VEMA TV

VEMA TV � Bringing Stories to Life
� Connecting Communities
� Culture • Innovation • Progress

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai, ame fariki dunia leo Agosti 6, 2025 akiwa ...
06/08/2025

Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania na Mbunge wa Kongwa, Job Yustino Ndugai, ame fariki dunia leo Agosti 6, 2025 akiwa anapatiwa matibabu hospitalini baada ya kuugua ghafla.

Marehemu Ndugai alizaliwa Januari 22, 1960 na alihudumu k**a Spika wa Bunge kuanzia Novemba 17, 2015 hadi alipojiuzulu Januari 6, 2022. Baada ya kujiuzulu, aliendelea kuwa Mbunge wa Kongwa, nafasi aliyohudumu akitimikia hadi mauti ilipomkuta.

Mwaka huu, Ndugai alishiriki katika kura za maoni za ubunge na kuibuka mshindi kwa kupata kura 5,690, akiendeleza kutetea nafasi yake ya ubunge kwa kipindi kingine.

06/08/2025
Habarii za kurasa za mbele za magazeti zilizojiri leo Juma pili tarehe 08, August.
03/08/2025

Habarii za kurasa za mbele za magazeti zilizojiri leo Juma pili tarehe 08, August.

Address

Mbezi Beach
Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when VEMA TV posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share

Category