JUVE MEDIA

Viongozi watano wa UWAKA Taifa.Kutoka kushoto* Mwenyekiti - Jimbo Katoliki Bagamoyo* Mwenyekiti Msaidizi - Jimbo Kuu Kat...
01/06/2026

Viongozi watano wa UWAKA Taifa.
Kutoka kushoto
* Mwenyekiti - Jimbo Katoliki Bagamoyo
* Mwenyekiti Msaidizi - Jimbo Kuu Katoliki Arusha.
* Katibu - Jimbo Kuu Katoliki Dodoma
* Katibu Msaidizi - Jimbo Katoliki Bariadi
* Mtunza Hazina - Jimbo Katoliki Bagamoyo.

MATUKIO KATIKA PICHA:▪︎ Mhashamu Eusebio Kyando Askofu wa Jimbo Katoliki Njombe, akiongoza Ibada ya kubariki na kuzindua...
27/05/2026

MATUKIO KATIKA PICHA:
▪︎ Mhashamu Eusebio Kyando Askofu wa Jimbo Katoliki Njombe, akiongoza Ibada ya kubariki na kuzindua Hoteli ya HILL - TEC HOTEL iliyopo maeneo ya Wilolesi Iringa mjini, Jimbo Katoliki la Iringa.

▪︎ Hill - TEC Hoteli inamilikiwa na Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania, na uzinduzi huo umehudhuriwa na Mhashamu Romanus Mihali Askofu wa Jimbo Katoliki Iringa, na Mhashamu Vicent Mwagala Askofu wa Jimbo Katoliki Mafinga, pamoja na Wakuu mbalimbali wa Taasisi za Baraza, Mapadre, Watawa, Viongozi wa Serikali ya Mtaa, Waamini walei pamoja na wageni waalikwa.

26/05/2026

UJE ROHO MTAKATIFU (SIKWENSIA)- KWAYA MT DAMASI WA KWANZA PAROKIA YA MT PETRO CLAVER MLIMWA C DODOMA

ZAWADI KWA JUMUIYA .ASKOFU MKUU BEATUS KINYAIYA AMETOA ZAWADI KWA JUMUIYA ZILIZOFANYA VIZURI KATIKA MICHANGO NA ZAKA NDA...
26/05/2026

ZAWADI KWA JUMUIYA .

ASKOFU MKUU BEATUS KINYAIYA AMETOA ZAWADI KWA JUMUIYA ZILIZOFANYA VIZURI KATIKA MICHANGO NA ZAKA NDANI YA PAROKIA YA BIKIRA MARIA MSAADA WA WAKRISTO KIZOTA JIMBO KUU KATOLIKI LA DODOMA.
SAMBAMBA NA UTOAJI WA ZAWADI PIA ASKOFU KINYAIYA AMETOA SAKRAMENTI YA KIPAIMARA KATIKA ADHIMISHO HILO LA MISA TAKATIFU YA SHEREHE YA PENTEKOSTE

MATUKIO KATIKA PICHA .MISA TAKATIFU YA SHEREHE YA PENTEKOSTE NA UTOLEWAJI WA SAKRAMENTI YA KIPAIMARA KATIKA PAROKIA YA B...
25/05/2026

MATUKIO KATIKA PICHA .
MISA TAKATIFU YA SHEREHE YA PENTEKOSTE NA UTOLEWAJI WA SAKRAMENTI YA KIPAIMARA KATIKA PAROKIA YA BIKIRA MARIA MSAADA WA WAKRISTO KIZOTA JIMBO KUU KATOLIKI LA DODOMA.
ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU LIMEADHIMISHWA NA ASKOFU MKUU BEATUS KINYAIYA

MISA TAKATIFU YA SHEREHE YA PENTEKOSTE NA UTOLEWAJI WA SAKRAMENTI YA KIPAIMARA KATIKA PAROKIA YA BIKIRA MARIA MSAADA WA ...
25/05/2026

MISA TAKATIFU YA SHEREHE YA PENTEKOSTE NA UTOLEWAJI WA SAKRAMENTI YA KIPAIMARA KATIKA PAROKIA YA BIKIRA MARIA MSAADA WA WAKRISTO KIZOTA JIMBO KUU KATOLIKI LA DODOMA.
ADHIMISHO LA MISA TAKATIFU LIMEADHIMISHWA NA ASKOFU MKUU BEATUS KINYAIYA

MATUKIO KATIKA PICHA:▪︎ Shirika la Misaada la Kanisa Katoliki (CARITAS-Tanzania) limetoa Mafunzo ya siku mbili yaliyoanz...
19/05/2026

MATUKIO KATIKA PICHA:
▪︎ Shirika la Misaada la Kanisa Katoliki (CARITAS-Tanzania) limetoa Mafunzo ya siku mbili yaliyoanza Mei 18 hadi 19 mwaka huu 2026 kwa Wakurugenzi na Wataribu wa Maafa wa CARITAS kutoka majimbo mbalimbali, juu ya Usimamizi wa Hatari za Maafa na namna ya Kupunguza athari za Maafa.
▪︎ Mafunzo hayo yameratibiwa na Ofisi ya CARITAS - Taifa na kufunguliwa rasmi na Kaimu Katibu Mkuu Baraza la Maaskofu Katoliki Tanzania (TEC) Padri Alister Makubi, ambapo Mwezeshaji Mkuu ni Mtaalam wa Maafa kutoka Chuo Kikuu cha Dodoma, Dkt. Japhet Ringo.

PICHA ZA MISA TAKATIFU YA NADHIRI ZA DAIMA KWA MASISTA 6 WA SHIRIKA LA MT.GEMMA GALGANI WA DODOMA
18/05/2026

PICHA ZA MISA TAKATIFU YA NADHIRI ZA DAIMA KWA MASISTA 6 WA SHIRIKA LA MT.GEMMA GALGANI WA DODOMA

HABARI PICHA KUTOKA JIMBO KUU KATOLIKI DODOMA.Baadhi ya picha za  Adhimisho la Misa Takatifu Domika ya 6 ya Pasaka Mwaka...
12/05/2026

HABARI PICHA KUTOKA JIMBO KUU KATOLIKI DODOMA.
Baadhi ya picha za Adhimisho la Misa Takatifu Domika ya 6 ya Pasaka Mwaka C wa Kanisa katika Parokia ya Mtakatifu Yohane Mtume ambapo jumla ya wanautume 114 wamepokelewa kwenye chama cha kitume cha Mtakatifu Rita wa Kashia - Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma.
Adhimisho la Misa Takatifu limeadhimishwa na Paroko Padre Paul Mhindi na Baraka za Wanautume wapya zimetolewa na Padre innocent Nzaro ambaye ni mlezi wa wanautume wa Mt Rita wa Kashi Jimbo Kuu Katoliki la Dodoma.

11/05/2026

ALELUYA ALELUYA -KWAYA YA WAWATA PAROKIA YA MT PETRO MTUME SWASWA JIMBO KUU KATOLIK LA DODOMA.
KWAYA YA MT JOSEPHINE BAKHITA PAROKIA YA MT PETRO MTUME SWASWA JIMBO KUU KATOLIKI LA DODOMA.
- DOMINIKA YA 6 YA PASAKA MWAKA A WA KANISA WAWATA WA PAROKIA YA MT PETRO MTUME SWASWA WAMEZINDUA KITENGE CHAO CHA PAROKIA

Address

IPAGALA
Dodoma
41217

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when JUVE MEDIA posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share