FGA Tv

FGA Tv Official Facebook account for Fountain Gate Academy Online Tv. Get in touch via our social media pl

Klabu ya Arsenal anakazi ya kujiuliza tena siku ya leo mbele ya liverpool katika mchezo wa ligi kuu Uingereza .Arsenal n...
08/01/2026

Klabu ya Arsenal anakazi ya kujiuliza tena siku ya leo mbele ya liverpool katika mchezo wa ligi kuu Uingereza .

Arsenal na Liverpool katika mechi tano za mwisho walizokutana Arsenal alipata ushindi mara moja huku Liverpool akipata ushindi mara mbili na sare mbili .

Mpaka sasa Arsenal anashika nafasi ya 1 akiwa na alama 48 akiwa amecheza michezo 20 ,huku Liverpool akiwa nafasi ya 4 alama zake 34 .

Ikimbukwe Arsenal anaingia akiwa na maumivu ya kupoteza mechi ya kwanza ugenini .Je leo atakubali kuachia pointi ?.

Klabu ya JKT Tanzania imetangaza rasmi kuachana na mchezaji wake, Shiza Ramadhani Kichuya, katika dirisha dogo la usajil...
07/01/2026

Klabu ya JKT Tanzania imetangaza rasmi kuachana na mchezaji wake, Shiza Ramadhani Kichuya, katika dirisha dogo la usajili linaloendelea. Kupitia taarifa rasmi, uongozi wa klabu hiyo umeeleza kutoa shukrani za dhati kwa Kichuya kwa mchango na kujituma kwake katika kipindi chote alichokuwa akiitumikia timu hiyo ya Jeshi.

JKT Tanzania imemtakia heri Kichuya katika safari yake mpya ya soka nje ya klabu hiyo, ikisisitiza kuwa milango ya mafanikio itaendelea kumfungukia katika hatua inayofuata ya taaluma yake ya mpira wa miguu.

Kocha wa klabu ya PSG ,Luis Enruque amekata kusaini mkataba na timu yake licha ya ofa kubwa aliyopewa na PSG ,kubwa zaid...
07/01/2026

Kocha wa klabu ya PSG ,Luis Enruque amekata kusaini mkataba na timu yake licha ya ofa kubwa aliyopewa na PSG ,kubwa zaidi akidai anataka changamoto sehemu nyingine mwisho wa msimu .

📊 Takwimu za Meneja — Luis Enrique (PSG)

📌 Kujiunga na PSG: 5 Julai 2023 akitokea timu ya Barcelona 2017 kwa ngazi ya klabu kabla ya kwenda timu ya taifa ya Hispania mwaka 2018 hadi 2022.

1. Jumla ya mechi (mpaka sasa):

Ameongoza PSG kwa karibu 100 mechi zote za mashindano.

Paris Saint-Germain

Katika hizo mechi, PSG imepata ushindi 70, ikimaanisha win rate karibu 70%.

Paris Saint-Germain

2. Rekodi ya ushindi / sare / hasara (takwimu mbalimbali):

Kati ya mechi 86 za mashindano, Luis Enrique alishinda 58 (D18 L10) — win % ≈ 65.9%.

Katika takwimu nyingine hadi tukio kadhaa zilizokadiriwa: kuhusu 107 mechi – 74 ushindi, 19 sare, 14 hasara (hii ni takwimu ya chanzo kimoja) — inaonyesha ushawishi mzuri.



3. Ushindi ndani ya Ligue 1 (Ligi Kuu ya Ufaransa):

Baada ya 55 mechi za Ligue 1, PSG chini ya Enrique ilishinda 38, sare 15, na kupoteza tu 2 — moja ya rekodi bora kwa kiwango hicho.

4. Ufanisi wa Ligi 1:

PSG kwa muda fulani haikupoteza mechi yoyote kwa kipindi cha awali – W16 D5 bila kufungwa, jambo ambalo limetokea mara chache katika historia ya klabu.

Outlook India

5. Takwimu za lengo na alama:

PSG chini yake imepiga wastani wa takriban 2.42 goli kwa mechi.

