15/06/2026
Ivory Coast imekuwa timu ya kwanza kutoka Afrika kuonja ushindi katika Kombe la Dunia 2026 baada ya kuifunga Ecuador mabao 1-0, huku Amad Diallo akifunga bao la ushindi dakika ya 90.
Ushindi huo umeipa Ivory Coast pointi tatu muhimu na kuiandikia historia k**a taifa la kwanza la Afrika kushinda katika michuano hiyo ya mwaka 2026.