23/05/2026
-Mudathir Yahya Abbas hakuanza msimu vizuri ila kwa sasa ni miongoni mwa wachezaji wanaofanya vizuri kwenye ligi yetu.
Mudathir Yahya kutoka kwenye eneo la kiungo amefunga mabao 8 na anakuwa mchezaji wa pili mzawa kutoka kwenye eneo hilo mwenye mabao mengi msimu huu.
Huyu ni moja kati ya wachezaji wachache sana waliodumu kwenye viwango vyao kwa muda mrefu...