Hon. Amina Mollel

Hon. Amina Mollel We are a content production page that educates the community of Agriculture, farming activities, Politics, Sports and Social issues.

Wengi tunaitumia mitandao ya kijamii na imekuwa sehemu ya maisha yetu. Hakika sikuwahi jua k**a naweza kuwa na jeshi kub...
10/06/2026

Wengi tunaitumia mitandao ya kijamii na imekuwa sehemu ya maisha yetu. Hakika sikuwahi jua k**a naweza kuwa na jeshi kubwa kiasi hiki tena jeshi lenye upendo mkubwa.

Guys nawashukuru sana kwa upendo huu. kusema kweli mmekuwa faraja kubwa sana kwangu. Yaani nakosa maneno mazuri ya kuwaambia. Asanteni sana kwa kuwa wafuasi wema kwangu. Jamani nawapenda sana na kamwe sipo tayari kuwapoteza.

Wachache sana wenye makasiriko tuwapotezee kwa kuwa huwezi pendwa na wote kwani mie pesa!! Kwangu napata faraja kubwa kuwaongeza marafiki kila iitwayo leo. Tupendane jamani maisha yenyewe mafupi. Nawapenda sana marafiki zangu humu Facebook.

Mungu awabariki na kuwaondolea mitihani ya dunia. Msisahau lakini matapeli na wabaya pia hawakosekani.

Kuna mkasa wa kweli nitauleta hapa, kwakweli unasikitisha na unaumiza moyo sana. Stay tuned.

Thanks for being a top engager and making it on to my weekly engagement list! 🎉 Winie Jackson Mmbando, John Lugendo, Aiv...
09/06/2026

Thanks for being a top engager and making it on to my weekly engagement list! 🎉 Winie Jackson Mmbando, John Lugendo, Aiva Christopher Mwamengo, Dae Woong, Beth Lameck, Salim Saad

Mdogo mdogo, taratibu soon Mungu akipenda nitaingia mtaani kupambana Ili maisha yaendelee. Asanteni sana kwa upendo wenu...
08/06/2026

Mdogo mdogo, taratibu soon Mungu akipenda nitaingia mtaani kupambana Ili maisha yaendelee. Asanteni sana kwa upendo wenu, haki mmeugusa moyo wangu. Ila jamani ukiumia ndio itajua umuhimu wa afya.

Tuwe makini na tusiache kumuomba Mungu na ukirudi salama Nyumbani mshukuru Mungu. Mtu mzima ukiumwa na mipango yote inasimama.

Nawapenda sana sana sana. Mmekuwa faraja kubwa sana kwangu kupitia ukurasa huu. Sikuwahi jua kuwa nina jeshi kubwa kiasi hiki nyuma yangu. Nimewasikia mnaosema mnpe mkono wa pole.

Leo jioni nitazungumzia nanyi Kwa namba 0787005657 Kwa watakaobahatika.

Guys! Mnisamehe kutokuonekana humu. Bado napambania hali yangu. Mungu ni mwema sana naendelea vyema. Hili janga limeniru...
08/06/2026

Guys! Mnisamehe kutokuonekana humu. Bado napambania hali yangu. Mungu ni mwema sana naendelea vyema. Hili janga limenirudisha nyuma Kwa kweli. Nawapenda sana na Mbarikiwe.

With Beth Lameck – I just got recognised as one of their top fans! 🎉
06/06/2026

With Beth Lameck – I just got recognised as one of their top fans! 🎉

Thanks for being a top engager and making it on to my weekly engagement list! 🎉 Ibrahim Mringo, Robert Taigo, Charles Hi...
05/06/2026

Thanks for being a top engager and making it on to my weekly engagement list! 🎉 Ibrahim Mringo, Robert Taigo, Charles Hiza, Oloitokitok Ole Ngurumwa, Winie Jackson Mmbando, Juma Mwamwenda, Glorian Nyiti, Suma Mwakapala, Enoc Zanzibar, Mnyeke Mohamedi, Deborah Mpagama, Oljeu Lengai, Charles John, Hamadi Tambukeni Mmbuguni, Janeth Ngowi, Novatus Kihauli, John Lugendo, Sule Makoko, Asia Mohamed, Augustino Mkuya, Beth Lameck, Barnabas Mpangala, Enock Shani, Noor Mbeoma, Joseph Kundy, Gifted Son, Lazaro Kivuyo, Amiry Abdala, Kaka Ima Ntandu, Kassim Osorr, Abdul-Aziz Omary, Amina Nkumbi, Ulanga Iddi, Mbata Iringa Tz, Omary Daba, Rejista Patrice, Salim Saad, Elliah Ngowi, Rashid Salim, Edward Bagomwa, Aziza Asmah Abdulrahman

Nimefurahi sana KUONA kuwa wengi wetu tuna shauku ya kutafuta pesa kupitia mitandao ya kijamii na hasa Facebook. Pamoja ...
26/05/2026

Nimefurahi sana KUONA kuwa wengi wetu tuna shauku ya kutafuta pesa kupitia mitandao ya kijamii na hasa Facebook. Pamoja na shauku hii pia ni vyema tukafami kuwa Kila jambo Ili ufanikiwe linahitaji subira na uvumilivu.

