06/07/2025
Usibebe maumivu, mateso au fadhaa, mtwike Yesu Kristo nawe ataiona amani.
Mfuatilie Mtumishi wa Mungu Mch.Aimana Dominick ufahamu jinsi Mungu alivyo na uwezo wa kushughulika na vyote vinavyokutatiza.
N*B: Kutakuwa na Mkesha wa kushughulikia fadhaa zote zinakukabili siku ya Ijumaa kuanzia Saa Nne Usiku Kanisa la Efatha Mwenge.
Karibu sana!! Njoo ukutane na uponyaji wako!!
---------------------------------