Ngebe Media

Ngebe Media SPORTS •|• ENTERTAINMENT •|• NEWS •|• COMEDY •|• MOVIES

  ;Klabu ya Wydad Casablanca imethibitisha kumsajili kiungomshambuliaji, Stephanie Aziz Ki kwa mkataba wa miaka miwili a...
24/05/2025

;
Klabu ya Wydad Casablanca imethibitisha kumsajili kiungo
mshambuliaji, Stephanie Aziz Ki kwa mkataba wa miaka miwili akitokea Young Africans ya Tanzania akiungana na wachezaji wengine waliosajiliwa na klabu hiyo k**a Nordin Amrabat na Hamza Hanouri.

Katika hatua nyingine Young Africans Sc imethibitisha kuwa nyota huyo raia wa Burkina Faso kuondoka klabuni hapo baada ya kutoa 'Thank You' kwa kinara huyo wa magoli kwenye Ligi Kuu bara msimu uliopita.

👍

 PICHA MBALIMBALI ZA MZEE WA AFANDE (.paten) PAMOJA NA VIONGOZI WA  KATIKA UZINDUZI WA KIJANI FIRST TIME VOTERS DODOMAMa...
24/05/2025


PICHA MBALIMBALI ZA MZEE WA AFANDE (.paten) PAMOJA NA VIONGOZI WA KATIKA UZINDUZI WA KIJANI FIRST TIME VOTERS DODOMA

Matembezi haya ya Kijani First Time Voters ya Kilometa 5 yaliyoandaliwa na Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) yanalenga kuwaunganisha Vijana ambao ni mara ya kwanza kupiga kura mwaka huu 2025.

Vijana Tunaenda kuandika Historia 2025 kuongoza kura za kishindo kwa Dkt. Samia Suluhu Hassan na Dkt. Hussein Ali Mwinyi.

👍

24/05/2025

?

Tunaangamia kwa kukosa maarifa 😭😭😭

👍

  ;Kiungo wa Yanga Sc, Stepane Aziz Ki amejumuishwa kwenye kikosicha taifa ya Burkina Faso kilichoitwa na kocha mkuu Bra...
22/05/2025

;
Kiungo wa Yanga Sc, Stepane Aziz Ki amejumuishwa kwenye kikosi
cha taifa ya Burkina Faso kilichoitwa na kocha mkuu Brama Traore kitakachoingia kambini kujiandaa na mechi za kuwania kufuzu kombe la dunia dhidi ya Tunisia na Zimbabwe zitakazopigwa mwezi Juni, 2025.

Ingawa nyota huyo wa zamani wa Asec Mimosas yupo ukingoni kutuma Wydad AC ya Morocco bado uhamisho huo haujakamilika na hakuna klabu iliyotangaza kumuuza au kumsajili lakini chama cha soka cha Burkina Faso 'FBF' kinamtambua kinara huyo wa magoli kwenye Ligi Kuu bara msimu uliopita k**a mchezaji wa klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco na si Yanga SC.

👍

  ; TAARIFA KWA UMMASWIPE LEFT ▶️
21/05/2025

;
TAARIFA KWA UMMA

SWIPE LEFT ▶️

21/05/2025


🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣

👍

 Kikosi cha  kimeanza safari kuelekea Zanzibarkwa ajili ya maandalizi ya Fainali ya kombe la shirikisho inayo tarajiwa k...
21/05/2025


Kikosi cha kimeanza safari kuelekea Zanzibar
kwa ajili ya maandalizi ya Fainali ya kombe la shirikisho inayo tarajiwa kuchezwa kwenye Dimba la new Aman Stadium Zanzibar Jumapili ya Mei 25,2025.

👍

21/05/2025

;
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🐈👈👈

👍

20/05/2025

;
Ishia Leo kusema umeona kila kitu asee😃😃😃😃😃 Kwa namna yoyote injili lazima isonge mbele👉👉👉👉👉👉👉✝️

👍

  ;Winga wa Yanga, Ikanga, ameibua gumzo baada ya kuomba rasmikupewa jezi namba 10 itakayokuwa wazi kufuatia kuondoka kw...
20/05/2025

;
Winga wa Yanga, Ikanga, ameibua gumzo baada ya kuomba rasmi
kupewa jezi namba 10 itakayokuwa wazi kufuatia kuondoka kwa nyota wa kati Stephane Aziz ki, anayetarajiwa kutimkia klabu ya Wydad Casablanca ya Morocco.

Ikanga, ambaye amekuwa kwenye kiwango cha kusuasua msimu huu, anaamini kuwa jezi hiyo ya namba 10 ina "baraka maalum" na ndio chachu ya mafanikio yake uwanjani. "Jezi ya namba 10 siyo tu namba, ni sehemu ya utambulisho wangu k**a

mchezaji. Naamini ninaweza kuendeleza heshima ya namba hii k**a Aziz Ki alivyofanya," alisema Ikanga. Uongozi wa Yanga bado haujatoa tamko rasmi kuhusu ombi la Ikanga, lakini tayari mashabiki wa klabu hiyo wameanza kujadili kwa hisia tofauti kuhusu nani anayestahili kuvaa jezi hiyo msimu ujao.
:
Endapo ataipata, itakuwa ni nafasi ya kipekee kwa Ikanga kuthibitisha ubora wake au Wanayanga mnasemaje?

👍

19/05/2025

;
Staa wa muziki wa bongo fleva nchini Harmonize ameshare na mashabiki zake ujio wa wimbo mpya ampapo amesikika akiimba baadhi ya misitari katika wimbo huo.

Harmonize bado anazidi kukata kiu ya mashabiki zake kila kukicha huku akisikika katika midundo mbalimbali Hajataka tupumzike ni mdundo juu ya mdundo

👍

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Ngebe Media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share