Katawa TV

Katawa TV African's Digital Tv for real entertainment|sports|lifestyle|interviews|social affairs & info.

  kila ifikapo siku k**a ya leo Ya Tarehe Tano mwezi huu wa Tano duniani inasimama kwa ajili ya wafalme wa Tatu na kushe...
04/05/2025

kila ifikapo siku k**a ya leo Ya Tarehe Tano mwezi huu wa Tano duniani inasimama kwa ajili ya wafalme wa Tatu na kusheherekea siku zao za mfanano.

Wafalme hao ni msanii maarufu miondoko Ya Rnb wa nchini marekani kushoto na kulia ni msanii wa kizazi kipya wa nchini DRC CONGO na anayesifika kwa miondoko ya na katikati Yao yuko kijana wa kitanzania naye hitimisha mapacha watatu hao ni kijana aliyewekeza akili zake kwenye maono yake Bwana .

| & ndio mapacha watatu wanaosherekea siku mfanano wa kuzaliwa pamoja na kila mmoja anatimiza umri wake tangu kuzaliwa kwake kila mwaka ifikapo siku hii.

Taja Sifa Za ||katawa Au watu waliozaliwa mwezi Wa Tano?
✍️:



  Yule kijana mdogo  mwenye ndoto kubwa Na muhimu katika tasnia  Ya habari|Burudani Na upande wa uwekezaji na leo ndio s...
04/05/2025

Yule kijana mdogo mwenye ndoto kubwa Na muhimu katika tasnia Ya habari|Burudani Na upande wa uwekezaji na leo ndio siku yake kubwa katika maisha yake.

Leo ni siku muhimu kwetu wanakatawa tukijumuika kwa pamoja kwenye siku ya mfanano ya kuzaliwa ya muanzilishi Na mkurugenzi mtendaji wa Na muasisi mwenza wa chapa Ya .

|wanakatawa|familia|marafiki|ndugu na wanafamilia wote wa chapa Ya Katawa Tunathamini kila dakika Ya maisha yake|Tunamtakia baraka na mafanikio Zaidi kwenye maisha yake .



JUHUDI|NIDHAMU NA BIDII NDIO SIRI YA  TIMU YETU YA  KATAWA TV NA TUNACHUKUA  NAFASI HII KUWATAKIA HERI YA SIKU YA WAFANY...
01/05/2025

JUHUDI|NIDHAMU NA BIDII NDIO SIRI YA TIMU YETU YA KATAWA TV NA TUNACHUKUA NAFASI HII KUWATAKIA HERI YA SIKU YA WAFANYAKAZI DUNIANI KUTOKA KWETU.



Uongozi na wafanyakazi wa  Katawa Tv Tunawatakia heri ya siku kumbukizi ya mapinduzi ya zanzibar kwa wanachi wote wa zan...
12/01/2025

Uongozi na wafanyakazi wa Katawa Tv Tunawatakia heri ya siku kumbukizi ya mapinduzi ya zanzibar kwa wanachi wote wa zanzibar kutoka kwenye familia ya wanakatawa kwenda kwako.



Asanteni sana wanakatawa kwa upendo na imani yenu kuanzia siku ya kwanza mpaka siku ya leo.Siku ya leo tunasheherekea us...
02/09/2024

Asanteni sana wanakatawa kwa upendo na imani yenu kuanzia siku ya kwanza mpaka siku ya leo.

Siku ya leo tunasheherekea ushindi huu pamoja k**a familia ya Burudani,elimu na msaada mkubwa kwa jamii na sisi k**a wanakatawa kila siku tutasimama k**a familia kwa kauli ya BURUDANI YA KWELI.

ASANTE SANA NA MAJIRANI WEMA MNAKARIBISHWA KWENYE FAMILIA BORA❤️🙏



   Timu ya soka ya  inayoshiriki ligi kuu ya hispania maarufu laliga imeendeleza ubabe kwa mpinzani wake .Msimu wa 2023/...
05/05/2024

Timu ya soka ya inayoshiriki ligi kuu ya hispania maarufu laliga imeendeleza ubabe kwa mpinzani wake .

Msimu wa 2023/24 wa laliga ukiwa uko mwishoni na kipengele cha nani bingwa kimeisha baada ya timu ya real Madrid kuchukua ubingwa na kuwaacha wapinzani wake wakigombani nafasi ya pili na tatu.

Je timu za hispania na ligi yao imeshuka thamani au tatizo liko wapi mpaka kupoteza hamasa?

Sponsored by &



  kwa niaba ya uongozi, menejimenti na wafanyakazi wa KATAWA TV tunatoa pole wafiwa na tasnia ya nzima Burudani kwa kump...
05/05/2024

kwa niaba ya uongozi, menejimenti na wafanyakazi wa KATAWA TV tunatoa pole wafiwa na tasnia ya nzima Burudani kwa kumpoteza mwamba Ndugu Khalifan khalmandro mwaandaji wa video za muziki aliyefariki siku ya leo 5 /5/2024 kwenye hospitali ya muhimbili alikokuwa akifanyiwa matibabu mapak umauti ulipo mkuta.

