Mbagala Online TV

Mbagala Online TV PATA TAARIFA MATUKIO NA HABARI ZA UWAKIKA KUTOKA PANDE ZOTE ZA DUNIA

KUKUHABARISHA
YETU SOTE

NYOTA wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz sambamba na Dystinct wa Morocco anayejulikana kwa miondoko ya R&B, Afro...
15/12/2024

NYOTA wa muziki wa Bongo Fleva, Diamond Platnumz sambamba na Dystinct wa Morocco anayejulikana kwa miondoko ya R&B, Afrobeat na muziki wa Kiarabu, ni miongoni mwa wasanii watakao tumbuiza katika tuzo za CAF za 2024.

Makocha na wachezaji waliofanya vyema msimu uliopita wanatarajiwa kutangazwa na kukabidhiwa tuzo za mwaka 2024 katika hafla itakayofanyika kesho Jumatatu pale Palais des Congrès, mjini Marrakech, Morocco kuanzia saa 3:00 usiku kwa ukanda wa Afrika Mashariki.

Taasisi ya  tarehe 14 December 2024 imefanya party ya kufunga mwaka  2024 ambapo ilifanyika Mikocheni - Utamu Beach ⛱️ u...
15/12/2024

Taasisi ya tarehe 14 December 2024 imefanya party ya kufunga mwaka 2024 ambapo ilifanyika Mikocheni - Utamu Beach ⛱️ uliowakutanisha vijana mbalimbali kusherehekea

Nisajile Foundation ni taasisi isiyo ya kiserikali iliyozinduliwa rasmi tarehe 8 Julai 2022 na , ambaye ni mkurugenzi. Taasisi hii imejitolea kuleta mabadiliko chanya katika jamii ya Tanzania kwa kushughulikia masuala muhimu k**a elimu, mazingira, na kusaidia watoto yatima na vijana.

Matukio ya picha katika mahafali ya Kangomba Education center yaliofanyika tar 14 Dec 2024
14/12/2024

Matukio ya picha katika mahafali ya Kangomba Education center yaliofanyika tar 14 Dec 2024

Klabu ya Young Africans Sc imemtambulisha aliyekuwa beki wa pembeni wa Simba Sc Israel Patrick Mwenda k**a mchezaji mpya...
11/12/2024

Klabu ya Young Africans Sc imemtambulisha aliyekuwa beki wa pembeni wa Simba Sc Israel Patrick Mwenda k**a mchezaji mpya klabuni hapo akitokea Singida Black Stars yenye maskani yake CCM Liti, Singida.

Mwenda ambaye anachezea nafasi ya beki wa kulia pia anamudu kucheza k**a beki wa kushoto anatarajiwa kuja kutibu matatizo yote kwenye nafasi ya beki wa kulia na kushoto na anakuja kuwa changamoto Kouassi Attohoula Yao, Shadrack Boka, Nickson Kibabage na Kibwana Shomari ambao wameonekana kuandamwa na majeraha sambamba na viwango kushuka.

Klabu ya Coastal Union imeachana na mlinda mlango wake Ley Matampi raia wa DRC kwa makubaliano ya pande zote mbiliMkongw...
10/12/2024

Klabu ya Coastal Union imeachana na mlinda mlango wake Ley Matampi raia wa DRC kwa makubaliano ya pande zote mbili

Mkongwe huyo aliyebeba tuzo ya kipa bora wa msimu 2023-2024 akimpita Diarra wa Yanga SC , alianza katika mechi 7 za Coastal Union msimu huu ikiwemo ya kimataifa 0-0 vs FC Bravos huku mechi yake ya mwisho kuanza ilikuwa ile ya 2-2 dhidi ya Simba SC

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), Dkt. Suleiman Mahmoud Jabil ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa K**a...
09/12/2024

Rais wa Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF), Dkt. Suleiman Mahmoud Jabil ambaye pia ni Makamu Mwenyekiti wa K**ati ya Kombe la Mapinduzi 2025 amesema kuwa michuano ya Kombe la Mapinduzi kwa 2025 itashirikisha timu za Taifa na sio vilabu K**a ilivyozoeleka.

Timu zitakazoshiriki ni Mwenyeji Zanzibar Heroes, mwenyeji pacha Kilimanjaro Stars, Kenya (Harambee Stars), Uganda (The Cranes), Burundi na Burkina Faso.

Akizungumza na waandishi wa habari leo Desemba 9, 2024 visiwani Zanzibar Dkt. Jabil amesema kuwa michuano hiyo itachezwa kwa mtindo wa makundi, nusu fainali na fainali na Bingwa atapata kitita cha Tsh. Milioni 100 na mechi zote zitapigwa katika uwanja wa Gombani Pemba

Ngoma Bado mbichi, Azam FC wapanda kileleni msimamo wa ligi kuu Tanzania bara kuthibitisha hiloumepokeaje msimamo huu?
01/12/2024

Ngoma Bado mbichi, Azam FC wapanda kileleni msimamo wa ligi kuu Tanzania bara kuthibitisha hilo
umepokeaje msimamo huu?

Hatimaye Azam FC wanaongoza ligi kuu Tanzania bara baada ya kunyakua alama tatu kwa kuifunga Dodoma jiji FC 3 - 1 uwanja...
01/12/2024

Hatimaye Azam FC wanaongoza ligi kuu Tanzania bara baada ya kunyakua alama tatu kwa kuifunga Dodoma jiji FC 3 - 1 uwanja wa jamuhuri Dodoma

Azam FC wanaongoza msimamo wa ligi kwa alama 30

Dodoma jiji FC 1 - 3 Azam FC

Msimamo wa ligi kuu Tanzania bara nne bora baada ya mechi ya leo  Unashabikia timu namba ngapi hapa?
30/11/2024

Msimamo wa ligi kuu Tanzania bara nne bora baada ya mechi ya leo

Unashabikia timu namba ngapi hapa?

Address

Mbagala Kilungule
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Mbagala Online TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category