16/05/2026
USM Algers kutoka nchini Algeria yaichapa Zamalek ya misri katika mchezo wa fainali wa kombe la shirikisho barani Afrika kwa changamoto ya mikwaju ya penati
Katika mchezo wa mkondo wa kwanza uliochezwa Algeria USMA alishinda bao moja kwa sifuri na kwenye mchezo wa marudiano uliopigwa nchini Misri zamalek wakahinda moja sifuri na kupelekea mchezo huwo kwenda hatuwa ya penati
Katika hatuwa ya penati zamalek wameshinda penati saba na kukosa moja huku USMA wakipata penati nane wakiwa hawajakosa hata moja na kuwa mabingwa wa mashindano hayo kwa msimu wa 2025/26
Ubingwa huwo unakuwa wapili kwa timu hiyo baada ya kubeba 2021/22 dhidi ya young Africans na sasa wanabeba tena kwa changamoto ya mikwaju ya penati dhidi ya Zamalek
Follow loko kontent