Enzi za uhai wake ameshiriki kwenye kazi hizi za Sanaa kwa ukubwa katika kuikuza tasnia ya nuziki wa Tanzania na baadhi ya kazi alizowahi kufanya pamoja na "bishoo" ya , ya na na "aah wapi?".

Director Khalifan ameecha mke ambaye ni mjamzito na mtoto wa miaka mitano na amepumzishwa kwenye byumba yake ya milele hii leo.
Mungu ailaze rogo ya marehemu mahali pema peponi Amina.

Sponsored by &

✍️:



  siku ya jana tulichapisha picha na maneno haya kwa kuwaambia "kaeni kwa kutulia na muonyeshe heshima  ?" Na kuwaacha n...
05/05/2024

siku ya jana tulichapisha picha na maneno haya kwa kuwaambia "kaeni kwa kutulia na muonyeshe heshima ?" Na kuwaacha njia panda.

Leo siku ya muhimu ya kiongozi wetu mkubwa anasheherekea siku ya mfanano wa kuzaliwa na amesema awezi sheherekea kinyonge na anarudi k**a mzazi kweli.

Tuamini sisi amerudi na mwanafamilia mpya ndani ya familia yake ya KATAWA TV na sasa tutaburudika na kufurahia maisha naye💙.

Sisi ni KATAWA TV ni PEPSI na PEPSI ni KATAWA TV ni rasmi sasa tumekuwa wanafamilia kati ya 🤝.

✍️:



  ligi za mpira wa miguu zik8wa ziko ukingoni duniani kote na kila ligi zikitoa mabingwa na Timu zinazo shaka daraja .Ti...
05/05/2024

ligi za mpira wa miguu zik8wa ziko ukingoni duniani kote na kila ligi zikitoa mabingwa na Timu zinazo shaka daraja .

Timu ya inayoshiriki ligi kuu ya nchini india imetawazwa kuwa mabingwa wa ligi hiyo msimu wa 2023/2024.

Timu hiyo inayomilikiwa na bilionea wa india na duniani kwa ujumla Mukesh Ambani na bilionea huyo akuishia hapo pia anamiliki timu ya kliketi ya inayoshiriki ligi kubwa ya kliketi ya nchini india .

✍️:



  siku ya leo wanakatawa tukiwa tunasheherekea na kumtakia heri siku ya mfanano wa kuzaliwa mkurugenzi wetu Bwana  na pi...
05/05/2024

siku ya leo wanakatawa tukiwa tunasheherekea na kumtakia heri siku ya mfanano wa kuzaliwa mkurugenzi wetu Bwana na pia leo wanazaliwa watu wengi sana na kati ya hao ni mastaa wa muziki duniani na Afrika.

Msanii wa miondoko wa Rnb na msanii wa afro Congo wa nchini Drc Congo Naye anasheherekea sikh yake muhimu leo na kila mtu akitimiza miaka yaoe ya kuishi.

Kwa pamoja k**a Tuwapongeze na kutakia heri ya siku yao yakuzaliwa.

✍️:



  Kila familia ina mtu wake mwenye maono na Dira na sisi lama familia ya Katawa TV Tunaye mtu mwenye maono na Dira.Tunay...
05/05/2024

Kila familia ina mtu wake mwenye maono na Dira na sisi lama familia ya Katawa TV Tunaye mtu mwenye maono na Dira.

Tunayo furaha kusheherekea na kumtakia siku njema na nzuri kwenye siku yake ya mfanano wa kuzaliwa muasisi,muanzilishi na mkurugenzi mtendaji wetu Bwana

Maono,jitihada, uvumilivu na upendo wake ndio zimetufikisha hapa na hapa na leo kurasa yake ya 24 ya maisha yale kwetu ni k**a kipande cha dhahabu.
Tunakuombea maisha mema,marefu yenye afya na baraka kedekede kwenye maisha yako na tuzidi kufurahia kurasa nyengine za maisha yako.❤️🤴🙏

✍️:-



Mjini ya mjini wanasema namba azidanganyi na sisi wanakatawa tunatia  wino mzito kwenye maneno hayo.Siku ya leo tukiwa t...
05/05/2024

Mjini ya mjini wanasema namba azidanganyi na sisi wanakatawa tunatia wino mzito kwenye maneno hayo.

Siku ya leo tukiwa tunasheherekea siku ya mfanano wa kuzaliwa wa muasisi na mkurugenzi wetu Bwana na akitimiza miaka 24 ya upendo,uthubutu na uongozi Na sisi k**a Taasisi tunajipongeza kwa kufanikisha namba hii ya watu elfu moja kwenye mtandao wa Instagram.

Mtandao wa Instagram unakuwa mtandao wa pili kwa kutimiza idadi ya wafuasi 1000 na zaidi na sasa mtandao huu wa unazaidi ya wafuasi 1000 na watembeleaji 100 kwa siku na pongezi zetu ni kwako mwanafamilia(mwanakatawa),uongozi, menejimenti,wafanyakazi na kampteni wetu wa jahazi Bwana kwa maono na mwanzo bora wa familia hii ya Burudani ya Kweli



Address

Dar Es Sallam
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Katawa TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Katawa TV:

Share

Category