Dost Media Tz

Dost Media Tz We aim to tell a story that matters

01/06/2026

Naibu Msajili wa Vyama vya Siasa nchini, Bwana Sisty Nyahoza, leo Juni 1, 2026, amefanya ziara ya katika Makao Makuu ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) yaliyopo Edwin Mtei House, Mikocheni jijini Dar es Salaam.

Katika ziara hiyo, Bwana Nyahoza akiwa na ujumbe alioambatana nao, amepokelewa na kufanya kikao cha ndani na viongozi wakuu wa chama hicho wakiongozwa na Katibu Mkuu, John Mnyika.
____
Fuatilia  kwenye YouTube Channel   na tembelea website www.dostmedia.co.tz kwa Habari, Makala, Michezo, Burudani, Uchambuzi na Mahojiano.

 

Eid Al-Adha Mubarak! Uongozi na Wafanyakazi wa  tunawatakia Waislamu wote duniani sikukuu yenye amani, upendo na baraka ...
27/05/2026

Eid Al-Adha Mubarak! Uongozi na Wafanyakazi wa tunawatakia Waislamu wote duniani sikukuu yenye amani, upendo na baraka tele.

Tunakushukuru kwa kuendelea kuwa nasi. Eid Mubarak kwako na kwa familia yako! 🕋✨
_______
Fuatilia  kwenye YouTube Channel   na tembelea website www.dostmedia.co.tz kwa Habari, Makala, Michezo, Burudani, Uchambuzi na Mahojiano.

 dosthabari

24/05/2026

Mchezaji wa yanga Clement Mzize atangaza kurejea iringa kwenda kusaidia jamii yake.


23/05/2026

Harmonize afanya balaa zito Mwenge DSM 🙌🙌🙌



22/05/2026

Shabiki wa yanga haikataa Singida "sisi na wao sio ndugu"


22/05/2026

Shabiki wa Simba anasema kuwa katika mchezo wa Leo Singida BS ambaye amefungwa bao tatu kwa alikuwa bora kuliko yanga 😁😁.


22/05/2026
22/05/2026

Doctor Mo anasema kuwa wao k**a Simba SC wamefurahi kukaa kileleni kwa muda mchache.


22/05/2026

Mzee msumi wa yanga anasema kuwa katika vibonde wa ligi hii basi Simba SC ni vibonde wao na wanawataka kucheza nao hata kesho.


22/05/2026

Shabiki wa Simba Doctor Mo amesema kuwa bao alilofungwa golikipa wa Singida BS mke wake hata akiwa mjamzito hawezi kufungwa.


Address

Mbezi Beach
Dar Es Salaam
255

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dost Media Tz posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share