Aq Online Tv

Aq Online Tv Tufuate kwaajili ya kupata chakula cha imani yako.

09/10/2025

Visa vya kujiua sababu ya mapenzi vimekuwa vingi katika siku za hivi karibuni. Kwanini ujiue sababu ya mapenzi?

Tazama Full video kupitia YouTube channel yetu ya AQ ONLINE TV

07/10/2025

Simba ifungwe, Yanga ifungwe, Manchester ifungwe, Arsenal ifungwe, Liverpool ifungwe lakini isiwe sababu ya mtu kuyaondoa maisha yake.

06/10/2025

Vazi hili halina mtawala wala mtawaliwa, sote tutalivaa la rangi moja..

Vazi hili halishonwi kwa cherehani wala kwa mitindo, mshono wake ni mmoja na inashonwa kwa u*i wa mkono..

Vazi hili halichagui tajiri wala mtu dhalili, sote tutalivaa kwa hadhi sawa..

Je, unalijua vazi hili??

04/10/2025

Mwenyekiti wa Taasisi ya Alwadoud, Sheikh Abdul Qader Al Jahdhamy ameahidi kwa Samwel (Said) ambae ameingia katika uislamu siku ya jana baada ya kusilimishwa na Sheikh Nurdin Kishki , k**a atahitaji kuoa basi atamlipia mahari na kumnunulia furniture zote za ndani na atagharamia gharama ya harusi, kadhalika ameahidi ikiwa atakwenda kusoma, basi atakuwa akipokea kiasi cha Laki 3 kila mwisho wa mwezi mpaka mwisho wa masomo yake.

04/10/2025

Samwel (Said) baada ya kuslimu siku ya jana, alivyoslimishwa na Sheikh Nurdin Kishki, alipewa nafasi ya kujieleza kidogo. Moja ya sababu ambayo ilimpelekea yeye kuslimu ni Mawaidha aliyokuwa akiyaskiliza ya Sheikh Nurdin Kishki. Lakini, kitu kikubwa ambacho kilimpelekea hadi kudondosha machozi, baada ya kuslimu aliomba nafasi ya kwenda kuisoma dini ili aweze kuujua kiundani Uislamu. Na aliomba asisome hapa hapa Tanzania, aliomba akasomee nje ambapo Sheikh Nurdin Kishki amempatia nafasi ya kwenda kusoma Kenya, Mombasa.

Kila la Kheri bwana Said katika safari yako mpya ya kimaisha ndani ya dini ya Uislamu.

04/10/2025

Kwanini hauswali? Sababu gani inayokufanya ujitenge mbali na swala.

Subhanallah! mtazame huyu mzee, mtazame tena. Umeiona hali yake? Unahisi ni kwanini hajiweki mbali na swala licha ya hali yake inayoonesha kuwa ni dhoofu wa afya mpaka amewekewa mtungi wa gas? Una sababu gani hasa inayokufanya uisahau kabisa swala katika maisha yako yote ewe jamaa yangu? 😭😭😭😭.. Allahu Akbar! Kwanini unajiweka mbali na anaeturuzuku pumzi ambazo ndizo zinatupa ujeuri wa kuendelea kufanya yale tunayofanya?

03/10/2025

Mmasai huyu amesilimu leo baada ya swala ya Ijumaa, akisilimishwa na Dai' wa kimataifa, Sheikh Nurdeen Kishki. Katika mambo ambayo yalimvutia kuingia katika uislamu, ni kufanyiwa mambo mema na waislamu. Hilo likamvutia kuwa muislamu.

Tazama Full video kwenye YouTube channel yetu ya AQ ONLINE TV

03/10/2025

Katika Ijumaa ya Leo, Allah atutaqabalie maombi yetu sote, atuondoshee shida na dhiki, atuepushe na mitihani midogo na mikubwa .. Aaamiin 🤲🤲🤲

29/09/2025

Leteni kitabu ambacho kinasema Atakaetoa roho ya mtu mmoja ni sawa na aliyetoa roho za watu wote ukiiondoa Qur'aan ambayo imebainisha hivyo.

Tazama Full video kupitia YouTube channel yetu ya AQ ONLINE TV.

29/09/2025

Unatafuta ladha halisi ya nyumbani? 🍲
Karibu Nainai Food Point, tunakuletea chakula kitamu chenye viungo safi na mapishi ya kitaalamu 🔥. Huduma zetu ni bora, bei ni nafuu, na tupo jirani yako tu!

📍Tupo Ilala Amana, Karibu kabisa na Hospital ya Rufaa ya Amana
☎️ Weka Oda yako sasa kupitia: 0740 664 950

29/09/2025

Je, umeshawahi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa neema hizi? au tunazisahau umuhimu wake?

28/09/2025

Unapopata mitihani, kimbilio lako la kwanza ni wapi? Nini hufikiria kwanza?

Address

Dar Es Salaam

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Aq Online Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Aq Online Tv:

Share

Category