Diramakini 24

  • Home
  • Diramakini 24

Diramakini 24 Play role in shaping the global agenda through telling true stories by delivering quick and in-depth

Usikose kusoma 'Toleo Maalum la Sabasaba-'REA SABASABA SPECIAL' ili kuongeza uelewa wa miradi mbalimbali inayotekelezwa ...
12/07/2025

Usikose kusoma 'Toleo Maalum la Sabasaba-'REA SABASABA SPECIAL' ili kuongeza uelewa wa miradi mbalimbali inayotekelezwa na REA sambamba na kujionea yaliyojiri katika Banda la REA.

Furahia wikiendi yako ukijisomea toleo maalum la REA


Wanafunzi waendelea kuchota maarifa kwa wataalamu wa BoT maonesho ya SabasabaDAR-Shule zilizoshiriki katika ziara hiyo n...
12/07/2025

Wanafunzi waendelea kuchota maarifa kwa wataalamu wa BoT maonesho ya Sabasaba

DAR-Shule zilizoshiriki katika ziara hiyo ni Shule ya Sekondari Wailes, Shule ya Sekondari Mwinyi, Shule ya Msingi Upendo, na Shule ya Msingi Kibamba ‘B’.

Kupitia ziara hiyo, wanafunzi walipata fursa ya kujifunza kuhusu majukumu mbalimbali ya Benki Kuu ya Tanzania, yakiwemo utekelezaji wa sera ya fedha, usimamizi wa sekta ya fedha, pamoja na usimamizi wa mifumo ya malipo ya Taifa| https://www.diramakini.co.tz/2025/07/wanafunzi-waendelea-kuchota-maarifa-kwa.html

Shilingi bilioni 5.7 kukamilisha ujenzi shule mbili Siha mkoani KilimanjaroKILIMANJARO-Kati ya fedha hizo jumla ya shili...
12/07/2025

Shilingi bilioni 5.7 kukamilisha ujenzi shule mbili Siha mkoani Kilimanjaro

KILIMANJARO-Kati ya fedha hizo jumla ya shilingi Milioni 352.509 zimetumika kukamilisha ujenzi wa miundombinu ikiwemo ujenzi wa vyumba 12 vya madarasa, Ofisi 3 za walimu na matundu 3 ya vyoo vya walimu, Shilingi milioni 65.2 zimetumika kukamilisha ujenzi wa nyumba 1 ya mwalimu ya vyumba vitatu.

Aidha, shilingi milioni 61.370 zikiwa zimetumika kukamilisha ujenzi wa nyumba ya afya (Sick Bay), Shilingi milioni 194.067 zimetumika kukamilisha ujenzi wa jengo la utawala sambamba na shilingi Milioni 104.640 zikitumika kukamilisha ujenzi wa nyumba ya mwalimu ya moja kwa mbili (2 in 1).

Shilingi Milioni 225.069 zimetumika kukamilisha ujenzi wa vyumba 4 vya maabara ya Fizikia, Baiolojia, Kemia na Jiografia.

Shilingi milioni 50.871 zimetumika kukamilisha ujenzi wa matundu 16 ya vyoo sambamba na shilingi Bilioni 1.101 zikitumika kukamilisha ujenzi wa mabweni 8, Shilingi Bilioni 1.092 zimetumika kwa ajili ya ujenzi wa
https://www.diramakini.co.tz/2025/07/shilingi-bilioni-57-kukamilisha-ujenzi.html?m=1

TAARIFA KUTOKA BODI YA LIGI KUU TANZANIA.
11/07/2025

TAARIFA KUTOKA BODI YA LIGI KUU TANZANIA.

Tanzania ilivyojidhatiti mapambano dhidi ya rushwaDODOMA-Serikali imesema kuwa, marekebisho ya sheria yaliyofanyika hivi...
11/07/2025

Tanzania ilivyojidhatiti mapambano dhidi ya rushwa

DODOMA-Serikali imesema kuwa, marekebisho ya sheria yaliyofanyika hivi karibuni yameongeza nguvu zaidi kwa kutambua makosa ya rushwa yanayofanyika katika maeneo mbalimbali ikiwemo upande wa burudani, michezo,chaguzi na mengineyo.

Hayo yamebainishwa leo Julai 11,2025 jijini Dodoma na Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mheshimiwa George Simbachawene wakati akifungua Kongamano la Maadhimisho ya Siku ya Mapambano Dhidi ya Rushwa barani Afrika.

Amesema, kupitia Sheria ya Kupambana na Rushwa Na. 11 ya mwaka 2007, Taasisi ya Kuzuia na Kupambaba na Rushwa Tanzania (TAKUKURU) imepewa mamlaka ya kuhakikisha kuwa rushwa inatokomezwa nchini.

