sera media

sera media Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from sera media, Media/News Company, Dodoma.

16/09/2026

MZIZIMA DERBY:
NBC Premier League 26/27

🍦0️⃣
🦁2️⃣

⚽ Idumba 'OG'
⚽ Chama

16/09/2026
16/09/2026

Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa CHADEMA Taifa, Tundu Lissu, imeahirishwa hadi Septemba 18, 2026, baada ya mashahidi watatu, akiwemo DCI Ramadhani Kingai, CDF Jenerali Jacob Mkunda na IGP Camillus Wambura, kuripotiwa kuwa wapo nje ya nchi.

"Mkutano wangu na waandishi wa habari niliokuwa nifanye katika Hotel ya Golden Tulip nimeuahirisha.Nimesikiliza hotuba z...
16/09/2026

"Mkutano wangu na waandishi wa habari niliokuwa nifanye katika Hotel ya Golden Tulip nimeuahirisha.

Nimesikiliza hotuba za Makamu Mwenyekiti na Katibu Mkuu. Wameeleza vizuri kuhusu uvumi na upotoshaji uliokuwa ukifanyika juu yangu na misimamo juu ya chama chetu.

Nimedumu katika mapambano haya kwa zaidi ya miaka 22. Nimeenda lock-up zaidi ya mara 50. Nimezunguka nchi hii usiku na zaidi ya mara tatu. Nimewahi kuwa magerezani mara kadhaa, nimekoswa kuuawa zaidi ya mara tatu, na nimewahi kukimbia nchi.

Katika yote haya, nimekuwa nikitoa sadaka kubwa kwa ajili ya mapambano haya, ikiwemo ku-sacrifice familia yangu mara zote.

Kazi hii kwangu si ajira, si cheo, wala si njia ya kujitafutia maslahi. Ni huduma. Ni wito. Ni k**a injili ninayoamini na kuitumikia.

Kwa hiyo, siwezi kuruhusu uvumi, upotoshaji au tafsiri za watu kuniondoa kwenye misingi ambayo nimeisimamia kwa zaidi ya miongo miwili.

Nitakuwa kwenye mapambano haya kwa imani, ujasiri na dhamira njema siku zote."God bless Lema

⚽komara
15/09/2026

⚽komara

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when sera media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Shortcuts

Share