19/02/2025
Wanaopata shida kwenye ndoa ya Azizi KI na Hamisa kwa asilimia kubwa ni wakristo, coz ndoa ZETU sisi wakristo ni za milele milele Amina😜, niwahakikishie tu mwamba Azizi KI ni Ustadh na anaweza kutoa talaka k**a yakimshinda na akaoa mwingine tena. TULIENI MDOGO WETU ALE MAISHA NA MOBETO WAKE.