Sports news HD

Sports news HD Public figure

Wanaopata shida kwenye ndoa ya Azizi KI na Hamisa kwa asilimia kubwa ni wakristo, coz ndoa ZETU sisi wakristo ni za mile...
19/02/2025

Wanaopata shida kwenye ndoa ya Azizi KI na Hamisa kwa asilimia kubwa ni wakristo, coz ndoa ZETU sisi wakristo ni za milele milele Amina😜, niwahakikishie tu mwamba Azizi KI ni Ustadh na anaweza kutoa talaka k**a yakimshinda na akaoa mwingine tena. TULIENI MDOGO WETU ALE MAISHA NA MOBETO WAKE.

23/08/2024

π—π—”π—‘π—šπ—ͺπ—”π—‘π—œ

🚨 ; Uongozi wa Yanga rasmi umembadirishia majukumu aliyekuwa msemaji wa Yanga "Haji Sunday Manara"na kuwa Mtendaji mkuu wa Kitengo hamasa ndani ya Yanga FANS ENGAGEMENTS.

🟑🟒

???
20/08/2024

???

β€œTupo imara kiakili na kimwili, tumejianda vya kutosha hakuna tunachohofia, sijapata wasaa mzuri wa kuwatazama wapinzani...
07/08/2024

β€œTupo imara kiakili na kimwili, tumejianda vya kutosha hakuna tunachohofia, sijapata wasaa mzuri wa kuwatazama wapinzani kwani mechi zake nyingi hazikuoneshwa, lakini hiyo sio changamoto kubwa kwani naanda timu yangu kwa asilimia 75, asilimia 25 ndio natumia kumchunguza mpinzani” Kocha Mkuu Miguel Gamondi


"Yaliyopita yamepita, sipendelei kufuatilia sana yaliyopita, huu ni msimu mpya hata wapinzani wetu pia wamebadilika kila...
07/08/2024

"Yaliyopita yamepita, sipendelei kufuatilia sana yaliyopita, huu ni msimu mpya hata wapinzani wetu pia wamebadilika kila kitu kimebadilika, wacha tuone kesho kitatokea nini" Kocha Mkuu Miguel Gamondi

Ngao ya Jamii Alhamis hii ni nusu fainali ya wababeSaa 10:00 jioni AzamFC kukipiga dhidi ya wagosi wa kaya Coastal Union...
07/08/2024

Ngao ya Jamii Alhamis hii ni nusu fainali ya wababe

Saa 10:00 jioni AzamFC kukipiga dhidi ya wagosi wa kaya Coastal Union, mchezo huu utachezwa katika uwanja wa New Aman Complex, Zanzibar

Saa 1:00 usiku ni Kariakoo Derby dhidi ya ngoma itapigwa dimba la Benjamin Mkapa

Michezo hii kuruka mbashara kupitia

Kwa kifurushi cha shilingi 28,000 unatazama michezo hii, Lipia mapema kifurushi chako ili usipitwe na mitanange hii

08/08/2023

Huu wimbo wa alikiba wa SIMBA nahisi una mapepo, haiwezekani muda wote unaniijia akilini na kuuimba.

10/06/2023

🚨 π—–π—’π—‘π—™π—œπ—₯π— π—˜π——: Alexis Mac Allister has completed the medical tests as a new Liverpool player and is set to sign the contract today. []

Exciting, Reds! 🀩

Address

Dodoma

Website

Alerts

Be the first to know and let us send you an email when Sports news HD posts news and promotions. Your email address will not be used for any other purpose, and you can unsubscribe at any time.

Share