Sospeter Ilagila7

Sospeter Ilagila7 Back up account

-Mudathir Yahya Abbas hakuanza msimu vizuri ila kwa sasa ni miongoni mwa wachezaji wanaofanya vizuri kwenye ligi yetu. M...
23/05/2026

-Mudathir Yahya Abbas hakuanza msimu vizuri ila kwa sasa ni miongoni mwa wachezaji wanaofanya vizuri kwenye ligi yetu.

Mudathir Yahya kutoka kwenye eneo la kiungo amefunga mabao 8 na anakuwa mchezaji wa pili mzawa kutoka kwenye eneo hilo mwenye mabao mengi msimu huu.

Huyu ni moja kati ya wachezaji wachache sana waliodumu kwenye viwango vyao kwa muda mrefu...

-Huyu anajua Mpira...
22/05/2026

-Huyu anajua Mpira...

-Kukosekana kwa Foden, Trent na Palmer kunaweza kuwazuia England kutwaa World Cup?
22/05/2026

-Kukosekana kwa Foden, Trent na Palmer kunaweza kuwazuia England kutwaa World Cup?

HUU UHAKIKA 🔥🔥Code 👉  YJ9RZKampuni 👉  WEKAWIN """"""""""""""""  bonyeza 👉 https://bit.ly/3RsezzLKisha Chagua 'One Click'...
22/05/2026

HUU UHAKIKA 🔥🔥
Code 👉 YJ9RZ
Kampuni 👉 WEKAWIN

""""""""""""""""
bonyeza 👉 https://bit.ly/3RsezzL
Kisha Chagua 'One Click'
Sehemu ya kuweka Promo Code andika WIN77
Chagua Bonus unayoitaka
Weka vema ✅️ kwenye kisanduku kukubali sera
Mwisho bonyeza REGISTER/ KUJISAJILI

Jiunge kwenye group letu kwa maelekezo zaidi.
https://chat.whatsapp.com/DBhRO1kqCe911kSZ6J4mKw?mode=gi_t

  KUWA: Singida Black Stars wana kikosi kizuri sana...Wana wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kucheza na kupata matokeo mec...
22/05/2026

KUWA: Singida Black Stars wana kikosi kizuri sana...Wana wachezaji wenye uwezo mkubwa wa kucheza na kupata matokeo mechi yoyote...Lamine Jarjou, Ibrahim Imoro, Mossi Nduwumwe na wengine ni quality ambazo zinaipa Singida Black Stars nafasi ya kupata matokeo kwenye mechi yoyote!

: Yanga wanataka kurudi kileleni...Sitoshangaa kikosi kikibadilishwa au wachezaji kushindwa kutoa 'A game' yao!

Amini nawaambia...Leo Singida Black Stars anakufa chuma kuanzia 3.

✍️Sospeter Ilagila

-Leo kuanzia Goals mpaka assists ni usajili wa dirisha dogo la mwezi January...Chama, Oura na Libasse 🔥Chama ametoa assi...
21/05/2026

-Leo kuanzia Goals mpaka assists ni usajili wa dirisha dogo la mwezi January...Chama, Oura na Libasse 🔥

Chama ametoa assist 2 kwenye ushindi wa mabao 2-1 dhidi ya Coastal Union...

Kumfananisha Chama na Okello ni kuukosea mpira...

Chama anakuwa mchezaji wa kwanza Duniani kutwaa Tuzo 5 za MoTM mfululizo...Haijawahi kutokea kwenye ligi yoyote Duniani.

✍️Sospeter Ilagila

-Aliyesajili dirisha dogo akisajili tena dirisha lijalo Simba itarejesha ufalme wake...2-1
21/05/2026

-Aliyesajili dirisha dogo akisajili tena dirisha lijalo Simba itarejesha ufalme wake...

2-1

-Mkwakwani - Tanga
21/05/2026

-Mkwakwani - Tanga

21/05/2026

Ukiweka tu matumaini...Wanakuumiza 🙌

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sospeter Ilagila7 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share