Dsm Digital

Dsm Digital Dsm News

Performance bora kutoka kwa Diarra ( Two Top Saves ) na kuifanya Yanga kuwa mchezo mpaka sasa πŸ”₯ Ubora wa Yanga unaanzia ...
01/03/2026

Performance bora kutoka kwa Diarra ( Two Top Saves ) na kuifanya Yanga kuwa mchezo mpaka sasa πŸ”₯

Ubora wa Yanga unaanzia kwa Diarra na ndio aliyoamua Simba aende mapumziko bila goli .

Simba wapunguze uoga ,Damaro ni mtanzania na sio raia wa kigeni,wasilete vipingamizi vingi,waende kucheza derby,k**a ni ...
20/02/2026

Simba wapunguze uoga ,Damaro ni mtanzania na sio raia wa kigeni,wasilete vipingamizi vingi,waende kucheza derby,k**a ni kufungwa watafungwa tu hakuna namna nyingine,wameshindwa wenyewe kutengeneza timu bora k**a Yanga,nasikia wanataka kuhakikisha passport yake ili wajiridhishe kwamba kweli ni mtanzania au sio mtanzania ila ukweli ni kwamba Damaro ni mtanzania alishabadilisha uraia kwa taarifa ambazo mimi niko nazo. na Mchambuzi Alex Ngereza

MICHEZO; MICHEZO; CAFCLYANGA 3 - 0 JS KBFULL TIME
15/02/2026

MICHEZO; MICHEZO; CAFCL

YANGA 3 - 0 JS KB

FULL TIME

Admin wa Simba ameniambia hii picha haihusiani na yale yalitokea leo kwa hiyo niwe mpole πŸ˜‚πŸ˜‚.Nisifikiria jirani zao wanai...
15/02/2026

Admin wa Simba ameniambia hii picha haihusiani na yale yalitokea leo kwa hiyo niwe mpole πŸ˜‚πŸ˜‚.

Nisifikiria jirani zao wanaishi bure kwenye bure kichwa chake.

Tommy Setford aliingia dakika ya 87 kuchukua nafasi ya Kepa.Miaka 19 kijana mwingine anayetokea Hale End, Mikel Arteta a...
15/02/2026

Tommy Setford aliingia dakika ya 87 kuchukua nafasi ya Kepa.

Miaka 19 kijana mwingine anayetokea Hale End, Mikel Arteta alifanya siku yake kuwa bora zaidi kwa kumpa dakika kadhaa.

MICHEZO; Tulikuja kwa lengo la kushinda lakini bahati haikuwa kwetu. Tulipata nafasi za kufunga kwa bahati mbaya hatukuz...
08/02/2026

MICHEZO; Tulikuja kwa lengo la kushinda lakini bahati haikuwa kwetu. Tulipata nafasi za kufunga kwa bahati mbaya hatukuzitumia, tutarudi nyumbani kujipanga dhidi ya Kabylie, bado tupo kwenye mashindano, tutajipanga kushinda mechi kwasababu hatujui kitakachotokea mbeleni”

πŸŽ™οΈ Allan Okello

MICHEZO; Klabu ya Siwelele Football Club imemtambulisha rasmi kiungo mshambuliaji Skudu Makudubela k**a mchezaji mpya wa...
05/02/2026

MICHEZO; Klabu ya Siwelele Football Club imemtambulisha rasmi kiungo mshambuliaji Skudu Makudubela k**a mchezaji mpya wa kikosi hicho akitokea Wiliete Sports Club.

Kupitia usajili huo, Skudu anarejea tena Afrika Kusini, ikiwa ni mara ya kwanza kurejea nyumbani tangu alipoondoka mwaka 2022, ambapo aliwahi kuzitumikia klabu mbalimbali barani Afrika ikiwemo Young Africans SC (Tanzania), AS Vita (DR Congo) pamoja na Wiliete Sports Club (Angola).

