Marco Tibasima

Marco Tibasima Award-winning Cartoonist | Illustrator | Graphic Designer | Story Writer 🇹🇿

We do creative designing, amazing illustrations, educative mural paintings, attractive wall branding, IEC/BCC materials production etc.

Jumapili hii ni Kongamano Kubwa la BONDE LA KUKATA MANENOMaskani ya Mungu na Watu Wake - Goba Centre, Dar es Salaam.
12/07/2025

Jumapili hii ni Kongamano Kubwa la BONDE LA KUKATA MANENO
Maskani ya Mungu na Watu Wake - Goba Centre, Dar es Salaam.


Usikose! shirikisho
11/07/2025

Usikose!

shirikisho

AfriRafiki HLC wanakuletea *PRINTMAKING TECHNIQUE CLASS* (Kwa watoto na wakubwa) chini ya Msanii wa Sanaa za Uoni/Visual...
13/05/2025

AfriRafiki HLC wanakuletea *PRINTMAKING TECHNIQUE CLASS* (Kwa watoto na wakubwa)
chini ya Msanii wa Sanaa za Uoni/Visual Arts Ms. SAFINA KIMBOKOTA (Mkufunzi wa Sanaa UDSM)
🗓️ Ni J'mosi 17 Machi, 2017
⌚ Saa 04.00 asbh - 7.00 mchana
📍 *AfriRafiki* - House of Languages
& Culture
Kigamboni - Gezaulole
Jumba la Maendeleo Mbuamaji
(Near Geza Beach / DAWASA)
Kujiandikisha na maelezo zaidi: 0754950535

Bado siku 20!
08/05/2025

Bado siku 20!

Nitakuwepo!
06/05/2025

Nitakuwepo!

*NDIYOOO*Ni Tamasha kubwa kabisa la Fasihi ya Kiswahili Tanzania, hii haijawahi kutokea!Kila mmoja atakuwa kijiji cha Ma...
05/05/2025

*NDIYOOO*

Ni Tamasha kubwa kabisa la Fasihi ya Kiswahili Tanzania, hii haijawahi kutokea!

Kila mmoja atakuwa kijiji cha Makumbusho Kijitonyama Dsm, mimi ni nani ati nikose!?

KAULI MBIU NI ILE ILE * KITABU NYUMBANI 2025*

Tafakari ya jioni na mchoraji 'wajina' Marco Melgrati.
29/04/2025

Tafakari ya jioni na mchoraji 'wajina' Marco Melgrati.

27/04/2025
Siku ya jana nilipata heshima ya kuwa Mgeni Rasmi wa Hafla ya Tuzo za Wataalam wa Urembo Tanzania (Tanzanian Beauty Prof...
27/04/2025

Siku ya jana nilipata heshima ya kuwa Mgeni Rasmi wa Hafla ya Tuzo za Wataalam wa Urembo Tanzania (Tanzanian Beauty Professionals Awards) iliyofanyika kwenye ukumbi wa Aura Suites jijini Dar es salaam. Nilikabidhi tuzo kwa wataalam 50 wa urembo kutoka Tanzania, nami pia nikakabidhiwa tuzo ya heshima kutoka kwa waandazi kwa kutambua mchango wangu katika kukuza sanaa za ufundi. Tuzo hizo zimeandaliwa na Lecturer Media International ya jijini Dar es Salaam. Huu ni mwanzo mzuri kwa wasanii wa sanaa za ufundi kuanza kutambulika na kuenziwa.

*Mwaliko wa Mazungumzo ya Uratibu wa Sanaa na Laura Gamba hapa KokoTEN Studio*KokoTEN Studio inapenda kuwaalika wasanii,...
25/04/2025

*Mwaliko wa Mazungumzo ya Uratibu wa Sanaa na Laura Gamba hapa KokoTEN Studio*

KokoTEN Studio inapenda kuwaalika wasanii, wakurugenzi wa sanaa, na wadau wa sekta ya ubunifu kushiriki katika mazungumzo ya kiuratibu na *Laura Gamba*, Mkurugenzi Mkuu wa Creative Lounge Trust kutoka Zimbabwe.

Laura ni mtaalamu wa sanaa mwenye uzoefu mkubwa katika kuratibu, kutafiti, na usimamizi wa sanaa. Ameongoza miradi mbalimbali ya sanaa inayolenga masuala ya kijamii na mazingira, ikiwa ni pamoja na maonyesho ya "Art and Ecology" yaliyofanyika Harare, Zimbabwe, ambayo yalilenga kuhamasisha uelewa wa mazingira kupitia sanaa.

*Taarifa za Tukio:*
- *Tarehe:* Jumamosi, Aprili 26, 2025
- *Muda:* Saa 10 Jioni
- *Mahali:* KokoTEN Studio, Dar es Salaam

Katika mazungumzo haya, Laura atatupatia uzoefu wake katika kuratibu sanaa, kazi anazofanya nchini Zimbabwe, na fursa zinazoweza kuwasaidia wasanii wa Kitanzania kupitia ushirikiano wa kimataifa. Ziara yake nchini Tanzania ni sehemu ya mradi wa ukuratibu aliouanzisha baada ya kushiriki katika Tamasha la Sanaa la Glasgow mwaka 2024, kwa msaada wa British Council.

Tukio hili ni fursa adhimu kwa wasanii na wadau wa sanaa kujifunza na kubadilishana mawazo kuhusu ukuratibu wa sanaa na ushirikiano wa kimataifa.
______________________

*Join Us for a Curatorial Talk with Laura Gamba at KokoTEN Studio*

Dear Art lovers,

We are delighted to invite you to an insightful curatorial talk by *Laura Gamba*, Principal Director of Creative Lounge Trust in Zimbabwe. Laura is a distinguished curator, researcher, and arts manager, known for her extensive work in contemporary African art. Her visit to Dar es Salaam is part of a curatorial project initiated after her participation in the Glasgow Art Festival in 2024, supported by the British Council.

*Event Details:*
- *Date:* Saturday, April 26, 2025
- *Time:* 4pm to 6pm
- *Venue:* KokoTEN Studio, Dar es Salaam

During the talk, Laura will share her experiences and the impactful work she is doing in Zimbabwe. She will also discuss opportunities for Tanzanian artists to engage in collaborative projects and cultural exchanges.
studio

Maonesho ya Kitaifa ya kazi za Utamaduni na Sanaa kuanzia tarehe 24 - 30 Aprili, 2025 viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es sal...
20/04/2025

Maonesho ya Kitaifa ya kazi za Utamaduni na Sanaa kuanzia tarehe 24 - 30 Aprili, 2025 viwanja vya Mnazi Mmoja Dar es salaam.

Hongera sana  Hakika hii ni kubwa kuliko!Tunasubiri utekelezaji wa ahadi zilizotolewa.
16/04/2025

Hongera sana Hakika hii ni kubwa kuliko!
Tunasubiri utekelezaji wa ahadi zilizotolewa.

Address

Kinondoni

Telephone

+255754308221

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Marco Tibasima posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Marco Tibasima:

Share