04/01/2026
Baada ya Marekani kumuweka Rais Nicolás Maduro kizuizini kwa kumk**ata, Mahak**a Kuu ya Venezuela imemteua Makamu wa Rais Delcy Rodríguez kuwa Rais wa Mpito wa nchi hiyo, .
Rodríguez atachukua majukumu ya Rais Maduro kusimamia shughuli za dola na kuongoza masuala ya ulinzi wa taifa.