Steam Media

Steam Media Hapa ni uwanja huru wa kuongea michezo kwa soka la Tanzania na kimataifa kiweledi kabisa karibisha mwanamichezo tuongee michezo.🔥🔥

26/05/2026

Mpira wa namba kuna muda unakera ila ndiyo hivyo tukubaliane kwa data 🤣🤣🤣

23/05/2026

Kocha wa Singida hakumtendea haki Metacha!

23/05/2026

Amri Kiemba atoa ya moyoni sakata la Metacha anakwambia hata yeye asingetoka!

22/05/2026

Yanga wakipunguza PRESHA upande wao ubingwa ni k**a kumsukuma mlevi!

22/05/2026

Meena Ally suala la goli la Chama ujio wa Rio Ferdinand siyo mahala pake!

22/05/2026

Wizara ifanye juu chini Afcon hii kila sekta isafiri nayo ikiwemo eneo la Sanaa!

21/05/2026

Meena Ally alikuwa mbinafsi hakuwaza kuhusu Tanzania!

21/05/2026

Simba mshindwe nyie tu fursa ya kukaa kileleni hiyo hapo!

20/05/2026

Acheni propaganda Yanga bingwa

20/05/2026

Mzee wa Yanga anaitamani Simba awaomba coastal wasiwafunge!

19/05/2026

Steven Mapunda amjibu Salum Mnolela kwa data.👇👇

Mchambuzi unatumia kigezo gani kuishusha Young African sc dhidi ya Simba SC Tanzania hata k**a unatamani kuona Simba akiwa mbabe kwa Yanga hupaswi kuona kwa hisia kubwa k**a hivyo kuliko uhalisia. Haya tulia nikueleze kwa utuo Yanga na Simba hadi sasa kwa msimu huu wamekutana mara 4 ya kwanza ni ngao ya jamii yanga akamfunga Simba na kutwaa Ngao ufunguzi wa ligi, ya pili ligi kuu kule Zanzibar droo, ya tatu Muungano Simba kashinda ya nne ligi Meja ISAMUYO SARE kwahiyo wamekutana mara nne kila mmoja kashinda mara moja unasema Simba bora kuliko Yanga unaangalia nini.

Ukisema timu inayoongoza ligi ni Yanga, timu yenye magoli mengi ya kufunga ni Yanga,timu iliyofungwa goli chache ni Yanga, timu iliyo na clean sheets nyingi ni Yanga. Timu iliyo na wachezaji wengi kwenye mbio za kiatu ni Yanga. Timu inayoongoza ligi ni Yanga.

Bro tuongee mpira tuache matamanio.

Address

Kimara Stop Ova
Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Steam Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share