Dodomafm

Dodomafm DODOMA FM
Is a local radio station with community content has grown to
be one of the leading radio station in central region.
(1)

This is what we do:-
create good programs,
drama,
radio jingles,
PA,
We also have 5 billboards

29/05/2026

Katibu tawala wa Dodoma Sakina Mbugi baada ya uzinduzi wa vijana platform akapata selfie na vijana

29/05/2026

Mgeni rasmi Katibu tawala sakina mbugi akiwasili kwenye uzinduzi wa vijana platform

29/05/2026

Mgeni rasmi karibu tawala wa wilaya ya Dodoma akiwasili ukumbini

Wawakilishi kutoka UNICEF wakiongozwa na Awet Araya, SBC/RCCE Lead, akifuatana na Alice Mwiru, SBC Specialist, walifanya...
28/05/2026

Wawakilishi kutoka UNICEF wakiongozwa na Awet Araya, SBC/RCCE Lead, akifuatana na Alice Mwiru, SBC Specialist, walifanya ziara ya kikazi na mazungumzo yenye tija katika ofisi za Dodoma FM na Mwenyekiti wa TADIO, Bw. John Baptist.

Mkutano huo ulifanyika katika makao makuu ya Dodoma FM yaliyopo Miyuji Proper, Dodoma, ambapo pande zote zilijadili umuhimu wa vyombo vya habari vya kijamii katika kuhamasisha mawasiliano ya maendeleo pamoja na kupanua maeneo ya ushirikiano kati ya UNICEF na TADIO. Aidha, mazungumzo yaligusia namna ya kuimarisha mahusiano na kuweka mazingira bora zaidi ya kazi yatakayosaidia juhudi za pamoja katika kuwahudumia Watanzania kupitia mawasiliano yenye tija.

Pande zote mbili zilisisitiza umuhimu wa redio za kijamii katika kufikisha taarifa sahihi kuhusu afya, elimu, ustawi wa mtoto na maendeleo ya jamii kwa wananchi nchini kote. Vilevile, walionesha matumaini ya kujenga ushirikiano imara utakaowanufaisha Watanzania wengi kupitia miradi na shughuli za pamoja zijazo.

27/05/2026

Mwaliko wako unasoma wap? Au ndo bilabila

27/05/2026

Eid Al-Adha

26/05/2026

Show ya kwanza Dodoma Djs
Wapiga full house haijawai tokea

26/05/2026

Karibuni

Africa’s Premier Agricultural Stage Returns — Bigger, Bolder & More Connected Than Ever!The 10th Africa Agri Expo, co-lo...
25/05/2026

Africa’s Premier Agricultural Stage Returns — Bigger, Bolder & More Connected Than Ever!

The 10th Africa Agri Expo, co-located with the 3rd Future Food Livestock & Poultry Expo, lands in Dar-es-Salaam, Tanzania 🇹🇿 on 2nd & 3rd September 2026.

From smart farming, agri-tech, irrigation, livestock, poultry, food processing, and investment opportunities — this milestone edition brings together farmers, agribusiness leaders, innovators, policymakers, and global investors under one roof. 🚜🐄🌾

Africa is home to the future of agriculture, and Tanzania stands at the gateway of East & Central Africa’s growing agri-food economy. This is where partnerships are built, deals are made, and the future of food begins.

✅ Exhibit your brand
✅ Connect with buyers & investors
✅ Discover the latest agri innovations
✅ Join high-level industry discussions
✅ Expand into Africa’s fastest-growing markets

📍 Dar-es-Salaam, Tanzania
📅 2nd & 3rd September 2026

Be part of the movement shaping the future of African agriculture.

📧 agri.e

Matukio picha kutoka ukumbi wa mkutano jengo la mkandarasi Sauti ya jamii kilimo kinabenkika
24/05/2026

Matukio picha kutoka ukumbi wa mkutano jengo la mkandarasi
Sauti ya jamii
kilimo kinabenkika

Address

Miuji Proper
Dodoma
41106

Opening Hours

Monday 07:00 - 17:45
Tuesday 07:00 - 17:45
Wednesday 07:00 - 17:45
Thursday 07:00 - 17:45
Friday 07:00 - 17:45
Saturday 07:00 - 17:45
Sunday 07:00 - 17:45

Telephone

+255767244704

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Dodomafm posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Dodomafm:

Share

Category