Paris Saint-Germain

Inakadiriwa pia PSG inapata karibu 2.31 alama kwa mechi chini ya uendeshaji wake.



🏆 Mafanikio ya Timu kwa enzi yake

Luis Enrique ameifanya PSG kuwa moja ya timu zinazofanikiwa zaidi tangu apate cheo: ✔ Ligue 1 – Mabingwa wa Ubora wa Ligi.

✔ Coupe de France – Washindi.

✔ Trophée des Champions – Washindi.

✔ UEFA Champions League – Washindi (2024-25).

✔ FIFA Club World Cup – Washindi wa pili (Runners-up).

Mataifa yatakayo anza kutimua vumbi january 9 kwenye hatua ya robo fainali katika michuano ya AFCON 2025 .»Mali»Senagal»...
07/01/2026

Mataifa yatakayo anza kutimua vumbi january 9 kwenye hatua ya robo fainali katika michuano ya AFCON 2025 .

»Mali
»Senagal
»Cameron
»Morocco
»Egypt
»ivory cost
»Nigeria
»Algeria

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kesho inatarajiwa kushuka dimbani kuwania nafasi ya kuendelea mbele katika mchez...
03/01/2026

Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars, kesho inatarajiwa kushuka dimbani kuwania nafasi ya kuendelea mbele katika mchezo wa hatua ya 16 bora ya Mashindano ya AFCON 2025.

Ndoto na matarajio ya Watanzania wengi ni kuiona timu yao ikiibuka na ushindi dhidi ya Morocco, matokeo ambayo yangeiwezesha Taifa Stars kuishangaza dunia na kuonyesha ubora halisi wa soka la Tanzania.

Mchezo huo unatarajiwa kuwa na ushindani mkubwa, huku kila timu ikiingia uwanjani ikiwa na dhamira ya kusonga mbele katika mashindano hayo makubwa barani Afrika.

29/12/2025

Football development is on the rise in Rwanda.

23/12/2025

WIKI MPYA YENYE HADHI YA NYOTA TANO KWA MTAZAMAJI WA FGA TV 🚨🚨🚨

Leo hii katika Kipindi chetu Pendwa cha FGA TV kinacho rushwa kila Siku ya Jumanne kuanzia saa Tano na Nusu ya Usiku.

Utayafahamu mengi kutoka katika Taasisi ya Fountain Gate Academy Tanzania yakihusisha Shule za Foutain Gate na Maendeleo yote ya Soka katika Vituo vya Ukuzaji na Uendelezaji wa Vipaji huku Kipindi hiki kikiwa ni Maalumu kwa Timu za Vijana.

Jiunge nasi kutazama Burudani hii kutoka Azam Sports IHD.

Kipindi chetu kinaruka kila siku ya Jumanne saa 4:30 usiku na Marudio ni Siku ya Ijumaa Saa Moja Kamili Asubuhi,Jumamosi saa Tatu Asubuhi na Jumapili saa Tano Kamili Asubuhi


23/12/2025

A group photo of some of the Kenyan women playing in the Tanzania Women Premier League.

Unamjua nani hapa?

゚viralシfypシ゚viralシalシ

23/12/2025

FULL-TIME! 🇨🇩🇧🇯

Theo Bongonda on target as DR Congo open their campaign with victory. 👏

12/12/2025

FULL TIME I

Geita Queens 0-4 Fountain Gate Princess

84’ I TWPLGeita Queens 0-3 Fountain Gate PrincessHelena Khamis ⚽️Winfrida Charles ⚽️Rehema ⚽️
12/12/2025

84’ I TWPL

Geita Queens 0-3 Fountain Gate Princess

Helena Khamis ⚽️
Winfrida Charles ⚽️
Rehema ⚽️

70’ I TWPLGeita Queens 0-3 Fountain Gate PrincessHelena Khamis ⚽️Winfrida Charles ⚽️Rehema ⚽️
12/12/2025

70’ I TWPL

Geita Queens 0-3 Fountain Gate Princess

Helena Khamis ⚽️
Winfrida Charles ⚽️
Rehema ⚽️

Address

P. O. Box 4283
Dodoma
026

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when FGA Tv posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to FGA Tv:

Share