Hakuna aliye fungua Facebook na kuanza kuwa monetize la hasha uvumilivu na kufuata vigezo na masharti kutoka kwao Meta. Tuendelee kujifunza na wakati huu tukijifunza na kuposti Kwa wingi mpaka kieleweke.

Nawatakia maandalizi mema ya Sikukui ya Eid El Haji. Nawakaribisha wote tuchinje, tule na kufurahi kwa pamoja.

Eid El Haji.

K**a nilivyoeleza kuwa mitandao ya kijamii Kwa Sasa ni chanzo Cha kujipatia kipato. Ni kweli, wengi wetu tunazo akaunti ...
25/05/2026

K**a nilivyoeleza kuwa mitandao ya kijamii Kwa Sasa ni chanzo Cha kujipatia kipato. Ni kweli, wengi wetu tunazo akaunti kwenye hii mitandao. Cha kwanza ni fungua page kwenye Facebook ambayo utaitumia. Kwa wale wenye page tayari na Wana follower kuanzia angalau 5000 upo kwenye hatua nzuri ya kuanza kupata pesa.

Utaanza kupata pesa endapo Meta watajiridhisha kuwa unafuata Masharti Kwa kuposti picha au content zinazoelimisha jamii na zisizoenda kinyume vigezo vyao. Epuka kutumia mtandao kutukana, kuwadhalilisha wengine au kuposti picha zisizo na maadili kwa jamii sababu watakufungia akaunti yako.

Unapaswa kuwa na subira, sababu huwezi kufungua tu akaunti na kuanza kulipwa na Facebook. Unaweza kutumia akaunti yako kuposti clip video ulizorekodi ziwe fupi mfano dakika 5 mpaka 10 Ili kuepuka kuwachosha followers wako. Zingatia pia ku post video ulizorekodi mwenyewe Ili kuepuka copyright.

Jifunze kutembelea page za wengine Ili uone wanachokifanya. Wenzetu Nigeria ni miongoni mwa wafaidika wakubwa wa mitandao Kwa wanavyojua kutumia kwa usahihi. Jambo kubwa ninalokuhusia ni kufuata Kanuni taratibu na hata Sheria za nchi Ili usijepata matatizo kwa kwenda kinyume na Sheria za nchi zilizopo.

Wapo wanaopenda kukatisha tamaa wenzao, usikubali kurudi nyuma na endapo watakuwa na lugha chafu waripoti Meta Ili wa deal nao. Nimejifunza haya kipindi hiki ambacho nauguza jeraha la mguu ambapo muda mwingi nautumia kupumzika.

Kwa leo naishia hapa na siku moja nitarekodi video itakayoeleza Kwa kina. Usiseme huna mtaji mtaji ni smartphone yako.

Ubonge wangu usikusumbue zingatia kitakachokusaidia, au kukuongezea maarifa kichwani mwako.

Asante, Nawapenda.

Guys, nimewa miss humu ndani. Vijana changamkieni fursa kwenye mitandao inalipa. Itumie vizuri mitandao ya kijamii, fuat...
24/05/2026

Guys, nimewa miss humu ndani. Vijana changamkieni fursa kwenye mitandao inalipa. Itumie vizuri mitandao ya kijamii, fuata vigezo na kuzingatia masharti ya Meta, malipo yatakuja tu.

Big thanks to Daniel Mollel, Sule Makoko, Ponda M Ponda, Chaz Joseph, Salim Saad, Samora Ramadhan, Mfaume Mbarale, Alex ...
20/05/2026

Big thanks to Daniel Mollel, Sule Makoko, Ponda M Ponda, Chaz Joseph, Salim Saad, Samora Ramadhan, Mfaume Mbarale, Alex Sesi, John Lugendo, Ibrahim Mringo, Kundaeli Kilewo, Rajabu Kun Mary, Athuman Gombania, Janeth Ngowi

for all of your support! Congrats for being top fans on a streak 🔥!

Address

Chamwino
Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hon. Amina Mollel posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Hon. Amina Mollel:

Share