14/06/2026
Mtandao wa Facebook umethibitisha kuwa Rasmi umeanza Utaratibu wa Kuondoa/Kusitisha kwa Muda Programu za Kulipwa (Content Monetisation, Stars, Creator Storefront) kwa Kurasa zote zitakazo jaribu kupost Maudhui ya Aina moja kwa zaidi ya Mara moja katika nyakati tofauti ili kujipatia Mapato zaidi (Revenue), Ushawishi (Engagements) na Watazamaji (Views).
Meta Imesema kuwa Baadhi ya Kurasa zimekuwa zikijaribu kujipatia kipato zaidi kwa maudhui ya kujirudia ambapo ni kinyume na Partner Monetisation Policies, Meta imesisitiza Content Creators kushare maudhui ya aina moja mara moja.
Aidha, Meta imethibitisha kuwa Baadhi ya Programu zake hazitopatikana Nchini Tanzania kutokana na sheria za Nchi na Makubaliano ya Serikali.