Sports news HD

Sports news HD Public figure

23/08/2024

𝗝𝗔𝗡𝗚𝗪𝗔𝗡𝗜

🚨 ; Uongozi wa Yanga rasmi umembadirishia majukumu aliyekuwa msemaji wa Yanga "Haji Sunday Manara"na kuwa Mtendaji mkuu wa Kitengo hamasa ndani ya Yanga FANS ENGAGEMENTS.

🟡🟢

???
20/08/2024

???

“Tupo imara kiakili na kimwili, tumejianda vya kutosha hakuna tunachohofia, sijapata wasaa mzuri wa kuwatazama wapinzani...
07/08/2024

“Tupo imara kiakili na kimwili, tumejianda vya kutosha hakuna tunachohofia, sijapata wasaa mzuri wa kuwatazama wapinzani kwani mechi zake nyingi hazikuoneshwa, lakini hiyo sio changamoto kubwa kwani naanda timu yangu kwa asilimia 75, asilimia 25 ndio natumia kumchunguza mpinzani” Kocha Mkuu Miguel Gamondi


"Yaliyopita yamepita, sipendelei kufuatilia sana yaliyopita, huu ni msimu mpya hata wapinzani wetu pia wamebadilika kila...
07/08/2024

"Yaliyopita yamepita, sipendelei kufuatilia sana yaliyopita, huu ni msimu mpya hata wapinzani wetu pia wamebadilika kila kitu kimebadilika, wacha tuone kesho kitatokea nini" Kocha Mkuu Miguel Gamondi

Ngao ya Jamii Alhamis hii ni nusu fainali ya wababeSaa 10:00 jioni AzamFC kukipiga dhidi ya wagosi wa kaya Coastal Union...
07/08/2024

Ngao ya Jamii Alhamis hii ni nusu fainali ya wababe

Saa 10:00 jioni AzamFC kukipiga dhidi ya wagosi wa kaya Coastal Union, mchezo huu utachezwa katika uwanja wa New Aman Complex, Zanzibar

Saa 1:00 usiku ni Kariakoo Derby dhidi ya ngoma itapigwa dimba la Benjamin Mkapa

Michezo hii kuruka mbashara kupitia

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michezo hii, Lipia mapema kifurushi chako ili usipitwe na mitanange hii

08/08/2023

Huu wimbo wa alikiba wa SIMBA nahisi una mapepo, haiwezekani muda wote unaniijia akilini na kuuimba.

10/06/2023

🚨 𝗖𝗢𝗡𝗙𝗜𝗥𝗠𝗘𝗗: Alexis Mac Allister has completed the medical tests as a new Liverpool player and is set to sign the contract today. []

Exciting, Reds! 🤩

✍️
10/06/2023

✍️

Champions 🏆💛💚
10/06/2023

Champions 🏆💛💚

𝗧𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗘𝗡𝗜 𝗨𝗧𝗔𝗙𝗜𝗧𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗙𝗨𝗥𝗔𝗛𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗛𝗔𝗕𝗜𝗞𝗜 𝗪𝗘𝗧𝗨 Poleni sana wanafamilia wenzangu kwenye ukurasa huu,, nimepokea msg nying...
09/06/2023

𝗧𝗨𝗙𝗔𝗡𝗬𝗘𝗡𝗜 𝗨𝗧𝗔𝗙𝗜𝗧𝗜 𝗞𝗪𝗔 𝗙𝗨𝗥𝗔𝗛𝗔 𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗦𝗛𝗔𝗕𝗜𝗞𝗜 𝗪𝗘𝗧𝗨

Poleni sana wanafamilia wenzangu kwenye ukurasa huu,, nimepokea msg nyingi sana kuhusu taarifa za mchezaji huyu BRUNO GOMEZ wapi anakwenda majibu rasmi ni haya.

🚨 EXCLUSIVE

Bruno Gomez bado ni mchezaji halali wa Singida Big Star kwa sasa mwenye mkataba,,Hakuna klabu yoyote Kati ya Yanga na Simba ambao wamefikia dau la kuvunja mkataba na Singida Big Star hadi sasa,licha ya vilabu vyote kuonesha nia ya kutaka kumsajili.

🟢Yanga wamefanya mazungumzo na Singida Big Star kwa ajili ya kutaka kumsajili kwa ajili ya msimu ujao lakini hadi sasa hakuna makubaliano yoyote ambayo Kati ya Yanga na Singida Big Star juu ya ada ya usajili wa Bruno Gomez.Licha ya mchezaji mwenyewe kuonesha nia ya kujiunga na Yanga SC.

:Katika orodha ya wachezaji ambao Yanga wanaowataka jina la BRUNO GOMEZ lipo.

🔴Makolo hadi sasa hakuna mazungumzo yoyote Kati yao na Singida Big Star na Hakuna ofa wala dalili ya Makolo kumuhitaji Bruno Gomez kwa sasa.

Hiki ni kipindi cha tetesi tu na timu zote zipo kwenye mawindo ya kusaka wachezaji kwa ajili ya kuboresha vikosi vyao.Kama Makolo wataweza kufika dau la 185M ambalo Singida Big Star walinataka kwa BRUNO GOMEZ kumwachia basi kila la kheri mtani.

Nasikitishwa sana na baadhi ya waandishi humu Facebook ambao hawataki kuumiza vichwa kusaka taarifa kwa ajili ya mashabiki wao.Rai yangu kwenu tupunguze sana kuandika habari kwa mihemko kucopy na kupaste.

My name is Castor Yanga news 🤝

Ratiba kamili ya wananchi
09/06/2023

Ratiba kamili ya wananchi

09/06/2023

Anaitwa Neema Rubani aliyeleta Ndege Ya mizigo Kutoka Marekani

09/06/2023
🟡💎| UPDATE: BRUNO GOMES- The agreement between Yanga and the midfielder of Singida BS, Bruno Gomes has already been made...
09/06/2023

🟡💎| UPDATE: BRUNO GOMES

- The agreement between Yanga and the midfielder of Singida BS, Bruno Gomes has already been made and the player has already taken the contract about two weeks ago, what is waiting for the Tanzanian league to be completed.

- Reliable information is that the midfielder of Singida BS, Bruno Gomes is said to have signed a two-year contract at the Yanga club for the new season.

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports news HD posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share