sera media

sera media Follow Sera Media WhatsApp channel

https://whatsapp.com/channel/0029Vb5rTYfLikg6gjHbxi0o

Baada ya Marekani kumuweka Rais Nicolás Maduro kizuizini kwa kumk**ata,  Mahak**a Kuu ya Venezuela imemteua Makamu wa Ra...
04/01/2026

Baada ya Marekani kumuweka Rais Nicolás Maduro kizuizini kwa kumk**ata, Mahak**a Kuu ya Venezuela imemteua Makamu wa Rais Delcy Rodríguez kuwa Rais wa Mpito wa nchi hiyo, .

Rodríguez atachukua majukumu ya Rais Maduro kusimamia shughuli za dola na kuongoza masuala ya ulinzi wa taifa.

04/01/2026

04/01/2026

Mwaka 2018 Rais Maduro Akiwa Mjini Caracas Akihutubia Hifadhi ya Taifa ya Bolivarian, alinusurika kuuwawa na Droni. Wakati droni hiyo ilipotaka kufanya shambulizi, Jeshi lilifanikiwa kuzima shambulio hilo kwa kuzilipua Droni hizo kabla hazijaleta madhara.

kufuatia jaribio hilo la kutaka kuuawa, Maduro aliishutumu Marekani kuhusika na shabulio hilo. Katika hali ya kuendelea kuwindwa, mnamo Januari mwaka huu 2026 Marekani imefanikiwa kuvamia Nchi ya Venezuela na kumteka Rais Maduro huku akishutumiwa kwa mambo mbalimbali ikiwemo biashara za madawa ya kulevya na matumizi mabaya ya madaraka.

Maduro alikuwa mshenzi, mkatili, muuaji, mtekaji na mabaya yote unayoweza kuyasema,huyu mkatili aliwafanyia wanaharakati...
03/01/2026

Maduro alikuwa mshenzi, mkatili, muuaji, mtekaji na mabaya yote unayoweza kuyasema,huyu mkatili aliwafanyia wanaharakati na wapinzani wa Serikali yake kila aina ya ubaya. Nimefurahishwa na hatua hii ya mtu mkatili k**a huyu kuwa nje ya power. Mungu ajibu maombi sehemu zingine mbali mbali Duniani.

Lakini kwa mamilioni ya Wavenezuela waliokimbia njaa, vurugu, na ukandamizaji, hili si suala la siasa. Ni haki. Ni pumzi ya kwanza ya uhuru katika kizazi kizima.

Godbless lema

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameizawadia timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) m...
03/01/2026

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan, ameizawadia timu ya Taifa ya Tanzania (Taifa Stars) milioni 500 baada ya kufuzu hatua ya 16 bora katika michuano AFCON.

Aidha, Rais Samia ameahidi kutoa zawadi nono zaidi endapo Taifa Stars itaendelea kufanya vizuri na kufanikiwa kutinga hatua ya robo fainali.

Rais wa USA, Donald Trump amedai kuwa Marekani imefanya shambulio kubwa katika nchi ya  Venezuela na kumk**ata Rais wa n...
03/01/2026

Rais wa USA, Donald Trump amedai kuwa Marekani imefanya shambulio kubwa katika nchi ya Venezuela na kumk**ata Rais wa nchi hiyo Nicolas Maduro, na mkewe. Wanandoa hao wamesafirishwa kwa ndege kutoka nchini humo..

Trump ameyasema hayo kupitia chapisho lake kwenye mtandao wa Truth Social, Trump.

Maelezo hayo yameongeza kuwa, Operesheni hiyo imefanyika kwa ushirikiano na Utekelezaji wa Sheria ya Marekani na Maelezo zaidi yatafuata baada ya kuitisha mkutano na waandishi wa habari.

Msanii Shilole amepata ajali mbaya ya gari usiku wa kuamkia leo tarehe 3-1- 2025 katika eneo la Malagarasi, Kigoma alipo...
03/01/2026

Msanii Shilole amepata ajali mbaya ya gari usiku wa kuamkia leo tarehe 3-1- 2025 katika eneo la Malagarasi, Kigoma alipokuwa safarini akielekea Dodoma. Inasemekana ajali hiyo imetokea baada ya gari aliyokuwa amepanda Shilole kugonga Ng'ombe.

Mbunge wa Kigoma Mjini Mhe. Cleyton Chipando (babalevo) amethibitisha kutokea kwa ajali hiyo.

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when sera media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share