Wodi Ya Michezo

Wodi Ya Michezo Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from Wodi Ya Michezo, Digital creator, Dar es Salaam.

Wodi Ya Michezo ni ukurasa WA Michezo hususani mpira wa miguu,utakaokuletea taarifa mbalimbali kuhusu Michezo kwa wakati huo , ungana nasi kwa taarifa mbali mbali za Michezo Tanzania, Afrika na Duniani kote kwa ujumla, matusi dhihaka , kejeli haziruhisiwi

Kikosi Cha Simba SC kitakachomenyana na Nsingizini hotspur ya Eswatini..Mechi ni saa 10 jioni Kwa saa za Afrika Masharik...
26/10/2025

Kikosi Cha Simba SC kitakachomenyana na Nsingizini hotspur ya Eswatini..
Mechi ni saa 10 jioni Kwa saa za Afrika Mashariki..

𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 : CAF Champions League (AGG 2-1)YOUNG AFRICANS SC 🇹🇿 2️⃣➖️0️⃣ SILVER STRIKERS 🇲🇼⚽️ 06" Job⚽️ 33" Pacome
25/10/2025

𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 : CAF Champions League (AGG 2-1)

YOUNG AFRICANS SC 🇹🇿 2️⃣➖️0️⃣ SILVER STRIKERS 🇲🇼
⚽️ 06" Job
⚽️ 33" Pacome

Kikosi Cha Young Africans kitakachomenyana na Silver Strikers katika mchezo wa mkondo wa pili Ligi ya Mabingwa barani Af...
25/10/2025

Kikosi Cha Young Africans kitakachomenyana na Silver Strikers katika mchezo wa mkondo wa pili Ligi ya Mabingwa barani Afrika...mechi ni saa 11 jioni Kwa Saa za Afrika Mashariki...

Fermin Lopez amechaguliwa kuwa mchezaji Bora wa wiki wa Champions League,.Fermin Lopez alifunga hat trick katika mchezo ...
23/10/2025

Fermin Lopez amechaguliwa kuwa mchezaji Bora wa wiki wa Champions League,.
Fermin Lopez alifunga hat trick katika mchezo dhidi ya Olympiacos walioibuka na ushindi wa bao 6-1..

22/10/2025
Wanaowania tuzo ya mchezaji Bora wa Afrika, Fiston mayele wa Congo Dr anawakilisha Afrika Mashariki..
22/10/2025

Wanaowania tuzo ya mchezaji Bora wa Afrika, Fiston mayele wa Congo Dr anawakilisha Afrika Mashariki..

Wanaowania tuzo ya klabu Bora ya soka barani Afrika, Tanzania tunawakilishwa na Simba SC 🇹🇿
22/10/2025

Wanaowania tuzo ya klabu Bora ya soka barani Afrika, Tanzania tunawakilishwa na Simba SC 🇹🇿

Klabu ya OLYMPIQUE Club de Marseille imeistaafisha rasmi jezi no . 30 iliyokuwa ikivaliwa na Golikipa wake Steve Mandand...
22/10/2025

Klabu ya OLYMPIQUE Club de Marseille imeistaafisha rasmi jezi no . 30 iliyokuwa ikivaliwa na Golikipa wake Steve Mandanda..Mandanda aliwatumikia Marseille k**a kipa wao chaguo la kwanza ..
Kwaheri Legend ...

Wanaowania tuzo ya mchezaji Bora wa Afrika Kwa wanaocheza Ligi za ndani ya Afrika..Tanzania tunawakilishwa na captain wa...
22/10/2025

Wanaowania tuzo ya mchezaji Bora wa Afrika Kwa wanaocheza Ligi za ndani ya Afrika..
Tanzania tunawakilishwa na captain wa Simba SC Shomari Kapombe..🇹🇿

Hakim Ziyech amerudi nyumbani na safari hii atajiunga na Wydad ac ..
22/10/2025

Hakim Ziyech amerudi nyumbani na safari hii atajiunga na Wydad ac ..

🚩 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 : UEFA Champions League BARCELONA 🇪🇸  6️⃣➖️1️⃣ OLYMPIACOS 🇬🇷 ⚽️ 07" Lopez                        ⚽️ 54" El K...
21/10/2025

🚩 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 : UEFA Champions League

BARCELONA 🇪🇸 6️⃣➖️1️⃣ OLYMPIACOS 🇬🇷
⚽️ 07" Lopez ⚽️ 54" El Kaabi (p)
⚽️ 39" Lopez 🟥 57" Hezze
⚽️ 68" Yamal (p)
⚽️ 74" Rashford
⚽️ 76" Lopez
⚽️ 79" Rashford

🔻

🚩 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 : Premier League 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿LIVERPOOL FC 1️⃣➖️2️⃣ MANCHESTER UNITED ⚽️ 78" Gakpo                       ⚽️ 01" Mb...
19/10/2025

🚩 𝐅𝐔𝐋𝐋 𝐓𝐈𝐌𝐄 : Premier League 🏴󠁧󠁢󠁥󠁮󠁧󠁿

LIVERPOOL FC 1️⃣➖️2️⃣ MANCHESTER UNITED
⚽️ 78" Gakpo ⚽️ 01" Mbeumo
⚽️ 84" Maguire

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Wodi Ya Michezo posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share