Mimi sio mtabiri ila sioni nafasi ya Yanga kufuzu robo fainali,wana alama tano sawa na FAR Rabat na mbaya zaidi mechi ij...
01/02/2026

Mimi sio mtabiri ila sioni nafasi ya Yanga kufuzu robo fainali,wana alama tano sawa na FAR Rabat na mbaya zaidi mechi ijayo wanaenda pale Prince Moulay Abdellah,mechi ya mwisho wanamaliza na JS Kabyle

Kuna zaidi ya asilimia 80 za Yanga kupoteza dhidi ya FAR Rabat na k**a watapoteza hiyo mechi As FAR watakuwa na alama 8,mchezo wa mwisho wanamaliza na Al ahly

Mechi pekee ambayo nina uhakika Yanga wanaweza kushinda au kupata sare ni mchezo dhidi ya JS Kabyle ambao tayari wamepoteza dira kwenye kundi. Anathibitisha Hilo Mchambuzi Makini KABISA Alex Ngereza

Kesho siku ya mwisho ya dirisha dogo la uhamisho litafungwa nchini England mida ya saa moja kwa sasa za huko.Mamadou Sar...
01/02/2026

Kesho siku ya mwisho ya dirisha dogo la uhamisho litafungwa nchini England mida ya saa moja kwa sasa za huko.

Mamadou Sarr anatarajiwa kuwa London, Chelsea wanapambana kuhakikisha hilo linatokea ikiwa tayari Aaron Anselimo anajiandaa kwenda RC Strasbourg kwa mkopo wa nusu msimu uliobaki.

P.S. Dirisha kubwa Chelsea pale PSG wakuulize kuhusu Ibrahim Mbaye anafaa kucheza EPL.

Ansu Fati amefikisha magoli saba kwenye mechi  kumi na tatu za Ligue One.Ni namba nzuri ukizangatia haanzi kwenye kila m...
01/02/2026

Ansu Fati amefikisha magoli saba kwenye mechi kumi na tatu za Ligue One.

Ni namba nzuri ukizangatia haanzi kwenye kila mechi lakini anapo pata nafasi basi anaitumia vizuri, bado hayuko kwenye kiwango chake asilimia 100 sababu ya muda wake wa kucheza lakini k**a makocha wa Monaco wakimuamini zaidi nadhani atamaliza akiwa na namba zenye ushawishi hata wa kufanya Barcelona wamrudishe.

Imekuja akilini kwangu Ansu Fati ndio atafanya Barcelona wamnunue Marcus Rashford moja kwa moja au wa achana nae ili yeye aweze kurudi.

SIKU YA MNYAMA KURUDISHA HESHIMA YAKE NI LEO.Hizi ndio siku ambazo CHAMA huwa anawakumbusha Watu yeye ndio Mfalme hivi s...
01/02/2026

SIKU YA MNYAMA KURUDISHA HESHIMA YAKE NI LEO.

Hizi ndio siku ambazo CHAMA huwa anawakumbusha Watu yeye ndio Mfalme hivi sass kwenye mpira wa Tanzania.

ESPERANCE DE TUNIS SIYO TIMU YA KUBEZA HATA KIDOGO.

Ila Mnyama Simba hizi ndio mechi zake za kutaka sifa.

HAPA OURA,PALE MPANZU,KULE GUEYE DAH KILA LA KHERI MNYAMA MKALI MWITUNI πŸ™Œ.

Alama moja kwa Wananchi na wanafikisha Alama 5 kwenye kundi nafasi ya pili huku Al Ahly wakiongoza kundi wakiwa na Alama...
31/01/2026

Alama moja kwa Wananchi na wanafikisha Alama 5 kwenye kundi nafasi ya pili huku Al Ahly wakiongoza kundi wakiwa na Alama 8 πŸ”₯

Wananchi wamesaliwa na michezo miwili kweye kundi mmoja anamfata Far Rabat mwingine anakutana na JS Kabylie akiwa nyumbani .

Nafasi kwa Wananchi bado ipo ?

Address

Dar Es Salaam

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dsm Digital posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share