Hon. Amina Mollel

Hon. Amina Mollel We are a content production page that educates the community of Agriculture, farming activities, Politics, Sports and Social issues.

18/09/2025

Duh!!! Yaani Makolo mlizidiwa mpaka mnaamua kukumbatia kinyumenyume!!! Mnatia huruma sana

17/09/2025

Na Bado mpaka mseme PO.

17/09/2025

Wacha tu enjoy Yanga TU ndio Kuna Raha k**a hizi.

Mtani Bado TU mnaijenga timu yenu!??? Poleni sana. Pamoja na utani wetu Nawapenda sana fans wangu na asanteni Kwa kuende...
17/09/2025

Mtani Bado TU mnaijenga timu yenu!??? Poleni sana. Pamoja na utani wetu Nawapenda sana fans wangu na asanteni Kwa kuendelea kujumuika NAMI katika ukurasa huu.

Happy birthday to Me.Namshukuru Mwenyezi Mungu Kwa kunifikisha leo hii, siku muhimu sana katika maisha yangu.  Ndio, ni ...
09/09/2025

Happy birthday to Me.

Namshukuru Mwenyezi Mungu Kwa kunifikisha leo hii, siku muhimu sana katika maisha yangu. Ndio, ni siku yangu ya kuzaliwa nikiwa na Miaka kibao. Hakika ni Miaka MINGI yenye furaha na maumivu mengi.

Kuna wakati nilifurahi sana, na kuna wakati nililia Tena Kwa maumivu makali yenye kuumiza na kukatisha tamaa kutoka Kwa wanadamu na tena watu wa karibu. Kuna wakati nilikata tamaa kitokana na nyakati ngumu nilizopitia lakini Mwenyezi Mungu kamwe hakuniacha, nilisimama nikafuta machozi na kusonga mbele.

Leo ikiwa ni siku yangu ya kuzaliwa na nikiwa na Miaka MINGI niseme nini ewe Mola wangu zaidi ya kukushukuru Kwa umri huu na hii pumzi ya Bure kabisa, Asante sana, hakika nimekuwa tena nimekuwa haswa. Asante Mungu, Asante Kwa mzazi wangu, Asante Kwa familia yangu na Asante Kwa marafiki wote ambao wamekuwa NAMI nyakati zote za shida na Raha.

Leo ni furaha Kwa kusherehekea siku hii muhimu lakini pia Kwa kusherehekea ushindi wa mitihani yote niliyopitia ambayo pamoja na maumivu makubwa pale nilipoanguka nililia, nikasimama na kufuta machozi na kusema maisha lazima yasonge mbele.

Yapo mengi ya kujifunza na hata pale nilipokosea nimejifunza, wale walioniumiza nimewasamehe japo sintowasahau sababu kovu la donda huacha alama. Maisha lazima yasonge mbele.

Mie leo ni mshindi tena mshindi na mwanamke shujaa asiyekata tamaa. Hata wewe ni mshindi na yote unayopitia Sasa yataisha. Happy birthday Binti wa Saleh, mjukuu wa Mzee Athumani Kiroyan, kutoka katika ukoo wa Mollel, Moivo na Kiroyan.

Tuungane pamoja kusherehekea ushindi huu.

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Morixa de Vox, Benjamin Okharo, Agronomist Castory, Tarkw...
03/09/2025

Shout out to my newest followers! Excited to have you onboard! Morixa de Vox, Benjamin Okharo, Agronomist Castory, Tarkwen Kipkosgei, Tom Owuonda

21/08/2025

Mzee wa miaka 65 toka Liwale, Mkoani Lindi ameanguka na Ungo katika harakati zake za kichawi kwenda kuwafuata watu awachukue kichawi Kwa lengo la kiwatumikisha.

Waliosema za mwizi ni 40 hawakukosea, ona Sasa kibabu kimeumbuka. Masikini kinatia huruma.

Ndio hivyo k**a ulivyosoma. Weka chini msemo mwingine tujifunze.
18/08/2025

Ndio hivyo k**a ulivyosoma. Weka chini msemo mwingine tujifunze.

14/08/2025

Nawapenda, nawajali na kuwathamini fans wangu wote. I got over 1,000 reactions on one of my posts last week! Thanks everyone for your support! 🎉

07/08/2025

Hili hapa bao la Shomari Kapombe ni Raha TU WATANZANIA na timu yetu ya Taifa.

Moyo wangu umeumia sana. Kapumzike Kwa amani Mhe Job Yustino Ndugai, Spika mstaafu  Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tan...
06/08/2025

Moyo wangu umeumia sana. Kapumzike Kwa amani Mhe Job Yustino Ndugai, Spika mstaafu Bunge la Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Daima nitakukumbuka

06/08/2025

Celebrating my 8th year on Facebook. Thank you for your continuing support. I could never have made it without you. 🙏🤗🎉

Address

Chamwino
Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Hon. Amina Mollel posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Contact The Business

Send a message to Hon. Amina Mollel:

Share