Vilevile amesema,Serikali imeendelea kuipatia TAKUKURU rasilimali fedha, kibali cha kuajiri watumishi wapya na vitendea kazi na samani za ofisi ili kuongeza ufanisi wake wa kazi | https://www.diramakini.co.tz/2025/07/tanzania-yatembea-kifua-mbele-mapambano.html

TEA iko tayari kutekeleza miradi ya mafunzo ya amali-Dkt.Akwilapo “Sisi k**a Mamlaka ya Elimu Tanzania tumepewa fedha za...
11/07/2025

TEA iko tayari kutekeleza miradi ya mafunzo ya amali-Dkt.Akwilapo

“Sisi k**a Mamlaka ya Elimu Tanzania tumepewa fedha za kutosha kwa ajili ya kutekeleza miradi ya miundombinu ya mafunzo ya amali katika shule zilizoteuliwa kutoa mafunzo hayo."

Dkt. Akwilapo alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza mara baada ya kutembelea banda la TEA katika Maonyesho ya 49 ya Biashara ya Kimataifa ya Saba Saba, yanayofanyika jijini Dar es Salaam| https://www.diramakini.co.tz/2025/07/tea-iko-tayari-kutekeleza-miradi-ya.html

DCEA yabaini maiti,vitabu kutumika kusafirisha dawa za kulevya,maelfu ya tani yak**atwaDAR-Pia,Kamishna Jenerali Lyimo a...
09/07/2025

DCEA yabaini maiti,vitabu kutumika kusafirisha dawa za kulevya,maelfu ya tani yak**atwa

DAR-Pia,Kamishna Jenerali Lyimo amesema,katika operesheni iliyofanyika bandari kavu eneo la Temeke jijini Dar es Salaam, kilogramu 11,031.42 za dawa zaç kulevya aina ya Mitragyna speciosa zilizoingizwa nchini kutokea nchini Sri Lanka zilik**atwa zikiwa kwenye vifungashio vyenye chapa inayoonesha kuwa ndani yake kuna mbolea.

Mitragyna speciosa iko katika kundi la dawa mpya za kulevya zinazotokana na mimea inayofahamika kwa jina la "Kratom" mmea huu unakemikali aina ya Mitragynine na 7-Hydroxymitragynine (7-HMG) ambayo inasifa ya vichangamshi (stimulants) na vipumbaza (depresants) vyenye madhara ya kiafya kwa mtumiaji kwani huathiri mfumo wa fahamu na kusababisha uraibu hata kupelekea | https://www.diramakini.co.tz/2025/07/dcea-yabaini-maitivitabu-kutumika.html

Rais Dkt.Mwinyi afungua Maonesho ya Sabasaba,abainisha dhamira ya SerikaliDAR-Katika hatua nyingine, Rais Dkt. Mwinyi am...
07/07/2025

Rais Dkt.Mwinyi afungua Maonesho ya Sabasaba,abainisha dhamira ya Serikali

DAR-Katika hatua nyingine, Rais Dkt. Mwinyi amezitaka Wizara ya Viwanda na Biashara pamoja na TanTrade kuhakikisha kuwa elimu kuhusu Nembo Maalum ya Taifa kwa bidhaa na huduma za Tanzania (MADE IN TANZANIA) inawafikia wazalishaji na wananchi ili kuchochea uzalendo wa kibiashara.

Amesema uzinduzi rasmi wa nembo hiyo unalenga kuongeza thamani na kutambulisha ubora wa bidhaa za nchi katika soko la kimataifa https://www.diramakini.co.tz/2025/07/rais-dktmwinyi-afungua-maonesho-ya.html

Minister Silaa represents Tanzania at WSIS+20 ForumGENEVA-The summit is focused on reviewing the progress and challenges...
07/07/2025

Minister Silaa represents Tanzania at WSIS+20 Forum

GENEVA-The summit is focused on reviewing the progress and challenges from 20 years of implementing the global information society agenda.

Hon. Silaa led the Tanzanian delegation and attended the summit on behalf of the President of the United Republic of Tanzania, H.E. Dr Samia Suluhu Hassan https://www.diramakini.co.tz/2025/07/minister-silaa-represents-tanzania-at.html

Orodha ya awali ya waomba uongozi wa Chama cha Wachezaji wa Mpira wa Miguu Tanzania (SPATA).
06/07/2025

Orodha ya awali ya waomba uongozi wa Chama cha Wachezaji wa Mpira wa Miguu Tanzania (SPATA).

Viongozi mbalimbali wa wadini na serikali wakati wa Hafla ya Ufunguzi wa Kanisa Arise and Shine ambapo Mgeni rasmi aliku...
05/07/2025

Viongozi mbalimbali wa wadini na serikali wakati wa Hafla ya Ufunguzi wa Kanisa Arise and Shine ambapo Mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan, Kawe jijini Dar es salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa k**a ishara ya kuweka ji...
05/07/2025

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akisogeza kitambaa k**a ishara ya kuweka jiwe la msingi na kukata utepe Ufunguzi wa Kanisa la Arise and Shine, Kawe Jijini Dar es salaam.

Address


Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Diramakini 24 posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Diramakini 24:

Shortcuts

  • Address
  • Telephone
  • Alerts
  • Contact The Business
  • Claim ownership or report listing
  • Want your business to be the top-listed Media Company?

Share