba kwa sasa unadhaminiwa kwa kiasi kikubwa sana na Mjomba

Kocha Barker ameshawaambia watu huko kambini ni bora amtoe Kipa atadaka hata beki ila sio amtoe Chama au Ouradinho uwanjani😀👊

⚽ MAMBO 10 NILIYOYAONA KWEMYE DERBY YA LEO1️⃣ Mechi boraaaa! Mbinu kibao… ila Simba waliwin sehemu kubwa k**a wamekodi u...
01/03/2026

⚽ MAMBO 10 NILIYOYAONA KWEMYE DERBY YA LEO

1️⃣ Mechi boraaaa! Mbinu kibao… ila Simba waliwin sehemu kubwa k**a wamekodi uwanja 🦁😂

2️⃣ Loemba asijaribiwe tena striker! Hiyo kazi si yake, bora apewe jezi ya mlinzi wa lango 🤣

3️⃣ Aura ni mtu wa bori,

4️⃣ Simba imeimalika, sasa hivi wanatembea kifua mbele k**a mabosi wa derby 😎🔥

5️⃣ Yanga wanamtegemea Pacome peke yake, akinyamaza timu nzima kimyaaa! Okelo tayari anatafuta ramani ya kurudi kwao 😂

6️⃣ Mwalimu kafunga, refa kaweka silent mode 🤐🤣

7️⃣ Kibabage ulipigaje hapo? Damaro ana nguvu za bondia sio mchezaji 🥊😭

8️⃣ Ile tobo ya Kapombe… Huseni alibaki anaangalia k**a ameona movie 🤣🎬

9️⃣ Kwa hawa marefa Simba tutakaa hata miaka 1000 bila kushinda kwa Yanga 😭

🔟 Libassa Guaye ...... Utauwa bameki wewe siyo kwa uwezo huo

01/03/2026

Office🤔

Wachezaji wa Simba SC, Libasse Gueye na Golikipa Mahmadou Djibrill Kassali wote waliutumia Uwanja wa New Amaan Complex Z...
28/02/2026

Wachezaji wa Simba SC, Libasse Gueye na Golikipa Mahmadou Djibrill Kassali wote waliutumia Uwanja wa New Amaan Complex Zanzibar kwenye michezo ya hatua ya makundi michuano ya CHAN ambapo Niger na Senegal walikua kundi moja

Wakati huo beki Ismael Toure alicheza Uwanjani hapo wakati Simba ilipoikaribisha Stellenbosch msimu uliopita kwenye Nusu fainali ya kombe la shirikisho CAF

Wachezaji wageni wa Simba SC ambao wataenda kucheza New Aman Complex kwa mara kwanza ni Ino Jospin Loemba na Anicet Oura
@anicetoura

Mungu nikumbushe wema wako
26/02/2026

Mungu nikumbushe wema wako

Footballú🔥🤔🤔
26/02/2026

Footballú🔥🤔🤔

Kante.  🙏🔥🔥
26/02/2026

Kante. 🙏🔥🔥

🚨KOCHA STEVE BARKER: "TUMEJIPANGA KUTIMIZA MALENGO YETU!" 🗣️🦁​Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, ameweka wazi msimamo...
24/02/2026

🚨KOCHA STEVE BARKER: "TUMEJIPANGA KUTIMIZA MALENGO YETU!" 🗣️🦁
​Kocha Mkuu wa Simba SC, Steve Barker, ameweka wazi msimamo wake kuelekea mchezo wa Ligi Kuu ya NBC dhidi ya Dodoma Jiji FC.

Akizungumzia maandalizi ya kikosi chake, Barker amesisitiza kuwa nidhamu ya mbinu ndiyo itakayowapa alama tatu muhimu kesho Jumatano:

"Nafahamu tunakwenda kukutana na mchezo mgumu ila tumejipanga kucheza katika mpango wetu ili kuwa bora zaidi ya mpinzani na kutimiza malengo yetu ya kupata ushindi katika mechi hii."

Hii ni kauli ya kijasiri kutoka kwa Barker, ikionyesha kuwa benchi la ufundi limefanya kazi kubwa ya kuwaandaa wachezaji kisaikolojia na kimbinu ili kuendeleza wimbi la ushindi.

Mamadou Lamine Camara ndio mchezaji ghali zaidi barani Afrika , Lamine amejiunga na Al Ahli Tripoli na kwa mwaka atakuwa...
24/02/2026

Mamadou Lamine Camara ndio mchezaji ghali zaidi barani Afrika , Lamine amejiunga na Al Ahli Tripoli na kwa mwaka atakuwa anaingiza kiasi cha Doller 1.2M .

Lamine anapokea pesa ambayo kuna baadhi ya wachezaji barani Ulaya wanapokea 🙌 Fundi anavuna pesa pale Libya 🇱🇾 .

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JEEY ONCE AGAIN posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share