sera media

sera media Contact information, map and directions, contact form, opening hours, services, ratings, photos, videos and announcements from sera media, Media/News Company, Dodoma.
(1)

12/05/2026

Amesema hayo Hi**er Msolla, Katibu wa Siasa na Uenezi CCM wilaya ya Njombe leo Mei 12, 2026 wakati wa ziara ya kikazi katika Kata ya Mjimwema, alipokuwa akizungumza na viongozi wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa kata hiyo.

12/05/2026

Vifaa hivyo vilijumuisha katiba ya nchi, ngao yenye bendera ya rais, upanga wa mamlaka pamoja na alama nyingine muhimu za uongozi wa taifa.

12/05/2026

Vile unataka kuingilia mahusiano ya watu.

12/05/2026

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ametangaza kuwa hataachia ngazi ya Urais licha ya kuundwa kwa kamati ya kumuondoa...
12/05/2026

Rais wa Afrika Kusini, Cyril Ramaphosa ametangaza kuwa hataachia ngazi ya Urais licha ya kuundwa kwa kamati ya kumuondoa madarakani.

Kamati hiyo inampango wa kuanzisha uchunguzi mpya wa madai yanayomkabili Kiongozi huyo ikiwa ni pamoja na utovu wa nidhamu kwa kutofichua wizi wa fedha zilizokuwa zimefichwa katika shamba lake la wanyama.

12/05/2026

Sherehe za kuapishwa kwake zimefanyika katika Uwanja wa Kololo Ceremonial Grounds jijini Kampala,

Rais Museveni ameendelea kuweka historia ya kuwa mmoja wa viongozi waliodumu madarakani kwa muda mrefu barani Afrika tangu mwaka 1986.

12/05/2026

Tukio hilo limetokea Mei 5, 2026 ambapo marehemu, ambaye ni Mwanaume, anadaiwa kushambuliwa na Watu wanaotajwa kuwa Walinzi pamoja na baadhi ya Wafanyakazi wa baa hiyo baada ya kuzuka mgogoro wa malipo.

Address

Dodoma

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when sera media posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share