VEMA TV

VEMA TV � Bringing Stories to Life
� Connecting Communities
� Culture • Innovation • Progress

Msanii  ametoa Ep yake mpya leo ambapo ndani yake amewashilikisha .paten na
22/08/2025

Msanii ametoa Ep yake mpya leo ambapo ndani yake amewashilikisha .paten na

Staa wa muziki wa Singeli kutoka Tanzania, **, amewaomba Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuongeza baadhi ya vipengele ...
22/08/2025

Staa wa muziki wa Singeli kutoka Tanzania, **, amewaomba Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuongeza baadhi ya vipengele katika Tuzo za Muziki wa Singeli zinazotolewa kila mwaka.

Kupitia ukurasa wake wa Instagram, D Voice aliandika ujumbe huu 👇

*"Kutokana na ukuaji wa muziki wa Singeli tunaomba tuzo ziongezwe, ambazo ni:*

1. Muandishi Bora wa Singeli
2. Msanii Mpya Bora wa Singeli
3. Wimbo Bora wa Ushirikiano (Collabo) wa Singeli
4. Video Bora ya Singeli ya Mwaka
5. Tuzo ya Heshima kwa Muanzilishi wa Singeli – ambayo lazima apewe Legend Msagasumu.”

"Leo, tarehe 22 Agosti 2025, ni siku maalum kwa familia ya Diamond Platnumz na WCB Wasafi. Binti yao mpendwa, Princess L...
22/08/2025

"Leo, tarehe 22 Agosti 2025, ni siku maalum kwa familia ya Diamond Platnumz na WCB Wasafi. Binti yao mpendwa, Princess Latiffah 'Tiffah' Dangote, ametimiza umri wa miaka 10.

Mitandao ya kijamii inashuhudia pongezi na salamu za furaha, ikiwa ni pamoja na ujumbe mzuri uliyoandikwa kwenye Threads: “Happy birthday first born wa Diamond Platnumz, princess tiffah enjoy your day uncle…”.

Tunamtakia heri kubwa kwa Tiffah katika hatua yake mpya ya maisha miaka ya kumi! Family, marafiki, na mashabiki wote wanampongeza na kumtakia mafanikio, furaha, na baraka tele."
🍓

Kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Star wa BongoFlavour   ame-share Habari njema na Kuandika:*“I’ve got some good news m...
20/08/2025

Kupitia Ukurasa wake wa Instagram, Star wa BongoFlavour ame-share Habari njema na Kuandika:

*“I’ve got some good news my people!!!”*

Maono na jitihada ya brand yetu ya African Boy, hatimaye imetufikisha pakubwa leo kwa uwezo wa Mwenyezi Mungu, mchakato wa kuwa na kiwanda chetu cha nguo za African Boy kwa hapa Tanzania umeanza rasmi. 🙏🏾

Naishukuru sana Serikali yetu ya awamu ya sita chini ya Rais wetu *Dr. * kwa support na maono makubwa, pamoja na mkurugenzi wa mamlaka ya uwekezaji *()* , Bw. Gilead Teri kwa mchango wake. Hii ni hatua ya kuthibitisha kuwa vijana wa Kitanzania tunaweza kuwekeza, kuunga na kuamini katika nchi yetu.

Safari bado inaendelea, na huu ni mwanzo tu wa kitu kikubwa zaidi. 🚀🇹🇿

Mwijaku ameandika kwenye page yake akidai kuwa kuna kamchezo kamechezwa kati ya  na  akisema kuwa alimtuma amshambulie  ...
17/08/2025

Mwijaku ameandika kwenye page yake akidai kuwa kuna kamchezo kamechezwa kati ya na akisema kuwa alimtuma amshambulie huku akisema kuwa ushahidi anao k**a akibisha atauweka hadharani.

Je vipi mtazamo wako kuhusu hili, unadhani nikweli kuwa alitumwa? Tuandikie kwenye comment 👇👇

Kufuatia kauli ya  kuhusu kukaa mbali na , aandika kuomba radhi kuwa yeye hana agenda yoyote na     #
17/08/2025

Kufuatia kauli ya kuhusu kukaa mbali na , aandika kuomba radhi kuwa yeye hana agenda yoyote na

#

Msanii wa muziki wa Bongo flavour  atoa angalizo la kukaa mbali na  kufuatia kauli zake za wimbo wa  , huku akidai kiwa ...
17/08/2025

Msanii wa muziki wa Bongo flavour atoa angalizo la kukaa mbali na kufuatia kauli zake za wimbo wa , huku akidai kiwa yawezekana wakawa na agenda zao na wanatumia kivuli chake.

 aandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kufuatia sakata la  na  kuhusu nyimbo ya  .
17/08/2025

aandika kwenye ukurasa wake wa Instagram kufuatia sakata la na kuhusu nyimbo ya .

Baada ya Harmonize kuchapisha picha zake mpya k**a sehemu ya promosheni ya wimbo wake mpya “LALA”, mashabiki hawajakaa k...
14/08/2025

Baada ya Harmonize kuchapisha picha zake mpya k**a sehemu ya promosheni ya wimbo wake mpya “LALA”, mashabiki hawajakaa kimya. Wengi wamedai kuna muonekano unaofanana sana na wa Diamond Platnumz – hasa lens za macho.

Wapo wanaosema ni "inspiration", lakini wengine wanadai ni copy. Je, wewe unaonaje?


Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahak**a ya Hakimu Mkazi Kisutu, Franco Kiswaga, ameahirisha hadi Agosti 18, 2025, kesi ya uhaini i...
13/08/2025

Hakimu Mkazi Mkuu wa Mahak**a ya Hakimu Mkazi Kisutu, Franco Kiswaga, ameahirisha hadi Agosti 18, 2025, kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, ili kutoa amri kuhusu ombi na pingamizi la urushaji wa moja kwa moja wa mwenendo wa shauri hilo.

Uamuzi huo umefuata baada ya upande wa Jamhuri kuomba kesi hiyo isirushwe mubashara kwa lengo la kulinda utambulisho wa mashahidi raia, ombi ambalo limepingwa na upande wa utetezi.

Hakimu Kiswaga amesema mawasilisho ya pande zote mbili hayatohitaji muda wa kutosha kwa maandalizi ya hukumu, bali yatahitaji amri ndogo (orders) zinazohusu utaratibu wa shauri. Amefafanua kuwa maagizo ya Mahak**a Kuu kuhusu ulinzi wa mashahidi hayawahusu mashahidi wote, bali wale raia wa kawaida wanaopaswa kulindwa.

Address

Mbezi Beach
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when VEMA TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category